Kariakoo kwachafuka, maduka yafungwa...

Kariakoo kwachafuka, maduka yafungwa...

Pole sana mkuu,
sasa nyinyi wengine mnafanya nini kuonyesha kwamba wanaofanya wenzenu sio matakwa ya DINI yenu?
Si mnakaa kimya tu ndio maana mnachanganywa wote?
Ponda akitoa tamko kwani kuna siku hata moja mmeshawahi kumpinga hadharani na kusema uislamu hausemi hivyo?
Bila kufanya hizo juhudi, kila siku mtakuwa treated like birds of the same feather...

Wangekuwa na busara kama zilizofanywa na KKKT pale Mbagala chini ya Dr. Malasusa, haya yote yasingetokea.
 
haki ipi hiyo? Mgaiwe shule, hospital zinazo milkiwa na makanisa? Nani aliwatuma kucheza bao na mdumange badala ya kusoma?
watoto wao wakiwa mabinti, haraka wanapelekwa mkoleni badala ya tuitions mpaka unasahau time-table! Wana kazi ya kupika majungu na kula urojo, sasa hayao ndio matokeo, na bado!!! Someni ndugu zanguni!
 
Someni,mkisoma vizuri hayo yote hayatakuwepo.Sasa tangia umeanza kuishi ni lini na wapi ulisikia ukiwa na cheti cha MADRASA utapata kazi au sauti kwenye jamii.

Anayesoma MADRASA wala hatafuti ujira hapa duniani
 
Nipo hapa ktk mtaa wa uhuru na msimbazi, hali ni mbaya,mabomu yanapigwa hovyo na police, hali ni ya wasiwasi wanainchi wanakimbia hovyo.
Police wametanda mitaani zaidi ya mabomu 30 ya kutoa machozi yamelipuliwa na bado wanaendelea kupiga.gari la police linapiga kingora kuwasihi raia wote waondoke eneo la kariakoo. Kwa kweli hali ni mbaya, maduka yote yamefungwa.

Kisa ni maandamano ya waisilamu yaliyopangwa kufanyika leo.
 
Hizo zinaangukia kwenye state of emergency. Je rais kishalijulisha taifa? Utaratibu tuliouzoea polisi wanatakiwa wafanye kazi hiyo
mazoea wakati mwingine ni tofauti na sheria.mfano kwa mazoea watu kama kina ponda wamekuwa wanaitwa wanaonywa lakini kisheria walitakiwa wakamatwe toka siku za nyuma.hata hivyo level ya utumiaji wa nguvu ya serikali lazima ilingane na ya upinzani ndo maana jeji haliingilii haraka
 
chanzo changu makini kimeniambia polis wamezidiwa kariakoo na sasa wameomba msaada kwa wanajeshi na wanajiandaa kwenda kutuliza ghasia

maeneo ya upanga zimepita gari tatu za jeshi zinaenda kumwaga watu uko zilikua spidi nimeshindwa ata kuchukua picha,jamaa wanaonekana wananjaa ya kuua mana hawajapigana mda mrefu sana
Acha shiria ichukue mkondo wake,sidhani kama ni busara kugeuza nchi hii kuwa ni ya dini furani khari tukijua nchi hii haina dini hata katiba inasema hivyo sasa hawa wenzetu wanavunja katiba!
 
... Hao wanaoleta fujo sio waislam, ni vibaka...
Aisee, kumbe hii nchi ina vibaka wengi sana! Tena wanapora baada ya swala ya alasiri wakitokea misikitini! Sasa tuwafanyeje hawa vibaka?
 
kwa habari nilizonazo ndugu zangu wanasema wanajipanga afu wanarudi upya
 
Back
Top Bottom