Mwakilishi
JF-Expert Member
- Jan 31, 2007
- 483
- 32
Ngugu mwana JF
JKT ilitukutanisha watu wa kutoka kila kona ya nchi yetu na fani mbali mbali, hii leo kwa aliyepitia JKT karibu kila ofisi atakayoingia atakutana na mtu walipitia pamoja jeshini. lilitujengea umoja ambao thamani yake ukiwa na mtizamo finyu utaona kama ilikuwa ni kupoteza mda, mfano wa Kenya si unaona yanayotokea sasa ni mapungufu kwa kiasi fulani yaliyotokana na kutowaweka vijana pamoja kujifunza nidhamu na uvumilivu
Wrong! Kenya kuna National Youth Service NYS tena iko more organized kuliko JKT ilivyokuwa na ipo mpaka leo, usitoe maneno bila uhakika, nimeweka link huko juu hebu isome ujionee.