schlumberger
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 890
- 350
aliyewanyima waislam elimu alikosea sana,haya ndio matunda
Hilo kweli: hata sisi tumepenyapenya kwa shida mno! suspension kibao. Kisa Muislam!
aliyewanyima waislam elimu alikosea sana,haya ndio matunda
duh. hii hatari hasa hivi huu si UDINI tena. hata jeshi linaingia
Its Human Nature....hali ni tete kkoo ni damu kila mahali, si wamuachie huyo sheikh ponda, nakuleteeni picha za maiti muda si mrefu.
Aiseee!! Kwhy ndege ya vita ya adui ikiingia kwenye anga letu na rais hayupo, so itaachwa hivi hivi?Hiyo amri wameipata wapi wakati amiri jeshi hayupo, au ametuma kwa email na simu...
hakuna hatari hiyo inayozungumziwa.....
kuna kuongeza chumvi humu