Kariakoo kwachafuka, maduka yafungwa...

Kariakoo kwachafuka, maduka yafungwa...

nimepishana na Malori matano ya JWTz maeneo ya Manyanya yako kasi na bendera nyekundu huku yamewasha taa kama nusu saa iliyopita
 
maeneo ya upanga zimepita gari tatu za jeshi zinaenda kumwaga watu uko zilikua spidi nimeshindwa ata kuchukua picha,jamaa wanaonekana wananjaa ya kuua mana hawajapigana mda mrefu sana
 
mi naanza kuhisi ni njaa tu na ugumu wa maisha ..............
 
tena bora waingie wapige sana hawa wajinga wajinga maana washageuza nchi yakwao hii na rais wao mpuuzi
Mnyika john aliona mbali, tena mbali sana kuwa tumefika hapa tulipo kwa sababu ya..............mate yamenikwama.....UJINGA, UPUUZI na UDHAIFU wa.wa..........kumbe na JK yumo.
 
Nilionya siku nyingi kwamba kunasiri kubwa nyuma yake

neno mfumo kristo ni kisingizio tu cha safari ndefu kuelekea

- matarajio ya utawala wa mahakama ya kadhi na matunizi ya sharia law kama ilivyo kwa malengo ya Alkaeda, Boko

haramu, Janjaweed alshabab nk.

Kwa bahati mbaya watanzania kwa umoja wetu waislamu kwa wakristu na wate wasioamin bado tunapendana hivyo

haitawezekana hata siku moja Tanzania kuwa chini ya utawala wa kiimani.

Ni wajinga wachache wanaamini hivyo, kibaya zaidi ukifikishwa jela au mahabusu hapo ndipo kauli ya majuto ni

mjukuu huvinjari kichwani.
 
Waislamu ni wakolofi, mnafudishwa vulungu misikitini. FFU Chinga simple mmoja. Na kwa upumbavu huo mnaofanya mtaoneka ni wahamiaje ktk nchi
 
Kova maneno mengi polisi wake wamezidiwa nguvu mpaka wameita wanajeshi.
 
maeneo ya upanga zimepita gari tatu za jeshi zinaenda kumwaga watu uko zilikua spidi nimeshindwa ata kuchukua picha,jamaa wanaonekana wananjaa ya kuua mana hawajapigana mda mrefu sana

Tena ukizingatia DHAIFU kawanyima wasimtandike Joyce.
 
3738497_orig.jpg

Sasa naelewa vizuri........kumbe vurugu ni kwa wenye CHEMBE ZA IMANI na sio IMANI KAMILI.......no wonder.......ila wako wengi
 
dawa ni CCM kujua tz sio ya dini. kanisa vs quran yote yanahaki sawa. ukiamini kanisa ndio nembo ya taifa. hapa ndipo CCM inatufikisha
 
chanzo changu makini kimeniambia polis wamezidiwa kariakoo na sasa wameomba msaada kwa wanajeshi na wanajiandaa kwenda kutuliza ghasia
Ni kweli kuna dalili za kuzidi maana wanandama kwa mtindo wa kusambaa, sasa polisi inawawia vigumu kuwazibiti.
 
duh!iishakuwa tabu!lkini sasa kwanini serikali ianaviachia vyombo vya uchozezi kuendelea kama ilivo radio imani,hizi radio ndizo chanzo kikubwa cha mauaji ya kimbari Rwanda na burundi,Please SERIKALI IFUNGENI RADIO IMANI!
 
Waislamu wa hapa wanadhani watapata recognition na maandamano yaitikiwa kote dunuani. Hilo haliwazekani kwani hoja wanayoitetea haina mashiko
 
Ni kweli kuna dalili za kuzidi maana wanandama kwa mtindo wa kusambaa, sasa polisi inawawia vigumu kuwazibiti.
Technique hii nimeipenda. ipo siku ccm itawaheshimu waislam kama wanawaheshimu wakiristo
 
Back
Top Bottom