Kariakoo kwachafuka, maduka yafungwa...

Kariakoo kwachafuka, maduka yafungwa...

chanzo changu makini kimeniambia polis wamezidiwa kariakoo na sasa wameomba msaada kwa wanajeshi na wanajiandaa kwenda kutuliza ghasia

maeneo ya upanga zimepita gari tatu za jeshi zinaenda kumwaga watu uko zilikua spidi nimeshindwa ata kuchukua picha,jamaa wanaonekana wananjaa ya kuua mana hawajapigana mda mrefu sana

Bora JWTZ waingilie kati.... dawa ya hao wanoleta fujo kuwakamata na kuwapeleka magereza za mbali kama Nansio, Kyaka, Bunda, Ruangwa, Tunduru, Kibondo, Loliondo, Chunya, Kiabakari, Liwale, Mbulu, Kateshi, Ukerewe wakapumzike kama ilivyokuwa enzi za Mwalimu...... iwe ni taabu hata jamaa zao kwenda kuwaangalia.....
 
Mkiambiwa pelekeni watoto wenu shule hamtaki mnawapeleka madrasa matokeo ndio haya
 
Bora jeshi litwae serikali, tumechoka na Dhaifu, haya ni matokeo ya dhaifu kutokuwa serious!
. Njia pekee ya CCM kuamini sasa ndani ya mioyo yao kwamba kuwagawa watz kwa matabaka ya kidini ni kosa. Kama leo kundi moja linapewa rasilimali za nchi wale watakavyo wengine wawe ndio watumwa wa kundi hilo ni hatari. hata waikristo wangalifanyiwa unyama huu na ubaguzi wasingekubali
 
Mkuu, vibaka nao wametoka kuswali msikitini leo siku ya Ijumaa?
Wale waliomzunguka Ponda ni vibaka?
Ponda ni kibaka?

Excatly, ni vibaka wanatumia dini kutenda maovu. Siami hata kidogo uislam unafundisha fujo.
 
wasi wasi wangu ni waandishi wa habari....wakae mbali jamani....vitu vyenye ncha kali na vizito ni vingi.....
 
  • Thanks
Reactions: awp
Wanataka kuhami dini eh!? ngoja wakutane na wanaume! wakaulize pemba kule kilichowapata dada zetu!
 
Mazao ya shamaba tutanunua wapi na wkend ndio hiyo inaanza.
 
wana hamu ya kumwaga damu kupitia udini!!


maandamano-waislamu-jumuiya-na-taasisi-za-kiislamu.jpg
 
Tunapoelekea ni huku Waislamu ndani ya Serikali, CCM,Jeshi, Polisi kuasi cpati picha nani ataumia
 
Pole sana mkuu,
sasa nyinyi wengine mnafanya nini kuonyesha kwamba wanaofanya wenzenu sio matakwa ya DINI yenu?
Si mnakaa kimya tu ndio maana mnachanganywa wote?
Ponda akitoa tamko kwani kuna siku hata moja mmeshawahi kumpinga hadharani na kusema uislamu hausemi hivyo?
Bila kufanya hizo juhudi, kila siku mtakuwa treated like birds of the same feather...
tunakemea wanaofanya fujo na ndo maana hata hapa tunakemea.na hata shekhe wa mkoa wa dar es salaam alikemea TBC na alizungumza vizuri kweli.
 
Back
Top Bottom