Zitto
Former MP Kigoma Urban
- Mar 2, 2007
- 1,562
- 10,880
Na dhani huyo Mwanakijiji ni mmoja wa wale ambao kwa sababu zao au familia zao walizuiwa kwenda JKT.
katika mambo ambayo mimi binafsi nasikitika ni kusitshwa kwa mafunzo ya JKT.
JKT iliweka uwanja sawa kwa wale "those who have and have not".
JKT iliongeza mshikamano na kuunganisha utanzania wetu, jambo ambalo ndugu zetu wa kenya wanalikosa na kuzidisha ukabila.
Kwa hali ya kawaida mtu ambaye umepata naye shida na mwisho mka-survive ni nduguyo na haiwezekani ukamtendea jambo lolote la kukatisha maisha yake.
JKT ilikuwa ni kama formation camps ukiachilia mbali uzalishaji.
Ufisadi uliosababisha mpaka JKT kuonekana kama wanatumia zaidi ya kila wanachozalisha ni kitu henzi hizo kilikuwa kinaitwa POLOLO.
POLOLO kwa maana rahisi ilikuwa ni kuchukua bidhaa za jeshi kwa ajili ya matumizi ya nyumbani hasa wale askari. Lakini ilikuja fikia kiasi kwamba WAKUU WA JESHI WANACHUKUA MALORI YA MAHINDI, MPUNGA N.K KWA MFUMO HUO WA POLOLO. LAST hasara hiyo ikawa inatokea katika makambi mengi ya JKT na kusababisha Serikali kushindwa kuhimili hasara hizo. WAKUU HAO KWA SASA NDIO WAKUU WA MAWILAYA, WAKUU WA MIKOA N.K
Kwa maoni yangu NYERER ALIKUWA NA MAONO MAZURI SANA KTK UANZISHWAJI WA KAMBI HIZO ISIPOKUWA WALE WALIOPEWA DHAMANA YA KUSIMAMIA NDIO WALIKUWA MAFISADI.
katika mambo ambayo mimi binafsi nasikitika ni kusitshwa kwa mafunzo ya JKT.
JKT iliweka uwanja sawa kwa wale "those who have and have not".
JKT iliongeza mshikamano na kuunganisha utanzania wetu, jambo ambalo ndugu zetu wa kenya wanalikosa na kuzidisha ukabila.
Kwa hali ya kawaida mtu ambaye umepata naye shida na mwisho mka-survive ni nduguyo na haiwezekani ukamtendea jambo lolote la kukatisha maisha yake.
JKT ilikuwa ni kama formation camps ukiachilia mbali uzalishaji.
Ufisadi uliosababisha mpaka JKT kuonekana kama wanatumia zaidi ya kila wanachozalisha ni kitu henzi hizo kilikuwa kinaitwa POLOLO.
POLOLO kwa maana rahisi ilikuwa ni kuchukua bidhaa za jeshi kwa ajili ya matumizi ya nyumbani hasa wale askari. Lakini ilikuja fikia kiasi kwamba WAKUU WA JESHI WANACHUKUA MALORI YA MAHINDI, MPUNGA N.K KWA MFUMO HUO WA POLOLO. LAST hasara hiyo ikawa inatokea katika makambi mengi ya JKT na kusababisha Serikali kushindwa kuhimili hasara hizo. WAKUU HAO KWA SASA NDIO WAKUU WA MAWILAYA, WAKUU WA MIKOA N.K
Kwa maoni yangu NYERER ALIKUWA NA MAONO MAZURI SANA KTK UANZISHWAJI WA KAMBI HIZO ISIPOKUWA WALE WALIOPEWA DHAMANA YA KUSIMAMIA NDIO WALIKUWA MAFISADI.