Kasoro kubwa katika video ya Lwakatare

Kasoro kubwa katika video ya Lwakatare

PRISCUS JR

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2011
Posts
448
Reaction score
236
Kama nilivyochangia katika thread inayohusu video ya Lwakatare
1.Anayerekodi anamuongoza mzungumzaji kwa kumwambia maneno "niweke? mmh hapoo? haya" . pia anamuelekeza arudie maneno.

2.Imerekodiwa bar, watu wanapitapita wanasalimia na kutaja majina yao. Kwa watu makini hawawezipanga mpango hatari kwenye eneo la wazi hivyo.

3.Sura ya muongeaji si halisi na tone yake si halisi.

4.Anayerekodi anachomeka jina la Zitto kuhalalisha mpango.
JIPANGENI UPYA KUHARIRI VIZURI NA ALIYEHARIRI AMECHEMKA


MAPUNGUFU YA VIDEO ILIYOBEBA UMAARUFU KUHUSU LWAKATARE KUHUSIKA NA MIKAKATI YA MAUAJI.......WENYE UELEWA KARIBUNI

1. video imechukuliwa tarehe 28-12-2012 baada ya sikukuu ya krismasi bila shaka kama tulivyowasikia wahusika humo. kwanini video ije kutolewa saiv baada ya tukio la kuteswa ?

2. hii video imechukuliwa na camera yenye MEGA PIXEL zaidi ya 5, na secret cameras huwa hazina pixel kubwa kiasi hicho. hivyo wahusika walikua wanajua kabisa kuwa wanajirekodi..
...
3. kauli ya ridhiwan na nape kuhusu kuwa wanayo video ikiwaonesha viongozi wa chadema wakipanga mauaji ya watu, tangu chadema iseme pelekeni hiyo video kwenye vyombo vya dola hili wahusika wachukuliwe hatua ccm hawakupeleka inamaana hii video ilikua bado au ? na ikumbukwe hii video imechukuliwa 28-12-2012 na mwigulu alisema wanazo video ni tarehe hizo hizo.

4. mhusika kuweka hiyo video "BUKOBA BOY" amejiunga na youtube tarehe 11-03-2013, na tarehe hiyo hiyo akaweka hiyo video ambayo aliichukua tarehe 28-12-2012, je kama analipenda taifa hili kwanini hasingeweka tangu kabla ya tukio pengine kibanda angeepukana na hatari hii..?

5. kama kweli polisi inanguvu kwanini haijamkamata huyu mtu mpaka saiv kwakua ni threat kwa taifa ?

6. katika dakika ya 16 na sekunde ya 55 ya video hii, lwakatare anasema" either nilivyopewa na kuistudy hii homework" inamaana kuna mtu kamtuma kusema haya maneno ? swali je ni nani ?

7. katika dakika ya 17 sekunde ya 32 lwakatare anasema" kama huyu mtu anakua na sehemu nyingi sasa tutatrace ngapi, lazima hawe na sehemu moja specific kuwa hakosi" jamani tujuzane hivi mtu anaepanga mauaji anachagua sehemu kweli ? mbona mwangosi aliuliwa kwenye mikono ya polisi inamaana huwa ndio ilikua sehemu yake ? mbona kijana kwenye maandamano alikufa kwenye mkutano inamaana morogoro kila siku palikua na mikutano na marehemu alikua ndio sehemu yake ?

8 na mwisho kwanini video imekatiswa katikati ? je kuna matukio mengine yatafanyika alaf ndio waje na video ya 6 maana hiyo ni video ya 5 ?

9. mwanzo kabisa ya video wanarekebisha mic, na mchukua video anasema "tuta-note upya hapo" inamaana kuna marekebisho ya kubadiri camera yalifanyika hata video inavyoanza tunaona kabisa walikua kimya.

hayo ni baadhi ya mapungufu niliyoyaona humo
 
Kilichobaki kutoka CCM ni kuwachanga wapira kura kwa propaganda nyepesi.
 
Kama nilivyochangia katika thread inayohusu video ya rwakatare
1.Anayerekodi anamuanamuongoza mzungungumzaji kwa kumwambia maneno "niweke? mmh hapoo? haya" . pia anamuelekeza arudie maneno.
2.Imerekodiwa bar, watu wanapitapita wanasalimia na kutaja majina yao. Kwa watu makini hawawezipanga mpango hatari kwenye eneo la wazi hivyo.
3.Sura ya muongeaji si halisi na tone yake si halisi.
4.Anayerekodi anachomeka jina la zito kuhalalisha mpango.
JIPANGENI UPYA KUHARIRI VIZURI NA ALIYEHARIRI AMECHEMKA
Suala ka Lwakatare: TECHNOLOJIA INAYOTUMIKA KULISHA WATU MANENO HII HAPA-WATCH THIS CLIP (Hii thread imetolewa sijui kwa nini???)

Kufuatia suala la Lwakatare kushika kasi humu jamvini, zimetokea hisia na mawazo tofauti sana baina ya wachangiaji mbalimbali juu ya mada hii ya kurecordiwa Lwakatare kupanga kumdhuru mwandishi. Wengi tulihoji sana uwezekano wa hii ishu kama ni halisi/si halisi. Kutokana na kuwa gizani kitechnologia, wengi hadi ninavyoongea hivi bado huwezi kuwabadilisha mawazo kuwa technolojia inaweza ikahusika katika kufake ile clip. Na kutokana na suala hili kugubikwa na propaganda za kisiasa, watu wamesahau hata technologia rahiti tu ya kuifanya midomo ya Cartoon icheze kulingana na maneno yanayotamkwa na cartoon/robot.


Kuweka kumbukumbu vizuri tarehe za mwanzon kabisa za mwaka huu mpya Mwigulu Nchemba alitueleza kuwa alikuwa na mkanda unaoonyesha viongoz (wengi) wa chadema kupanga mauaji. Mkanda umetoka tumeona kiongozi mmoja tu ndo anayepanga mauaji, kupungua kwa washiriki kutoka kwa viongoz hadi kiongozi, inahusishwa na ugumu uliopo wa kuinvolve watu wengi kwenye kufake/kulisha maneno watu wengi kwenye clip moja.

Aidha, baada ya tukio la utekwaji wa kibanda, wameibuka Nape na Ridhiwani hadharani na kuongea wakiwa na confinence ya 100% kuwa ''hawa wenzetu wa upinzani''/na ''safari hii pia mseme kuwa Ikulu/Rama/Magogoni ndio wanaohusika, kazi iliyopaswa kufanywa na vyombo vya dola. Siku chache baadaye Single ya Lwakatale ikatambulishwa rasmi kupitia Youtube na immediately ikatua jamvini na hata Polisi kuipata habari hii via Jamvini/Youtube na sio kwa Mwigulu. Sasa ukiconnect dots.......unaruhusiwa kabisa kufikiri kuwa tayari wenzetu wa upande wa pili walisha preview hii clip waliyoshiriki kuiandaa na ndo mana walikuwa na uhakika kuwa kwa level yetu ta technology, ni rahisi sana kushawishika kwa hii clip kuwa ni halisi.

Tulishasikia pia Wassira akitamka kuwa CDM lazima ife 2013, wengi hatukuelewa na hadi sasa hatujaelewa alikuwa anamaana gani kutamka maneno kama yale mtu wa makamo yulo. Sasa kauli za hivi za kumtamkia kifo mwenzio zinasignal kuwepo kwa mkakati wa maksudi wa kumuua mwenzio??Aidha, CCM katika vikao vyao vya CC/NEC, ccm walijadili kwa kina namna ya kudeal/kuisambaratisha CDM badala ya namna ya kutumikia umma wa watanzania waliowaweka madarakani. Hapa pia panazaa jambo.

Baada ya utanguliz huu naomba niimwage kwenu faked clip ya Barack Obama ili at least tujue tu kuwa suala la kulishwa maneno linawezekana. BOFYA A Bad Lip Reading of Barack Obama's Inauguration (Legendado PT-BR) - YouTube. Aidha, clip hii isikuzuie kuendelea kuamini unachokiamini, mimi nimeonelea tu niwafahamishe wale wote wenzangu ambao asubuh ya leo tulihisi sio kitu kinachowezekana hapa duniani.
 
from fb
MAPUNGUFU YA VIDEO ILIYOBEBA UMAARUFU KUHUSU LWAKATARE KUHUSIKA NA MIKAKATI YA MAUAJI.......WENYE UELEWA KARIBUNI

1. video imechukuliwa tarehe 28-12-2012 baada ya sikukuu ya krismasi bila shaka kama tulivyowasikia wahusika humo. kwanini video ije kutolewa saiv baada ya tukio la kuteswa ?

2. hii video imechukuliwa na camera yenye MEGA PIXEL zaidi ya 5, na secret cameras huwa hazina pixel kubwa kiasi hicho. hivyo wahusika walikua wanajua kabisa kuwa wanajirekodi..
...
3. kauli ya ridhiwan na nape kuhusu kuwa wanayo video ikiwaonesha viongozi wa chadema wakipanga mauaji ya watu, tangu chadema iseme pelekeni hiyo video kwenye vyombo vya dola hili wahusika wachukuliwe hatua ccm hawakupeleka inamaana hii video ilikua bado au ? na ikumbukwe hii video imechukuliwa 28-12-2012 na mwigulu alisema wanazo video ni tarehe hizo hizo.

4. mhusika kuweka hiyo video "BUKOBA BOY" amejiunga na youtube tarehe 11-03-2013, na tarehe hiyo hiyo akaweka hiyo video ambayo aliichukua tarehe 28-12-2012, je kama analipenda taifa hili kwanini hasingeweka tangu kabla ya tukio pengine kibanda angeepukana na hatari hii..?

5. kama kweli polisi inanguvu kwanini haijamkamata huyu mtu mpaka saiv kwakua ni threat kwa taifa ?

6. katika dakika ya 16 na sekunde ya 55 ya video hii, lwakatare anasema" either nilivyopewa na kuistudy hii homework" inamaana kuna mtu kamtuma kusema haya maneno ? swali je ni nani ?

7. katika dakika ya 17 sekunde ya 32 lwakatare anasema" kama huyu mtu anakua na sehemu nyingi sasa tutatrace ngapi, lazima hawe na sehemu moja specific kuwa hakosi" jamani tujuzane hivi mtu anaepanga mauaji anachagua sehemu kweli ? mbona mwangosi aliuliwa kwenye mikono ya polisi inamaana huwa ndio ilikua sehemu yake ? mbona kijana kwenye maandamano alikufa kwenye mkutano inamaana morogoro kila siku palikua na mikutano na marehemu alikua ndio sehemu yake ?

8 na mwisho kwanini video imekatiswa katikati ? je kuna matukio mengine yatafanyika alaf ndio waje na video ya 6 maana hiyo ni video ya 5 ?

9. mwanzo kabisa ya video wanarekebisha mic, na mchukua video anasema "tuta-note upya hapo" inamaana kuna marekebisho ya kubadiri camera yalifanyika hata video inavyoanza tunaona kabisa walikua kimya.

hayo ni baadhi ya mapungufu niliyoyaona humo
 
Mbona umeamua kujitenga na wenzako tunaochangia kwenye thread husika?? Hii haikufaa kweli kuwa kama hoja za wachangiaji wengine kule??? Inamana hujaona kama wenzako tumeandika hoja za aina hii kwenye thread husika?? Nakushauri rudi kwenye meza ya mazungumzo ya suala hili, rudi kwenye thread husika, mchango wako utaonekana tu.

Mkuu niwie radhi nimeanzisha meza hii kwa jicho makini baada ya kuidownload na kuipitsha kwenye softiware makini kuboost na picha hivyo tujadili.
 
Kama nilivyochangia katika thread inayohusu video ya rwakatare
1.Anayerekodi anamuanamuongoza mzungungumzaji kwa kumwambia maneno "niweke? mmh hapoo? haya" . pia anamuelekeza arudie maneno.
2.Imerekodiwa bar, watu wanapitapita wanasalimia na kutaja majina yao. Kwa watu makini hawawezipanga mpango hatari kwenye eneo la wazi hivyo.
3.Sura ya muongeaji si halisi na tone yake si halisi.
4.Anayerekodi anachomeka jina la zito kuhalalisha mpango.
JIPANGENI UPYA KUHARIRI VIZURI NA ALIYEHARIRI AMECHEMKA

Ni kweli mkuu aliye-record amechemka. Kwa mtu asiyefikiri vizuri ndo ataamini upuuzi huu. Kama kweli ni Great thinker utang'amua video ilivyo na makosa mengi ya kiufundi na kudhihirisha kuwa ni uwongo.

Ni vyema waandaaji wakajipanga kwa zile part wanazosema eti watazileta.

Mungu ni mwema sana na siku zote huwaumbua watu wenye nia mbaya. Hizi ni siasa za maji taka ambazo hazina tija na upepo utawapitia tu hata kama watatengeneza video mia moja na zaidi. Propaganda hizi ni za kitoto.

CCM na serikali yake wanapoteza muda badala ya kufikiri watawasaidiaje watanzania kuondokana na umaskini. Ni vigumu kuwadanganya na kuwaaminisha watanzania kwa video hii.

CHADEMA mtihani huu mtaushinda tu, mungu yuko nanyi na atawatia nguvu kuendelea na harakati za ukombozi.
 
Mkuu niwie radhi nimeanzisha meza hii kwa jicho makini baada ya kuidownload na kuipitsha kwenye softiware makini kuboost na picha hivyo tujadili.
Nimekupata kiongoz, nilijua umeamua tu kuanzisha uzi mpya, kama kuna new findings, naomba nifute kauli, endelea tu kiongoz, tupo pamoja!
 
Wana mapinduzi wanaamini kuwa ukiona mambo kama haya tambua kuwa ukombozi upo karibu. Uhuru na Ruto walifanya kama haya na sasa wameingia ikulu, aibu kwa ICC na mafia wao. Nadhani ni muda wa kushangilia ushindi na mapinduzi ya kweli, watanzania wenye akili, na hasa hawa wanaotumia mitandao ya kijamii na forum makini kama JF watatumia akili zao kuchambua hili. Maana mengi yamesemwa kuhusu CHADEMA yameshindwa....walianza na ukanda ukashindwa, wakaja na dini wakashindwa, wakaja na kadi ya dokta Slaa wakashindwa, sasa wemeibuka na mauaji...hakika MUNGU ni yule yule jana, leo na hata milele, ataendelea kutupigania wana CHADEMA.

Tualianza na MUNGU, tunaendelea na MUNGU, tutamaliza na MUNGU
Ikiwa MUNGU, yupo upande wetu, nani atanyanyuka kinyume chetu?
 
Kama nilivyochangia katika thread inayohusu video ya Lwakatare
1.Anayerekodi anamuongoza mzungumzaji kwa kumwambia maneno "niweke? mmh hapoo? haya" . pia anamuelekeza arudie maneno.

2.Imerekodiwa bar, watu wanapitapita wanasalimia na kutaja majina yao. Kwa watu makini hawawezipanga mpango hatari kwenye eneo la wazi hivyo.

3.Sura ya muongeaji si halisi na tone yake si halisi.

4.Anayerekodi anachomeka jina la Zitto kuhalalisha mpango.
JIPANGENI UPYA KUHARIRI VIZURI NA ALIYEHARIRI AMECHEMKA


Hii video itawatesa sana naona mnajaribu kufanya cover up lakini ukweli huu wa vitendo vya utesaji ambao umekua ukifanywa na kitengo cha ulinzi na usalama ndani ya CHADEMA utaishi muda mrefu sana.
 
Back
Top Bottom