Kariakoo kwachafuka, maduka yafungwa...

Kariakoo kwachafuka, maduka yafungwa...

Ukicheka na nyan utavuma mabua,.Kodi zetu zinatumika sasa kwa mambo ya kipumbav na hayana tija yoyote!Niliandika asubuhi"UKIDHARAU MWIBA GUU HUOTA TENDE"
 
Hawa jamaa wanachokitafuta watakipata...mtu hawezi kulala na mkewe halafu aamke asubuhi na kuwaambia watu waandamane..Nchi ya namna hio haipo!!!
 
Wa Dar wana majini mengi aka walimu wengi vichwani

Wewe badala ya kutoa Hoja unaleta dharau kwa waislamu wote.....

Mbona tunawaona kwenye sala zenu manvyopandisha majini hadharani....mnaongea lugha za ajabu ajabu...itakuwa mnafuga majini ya KItaliano nyinyi.....utasikia pereeee pwekeeeed ghuusd...
Halafu mnaita ile sala?. watu wanaruka sehemu moja hadi nyengine...huyo mungu wenu anayewatuma mruke ruke vile ili sala imfikie atakuwa kiziwi tu
 
Polisi / Serikali ;
Hawakuziba Ufa sasa Wanajenga Ukuta...
 
Matokeo ya Selikari dhaifu ya JK............
 
Muda huu kaeni chonjo kkoo maana ndio muda mzuri vibaka kuchukua vyaooo....
 
Kama Bedui alikojoa msikitini Mtume akamsamehe...je ninyi kwa nini nyie msisamehe huyo mtoto kama kweli mwafuata imani ya Mtume???
 
Mkuu, vibaka nao wametoka kuswali msikitini leo siku ya Ijumaa?
Wale waliomzunguka Ponda ni vibaka?
Ponda ni kibaka?


shule nzuri sana mbona majibu yapo wazi ponda sio muislamu, muislamu safi havamii eno la mtu na kuondoka na nondo na cement ni vibaka tu huwa wanafanya hivyo na ndio maana yupo mahakamani
 
There are currently 728 users browsing this thread. (410 members and 318 guests)
 

Waislam kwa ndala, noma.............naskia ndala zimeokotwa roli tisa(9) Nasikia wamepigwa sana aiseee
Naambiwa wengi wao walikuwa hajapata msosi wa mchana! Uraiani kugumu! wameamua kwenda keko/segerea kula na kulala bure.
 
Acha iwe hivyo maana waislamu tunataka tuheshimiwe kama wanavyoabudiwa dini zingine na serikali
 
Je, bado kuna mtu yeyote anaamini ya kwamba haya yote yanayoendelea kwingi nchini yote bado ni matokeo ya 'Mkojo wa Mbagala' au ni mpango mahususi katika miji kadhaa kwa ndugu zetu kuanzisha kile wanachokiita "The War Within" dhidi ya Wakristo?

waislam wamekusudia kuanzisha " The War Within" na hapa kuna mkono wa mtu.
 
Back
Top Bottom