Shahidi namba moja ni aliyeweka hiyo video mtandaoni aisaidie police na propaganda yao.
mtafuteni basi. nyie si mna wataalam wenye uwezo wa kuweza kuwabaini walioweka hiyo clip?
Shahidi namba moja ni aliyeweka hiyo video mtandaoni aisaidie police na propaganda yao.
chama gani sasa kina uhalali wa kuongoza kama si ccm?
Huu mtihani CDM wakiuvuka tu, CCM wamekwisha!
Alaah! kumbe ulikuwepo polisi ukamsikia akikiri? Mbona wengine wamelikosa hilo? Hiyo ingekuwa breaking news" Lwakatare akiri yaliyomo kwenye video."jaman tuwaeleweje? mara alikuwa anarekodiwa huku anajua kama anarekodiwa, mara alirekodiwa kwa njia za siri, na wewe unatuletea dhana nyingine kabisa. ila mie naamini ile clip ni original na ndiyo maana yeye mwenyewe amekiri pale polisi wakati anahojiwa. tuache vyombo vya dola vifanye kazi zake
Huu mtihani CDM wakiuvuka tu, CCM wamekwisha!
Huu mtihani CDM wakiuvuka tu, CCM wamekwisha!
Watauvuka tu siunaona jana siku nzima wamekaa kikao kupanda njia ya kuchomoka na kukurupuka kwao, lwakatale asiwe na hofu mungu yupamoja naye... na shibuda kwenye ngoma hii anausika sanaaaaaaaa ipo siku nitaleta uzibitisho kamili.
Huu mtihani CDM wakiuvuka tu, CCM wamekwisha!
Naapa chini ya Mbingu na Ardhi kamwe Shetani hatamshinda Mungu.
Kama Daudi alimuua Goliathi kwa jiwe katu Mashetani hawa wanaotaka kuichafua Chadema hawatafanikiwa na wataangamia.
Naapa kwa Mungu aliye hai yeyote aliyeshiriki kutunga mpango huu mchafu hatabaki salama.
Naapa kwa Mungu Mkuu muumba kila kitu kwamba kila aliyeshiriki kutunga uchafu huu lazima ataumbuka siku si nyingi na ataomba radhi hadharani.
Naapa kwa Mungu aliyemwangamiza Anania akapasuka matumbo mbele ya madhabahu kwamba wahalifu hawa watafuata njia hiyo hiyo.
Naapa kwa Mungu aliyemwangamiza Herode akadondoka juu ya kiti cha kifalme na mwili wake kuliwa na siafu kwamba waovu waliotunga mbinu hii watafuata njia hiyo hiyo.
Naapa kwa Mungu wa Abraham,Isaka na Yakobo kwamba watu hawa hawataweza kuendelea kuharibu Taifa letu kwa uchochezi wao bali watakipata sawasawa kile kiwapatacho watu wasiomjua Mungu.
Naapa kwa Mungu ambaye jina lake ni NIKO AMBAYE NIKO kwamba Shetani kamwe hatajitwalia utukufu.
Wao wana Baali na Chadema wana Mungu kamwe Baali hawezi kumshinda Mungu.
It is an application developed at New York University, known as Video Rewrite, uses computer to match lip movements with the new voice track. hi process is used sana sana kwenye kutengeneza animation, Dubbing, also known as re-recording, is a post-production process used in filmmaking and video production, in which vocal recording (like dialogue) occurs subsequent to the original recording ,famous examples are the Babe, Atlantis: The Lost Empire, Finding Nemo, Cars, Shrek the Third, Ratatouille, Kung Fu Panda and WALL-E.
jamani hapa wasiwadanganye nikamchezo hako........................watanzania wasasa wajanja jamani
Japo mimi sio official authority, ila nimetazama ile video clip, nimejiridhisha its "bonafide genuine!", haijapitia doctoring yoyote!, japo ni kweli technolojia hizo zipo, kama lengo ni kuichafua Chadema, then of all the people, not Rwakatare!.1. Tusiwasemee wahalifu au wapanga njama.
2. Lwakatare atoe kauli yake kwanza kuhusu hiyo video kama ni feki au alitumwa.
3. CDM iwathibitishie wananchi pasipo shaka kuwa wao hawahusiki na huo uhalifu (in details)
4. Mmiliki/mtayarishaji wa Video atafute na atoe maelezo yake ...
5. Upelelezi na uchunguzi huru wa kisayansi na kitaaluma kuverify uhalali wa hiyo video.
jaman tuwaeleweje? mara alikuwa anarekodiwa huku anajua kama anarekodiwa, mara alirekodiwa kwa njia za siri, na wewe unatuletea dhana nyingine kabisa. ila mie naamini ile clip ni original na ndiyo maana yeye mwenyewe amekiri pale polisi wakati anahojiwa. tuache vyombo vya dola vifanye kazi zake
Hawauvuki!
Chama
Gongo la mboto DSM
jaman tuwaeleweje? mara
alikuwa anarekodiwa huku anajua kama anarekodiwa, mara alirekodiwa kwa
njia za siri, na wewe unatuletea dhana nyingine kabisa. ila mie naamini
ile clip ni original na ndiyo maana yeye mwenyewe amekiri pale polisi
wakati anahojiwa. tuache vyombo vya dola vifanye kazi zake
ule mtambo wenu wa kufeki sms uliishia wapi?
jaman tuwaeleweje? mara alikuwa anarekodiwa huku anajua kama anarekodiwa, mara alirekodiwa kwa njia za siri, na wewe unatuletea dhana nyingine kabisa. ila mie naamini ile clip ni original na ndiyo maana yeye mwenyewe amekiri pale polisi wakati anahojiwa. tuache vyombo vya dola vifanye kazi zake