Kariakoo kwachafuka, maduka yafungwa...

Kariakoo kwachafuka, maduka yafungwa...

Nakupa ushauri mkuu. Andaeni maandamano ya amani kupinga wahuni kutumia dini yenu kwa kufanya fujo. Toeni tamko kali, na shirikianeni na polisi kuwafichua wanaotaka kuleta Boko haram TZ. Jitofautisheni kwa vitendo mtaaminika.
tunakemea wanaofanya fujo na ndo maana hata hapa tunakemea.na hata shekhe wa mkoa wa dar es salaam alikemea TBC na alizungumza vizuri kweli.
 
mkuu waislam hatuwezi kuheshimiwa kwa hivi vitendo vyetu vya kihuni na ujinga tunavyovifanya sasa.

Tukazane kusoma, kufanyakazi na kujiheshimu na hiyo heshima tunayoitaka itakuja tu.
muislam ataheshimwa na muislam na mwenziwe. Hata mtume hakuwahi kuheshimiwa na wasiokuwa waislam. Hayo ndio maandiko hata ukiyakataa
 
1243816_orig.jpg
 
Shida ni kwamba wakisema kitu waislam hupewa. Walililia Kadhi wakapewa, hata sijui wanafanyia nini ila matokeo yake ndiyo haya. Majuzi wameandamana kwenda polisi bila kibali cha polisi haohao lakini hadi kulindwa wakalindwa. wakawalazimisha mapolisi wawaachie wakorofi wenzao wakakubaliwa tena kwa kubembelezwa. Wakasema na bado, wanakwenda kumfukuzisha kazi mkurugenzi wa baraza la mitihani bila hata kibali ati kwa sababu wanafunzi wa mtihani wa kiislam wamefelishwa sana (sababu za ajabu sana - mtihani wa kiislam kwani anayetunga na kusahihisha ni serikali????). Hawawezi kushikishwa adabu kwa sababu Mkuu wa nchi ni mwana, Namba mbili mwana, Mkuu wa Polisi mwana, Jaji Kiongozi mwana, Mkuu Kova DSM mwana.......... Kapachikwa mtoto wa mkulima pale hana hata sauti na anapigwa chini mchana kweupe! Spika kawekwa pale kuuzia sera tu lakini mtunza maelekezo ya walioko juu. (Nasikia mabomu mawili Magomeni , la tatu ....) Ngoja nikimbie... MNAHARIBU NCHI WAISLAM, mmechoma makanisa mpaka mtageuka vichaa, nanyi mtachomwa moto hivyo hivyo, Tubuni msijepatwa na mabaya kumkasirisha Mungu. Unachoma nyumba ya MUNGU?????? ULANIWE ufanyaye machukizo kwa kudhamiria.

neno moja naamini waislam wanataka. haki sawa kwa raia wote bila ya ubaguzi wa kidini. kama serekali inatoa mabilion ya pesa kwa makanisa basi na kwa waislam watoe ili tz tuishi kwa amani. haya mengine yote pakiwa na haki mbona yanazungumzika tu jamani?
 
Hivi waislamu wanamuabudu Mungu yupi huyo anaeagiza wafanye fujo na vurugu??. Napendekeza kutolewe upendeleo maalum kwa vijana wa kiislamu, waende shule, hata kama hawajui kitu. Shule tu ndiyo itakayowakomboa hawa watu kutoka ktk giza walimo!! na ndio njia pekee ya kujenga amani ya kudumu hapa TZ dhidi ya hawa watu. Ni kukosa kwao elimu ndiko kunaleta haya yote. Nina hakika Asilimia 99 ya wale wote walioandamana hapo kk elimu yao ni chini ya kidato cha nne, ila yawezekana wamemaliza juzuu zote. Naililia nchi yangu TZ!

Ukitaka kuthibitisha hilo angalia wale wanaoshitakiwa na ponda, au wale wanawake waliojitanda Nguo mwili mzima!
Utapata picha ni watu wa category gani
 
CHADEMA wote wamehamia serikalini leo. Ndio kawaida ya As-habul Shimali inapotokea Waislam wananyanyaswa wao huungana na serikali. Kibao kikigeuka nao hugeuka. Na bado. Udini mliouanzisha huko makanisani mwenu utawatokea puani mwaka huu.

Acha kuropoka!
 
dawa ni kuwatendea haki waislam kama vile wakirsito. hata muagize majeshi, waislam na wakiristo hawaishi kambi za jeshi. wanaishi mitaani ambapo majeshi hayafiki hata yakifika yanwezekana yakachelewa kuja siku ya tukio

Damu mnayotamani kumwaga itawasaidia nini?
 
Hivi waislamu wanamuabudu Mungu yupi huyo anaeagiza wafanye fujo na vurugu??. Napendekeza kutolewe upendeleo maalum kwa vijana wa kiislamu, waende shule, hata kama hawajui kitu. Shule tu ndiyo itakayowakomboa hawa watu kutoka ktk giza walimo!! na ndio njia pekee ya kujenga amani ya kudumu hapa TZ dhidi ya hawa watu. Ni kukosa kwao elimu ndiko kunaleta haya yote. Nina hakika Asilimia 99 ya wale wote walioandamana hapo kk elimu yao ni chini ya kidato cha nne, ila yawezekana wamemaliza juzuu zote. Naililia nchi yangu TZ!

Siamini kama waislam wanataka upendeleo. wanataka haki kama wanavyotaka Chadema. yote haya makundi mawili yanashambuliwa sana na Polisi. Chadema ni moja ya Chama kinachokumbana sana na matuki ya polisi. kibaya Chadema wao likija swala la imani ya dini wao hupiga chenga na kuona wenzao wanaoteseka pamoja kwa matukio ya pOLISI hawana haki wao ndio wenye haki jambo ambalo ni mfano mbaya. huko Kenya WANASIASA HAWAKO HIVYO
 
ukitaka kuthibitisha hilo angalia wale wanaoshitakiwa na ponda, au wale wanawake waliojitanda nguo mwili mzima!
Utapata picha ni watu wa category gani
wale ni watakatifu. Maana watakatifu wote waimani ya kikirsito utaowana wamevaa kama hivyo. Ukianza maria na wengine wengi
 
damu mnayotamani kumwaga itawasaidia nini?
haitakuwa na faida. Lkn najua endapo nchi ikachafuka, halafu maamuzi yakija kwamba waislam na wakiristo na wislam wagawane madaraka ndani ya nchi itakuwa pigo kwa wakiristo ambao kwa sasa kitu kama hicho hawataki kukisikia
 
kazi ya jeshi ni kulinda wananchi dhidi ya adui wa nje au ndani na sio mipaka ya nchi tu

suit yourself!

What i see here is that the army is being used for civilian law enforcement. Those muslims are tanzanians just like you. It's not a coup. It's just riot that can be handled by the riot police
 
chadema wote wamehamia serikalini leo. Ndio kawaida ya as-habul shimali inapotokea waislam wananyanyaswa wao huungana na serikali. Kibao kikigeuka nao hugeuka. Na bado. Udini mliouanzisha huko makanisani mwenu utawatokea puani mwaka huu.


chadema huwa hawatetei watu kama ninyi yaani hata kuku anawashinda kufikiri giza likiingia naye anaingia ndani. Hamuwezi kuifanya nchi hii kuwa ya kislamu kamwe na mkiendelea tu wote mtahama na kuishi kama wakimbizi nchi nyingine. Hamna dai hata moja mnaloongea ni vurugu tu wala hamueleweki mnataka nini. Ambaye amechoka aondoke akiishi huko arabuni....yaani mnataka dezo hata mkifeli eti mpasishwe who are you by the way...wenzenu asubuhi wanakwenda kazini na kusoma kwa bidii ninyi mpo barabarani mnaleta vurugu tu... Yatawashinda...ninyi ni wabaguzi sana acha yawakute..
 
Sasa kama Ponda sio muislamu, how come after the Friday's prayers, waislamu wanaandamana?
Na hao wanaoandamana si wanataka Ponda aachiwe?
Hapo ndio mnapotuchanganya, hadi sasa hatujui kwenye waislamu kuna makundi mangapi?
Ponda si katibu wenu? Kwani mmesha m denounce?

Ponda ni muhuni na kundi lake la wahuni hata osama alijiita muislamu na alikuwa na kundi lake la magaidi ambao walijiita pia waislamu.
 
Haki ipi ambayo mmenyimwa mpaka mnaamua kuanzisha vurugu. Naomba wote mnaofanya hivyo mjitathimini kama kweli mnaongozwa na Mungu. Kama kweli ni MUNGU ni Mungu yupi
 
Huu waraka wa ajabu sana! Eti misikiti yapigwa mabomu Mbagala, polisi waingia na viatu misikitini... Lord have mercy
 
hivi kama waliosoma wapo kimya na tulitegemea wangetusaidia,je sisi tulio chini tutasikikaje?,just imagine kaka!
 
Wewe ni mwehu. Wewe elimu hiyo imekusaidia nini? Nyie Wakristo mliosoma si ndio mnaongoza kwa ufisadi nchi hii na kulihujumu Taifa? Kodi yote tunayolipa si inakwenda kujenga makanisa kupitia MoU? Chokochoko zenu dhidi ya Waislam karibu zitawatokea puani. Ni suala la muda tu.

Kutokana na Ujinga wenu wewe na wenzako wote, mnadhani mkianzisha vurugu hapa nchini watakaoathirika ni wakristo peke yao. Hii inadhihirisha jinsi upeo wenu wa kufikiri ulivyokuwa mdogo kutokana na ujinga wenu. Na ndo maana nasema namna pekee ya kuwasaidia muondokane na huo ujinga ni kuwapeleka shule kwa wingi. Hata kama mtapitapita tu, inaweza ikawasaidia kidogo. poleni sana
 
Pole sana mkuu,
sasa nyinyi wengine mnafanya nini kuonyesha kwamba wanaofanya wenzenu sio matakwa ya DINI yenu?
Si mnakaa kimya tu ndio maana mnachanganywa wote?
Ponda akitoa tamko kwani kuna siku hata moja mmeshawahi kumpinga hadharani na kusema uislamu hausemi hivyo?
Bila kufanya hizo juhudi, kila siku mtakuwa treated like birds of the same feather...

siku ya kwanza kabisa baada ya kutokea tatizo,shekh wa mkoa wa dsm alikemea,akiwa pamoja na mkuu wa mkoa mwislam na kamanda wa polisi mkoa wa dsm mwislam.acha chuki,fuatilia matukio.
 
umeona eee papito!! akiwa na stedi shoo wake elly longomba! zilikuwa enzi za burudani!

we acha tu kipindi hicho starehe starehe kwelii shilingi ina thamani bia ya kishua Tusker premium na windock ATM hamna unatembea na Bank angalau maisha yalikuwa bora lakini sasa haya ya ****** hata akudo huendi bajet imebana, round hatuzungushi mpaka jamaa zangu naona wamezoea ngumu kumeza (konyagi)
 
Back
Top Bottom