Mtu mwenyewe ni CDM
Naomba kutoa angalizo.
Mjadala usibebe dharau kwa waislamu wote maana kuna wengine haya mambo yanatuchukiza jinsi yanavyo kuwa handled kwa taswira ya vurugu ambayo matokeo yake ni kuiharibu amani ya wote (waliomo na wasio kuwemo).
Naamini uislamu hauhimizi vurugu kwenye kukabiliana na mambo ya msingi bali huhimiza busara na hekima kwenye kuitafuta haki ikiwa ni pamoja na kuufanya upendo ushamiri.
mimi nadhani njia pekee ya kamati kuu ya CCM kuunda tume maalum. kuangalia athari ya ubaguzi wa kidini unaosambaa. haiwezekani tabaka moja la kidini linakuwa na sauti kubwa na jengine kuonekana kiroja ndani ya jamii. hii waislam wengi linatuumiza. hata muunde jeshi, muajiri CIA, FBI. tatizo hili halitaondoka.
Haiwezekani Kuna mkataba kati ya kanisa na serekali kutoa fedha za umma kwa ajili yao halafu unataka watu wavumiliane. kama kuvumiliana muanze CCM na CHADEMA . tuanona kila siku chadema wanaandama kupinga uonevu wa polisi na CCM
na kulinda amani ya nchi,kurudisha hali ya utulivu kunapokuwa na fujo nakusaidia kwenye maafa.tembelea web-page yao ujisomee shekhe wangu.
Mohamedi, ni vizuri watu wakaangalia hii incident kwa uwazi. Hao wanaoleta fujo sio waislam, ni vibaka.period. And given the opportunity hata kama wangekuwa wapagani wangefanya wanayofanya sasa.
Waislam wanatakiwa sasa wa-claim dini yao toka kwa hawa vibaka wanaoitumia kuleta fujo. For too long hii dini imechezewa na hawa semi-illiterates.
dawa ni kuwatendea haki waislam kama vile wakirsito. hata muagize majeshi, waislam na wakiristo hawaishi kambi za jeshi. wanaishi mitaani ambapo majeshi hayafiki hata yakifika yanwezekana yakachelewa kuja siku ya tukio
Technique hii nimeipenda. ipo siku ccm itawaheshimu waislam kama wanawaheshimu wakiristo
dawa ni kuwatendea haki waislam kama vile wakirsito. hata muagize majeshi, waislam na wakiristo hawaishi kambi za jeshi. wanaishi mitaani ambapo majeshi hayafiki hata yakifika yanwezekana yakachelewa kuja siku ya tukio
Aliyeyaaanzisha haya ya udini kwa sasa anakula kuku Oman uaneni sana sijui mtasingizia mnaonewa? kiongozi wa nchi ni mchamba wima mwenzenu........
Naomba kutoa angalizo.
Mjadala usibebe dharau kwa waislamu wote maana kuna wengine haya mambo yanatuchukiza jinsi yanavyo kuwa handled kwa taswira ya vurugu ambayo matokeo yake ni kuiharibu amani ya wote (waliomo na wasio kuwemo).
Naamini uislamu hauhimizi vurugu kwenye kukabiliana na mambo ya msingi bali huhimiza busara na hekima kwenye kuitafuta haki ikiwa ni pamoja na kuufanya upendo ushamiri.