Je, Wakristo wataruhusiwa kusherekea Sikukuu ya Pasaka Jumapili huko Zanzibar? Je, endapo watasherehekea watakamatwa kwa kula mchana?

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
876
4,101
Kuna msuguano wa fikra mitandaoni kuhusu Katazo la kula mchana adharani huko Zanzibar kipindi hiki cha Mfungo.

Lakini kwa wenzetu wakristo jumapili ni Sikukuu ya Pasaka na naamini Zanzibar kuna wakristo wengi ambao wanajiandaa kusherekea Sikukuu hiyo. Je, Katazo la kula adharani linawahusu?

Kama linawahusu je ni marufuku kufunga kwaresma Zanzibar na kusherekea Pasaka?
 
Kuna msuguano wa fikra mitandaoni kuhusu Katazo la kula mchana adharani huko Zanzibar kipindi hiki cha Mfungo.

Lakini kwa wenzetu wakristo jumapili ni Sikukuu ya Pasaka na naamini Zanzibar kuna wakristo wengi ambao wanajiandaa kusherekea Sikukuu hiyo. Je, Katazo la kula adharani linawahusu?

Kama linawahusu je ni marufuku kufunga kwaresma Zanzibar na kusherekea Pasaka?
Wa kuristo wa Zazibar wana discpline na wana heshimu taratibu na sheria za walio wengi.....sio wa babe ka wa kuristu wa bara.
 
Kuna watu walikuwa wakisema Mwinyi Junior ni mpole, mstaarabu na bright sana.

Wewe unaamini hivyo?
 
Kama wapo wakristo huko wanatakiwa kurudi Bara kwaajili ya pasaka au lah wasisherehekee maana litawakuta jambo
 
Back
Top Bottom