Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 9,584
- 19,469
Wewe wacha porojo njoo znz ule hadharani mchana wa Ramadhani ndio utajua hujui karibu sana znz
Wewe wacha porojo njoo znz ule hadharani mchana wa Ramadhani ndio utajua hujui karibu sana znz
Nzuri hii ❤️Nenda ukabirikiwe
Hizo sheria zipo znz wewe mtanganyika inakuuma kitu gani,? Sii ubaki kwenu I ujinga ni mzigo pole sanaHii dini hii sijui ilianzishwa na kiumbe gani!! Wanafunga mchana ili wale Usiku Kucha sisi tukiwa tumelala!! Funga ni yako, Dini ni yako na Thawabu kama kweli zipo ni zako sasa nongwa ya nini??
Hizo sheria zipo znz wewe mtanganyika inakuuma kitu gani,? Sii ubaki kwenu tanganyika ujinga ni mzigo pole sanaKwanza mfungo gani wa kuvizia mwezi mmoja tu kwa mwaka? Nb hii dini ni janja janja tu
Dah hizi akili za wapi!Wewe wacha porojo njoo znz ule hadharani mchana wa Ramadhani ndio utajua hujui karibu sana znz
Mambo ya imani hayatumii nguvu zinazo onekana boss. Mwana dini akimpiga mwanadamu mwenzake baada ya kumkosea ana tofauti gani na mtu asiye na dini? Kwenye imani ni mahali pakupata amani wanaogombana na kupigana kwa nguvu zinazo onekana watofautiana vipi na watu wasio na dini. Maana hata wachawi hawamwadhibu mtu anaye wakosea kwa nguvu zinazoonekana. Wanafanya maombi kwanini msimwombee.Wewe ndio mjinga sheria zipo znz wewe mtanganyika inakuuma kitu gani,? Sii ubaki kwenu tanganyika ujinga pia ni ugonjwa wahi haraka hospitali ukatibiwe pole sana
Hebu taja hiyo sheria kama ipo....wewe sasa umefunga nini kama unadanya kitu ambacho hakipoHizo sheria zipo znz wewe mtanganyika inakuuma kitu gani,? Sii ubaki kwenu tanganyika ujinga ni mzigo pole sana
Mbona wengine mna wakamata kamateni na HaoKamisheni ya Utalii Zanzibar imethibitisha kuipiga faini ya dola 500 kampuni ya utalii ya Organisateur Francophone Tours and Travel kwa kuruhusu watalii kula hadharani katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhan.
Katika taarifa Afisa wa Uhusiano wa Tume ya Utalii Zanzibar Mohamed Nassor Bajuni alisema kampuni hiyo ilikiuka miongozo na maagizo yaliyotolewa kwa wafanyabiashara wa utalii wakati huu wa mfungo wa Ramadhani.
''Toka kuanzishwa kwa kamisheni huo tunatoa notisi maalumu kwa kipindi cha mwezi wa Ramadhani kuhusiana na suala hili'' alisema Bw.
Muongoza watalii wa kampuni hiyo, Khamis M. Kahogo pia amezuiliwa kufanya shughuli zozote za utalii kwa muda wa miezi mitatu," aliongeza kusema.
Kamisheni hiyo imesisitiza umuhimu wa kufuata desturi na mila za visiwa vya Zanziba hasa wakati huu wa mfungo wa Ramadhan.
Zanzibar ndo kuna uislamu sasa kwa taarifa yakoSijawahi ona waislamu wajinga kama wazanzibari.
Hao wageni. Wakiristo wa bongo wanataka ushindani wa kiccm vs kichademaMbona wengine mna wakamata kamateni na Hao
Hii ni dini ya haki inayomwsmini Mungu mmoja na siyo dini zinazoanzishwa na watu mbalimbali kwa ajili ya kujipatia vipato,kila mtu anazisha kanisa lake na anaweka utaratibu wake.Ukristo uko kanisa katoliki na KKT,hilo kanisa lako sijui limeanzishwa na nani?Hii dini hii sijui ilianzishwa na kiumbe gani!! Wanafunga mchana ili wale Usiku Kucha sisi tukiwa tumelala!! Funga ni yako, Dini ni yako na Thawabu kama kweli zipo ni zako sasa nongwa ya nini??
Uislamu wa mwezi wa RamadhaniZanzibar ndo kuna uislamu sasa kwa taarifa yako
🙄🙄🙄🤔Kamisheni ya Utalii Zanzibar imethibitisha kuipiga faini ya dola 500 kampuni ya utalii ya Organisateur Francophone Tours and Travel kwa kuruhusu watalii kula hadharani katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhan.
Katika taarifa Afisa wa Uhusiano wa Tume ya Utalii Zanzibar Mohamed Nassor Bajuni alisema kampuni hiyo ilikiuka miongozo na maagizo yaliyotolewa kwa wafanyabiashara wa utalii wakati huu wa mfungo wa Ramadhani.
''Toka kuanzishwa kwa kamisheni huo tunatoa notisi maalumu kwa kipindi cha mwezi wa Ramadhani kuhusiana na suala hili'' alisema Bw.
Muongoza watalii wa kampuni hiyo, Khamis M. Kahogo pia amezuiliwa kufanya shughuli zozote za utalii kwa muda wa miezi mitatu," aliongeza kusema.
Kamisheni hiyo imesisitiza umuhimu wa kufuata desturi na mila za visiwa vya Zanziba hasa wakati huu wa mfungo wa Ramadhan.
Hawa ambao wana kashfa ya kula na kuliwa matako?Zanzibar ndo kuna uislamu sasa kwa taarifa yako
Wanashinda na njaa hao hawafungiKwani watu wakila hadharani wao wanapungukiwa nini? Hawa jamaa wana upumbavu wa milele!
Kama ni kweli wako serious wangewachapa viboko wazungu. Wanawatarget Wabara... Watakuwa na chuki nao.hakujakuwa na viboko sio
Washika dini wengi ni WAPUMBAVUSijawahi ona waislamu wajinga kama wazanzibari.
Ila ndio wanaowakimbiza nchi hii, nyie makafir unafki na chuki ndio unswasumbua hao unaowaita wajinga ndio wameshikilia uchumi wa nchi yako top 15 ya matajiri nchi hii kuna mkristo mmoja tu mzee mengi ambae naye baada ya kufa mali zote zimeanza kupotea sasa hapo nani mwenye akili?Waislam wengi huwa hawana akili kabisaa hata kama kasoma degree ngapi.