MubengaJr
Member
- Oct 14, 2022
- 85
- 185
Niwakumbushe vijana wenzangu, ukiamua kwenda JKT kwa matumaini utakuja kuvaa magwanda ya mabaka ili tukuogope mtaani na unajua kuwa huna connection, fahamu wewe umekwenda JKT kufanya kibarua.
Mimi nilihitimu kufanya kibarua changu JKT mwaka 2015. Sasa hivi bado ninajitafuta kitaa sielewi.
Vibarua wenzangu wa JKT tuliohitimu miaka iliyopita tukutane hapa kupeana uzoefu wa mambo yalivyo kitaa.
Mimi nilihitimu kufanya kibarua changu JKT mwaka 2015. Sasa hivi bado ninajitafuta kitaa sielewi.
Vibarua wenzangu wa JKT tuliohitimu miaka iliyopita tukutane hapa kupeana uzoefu wa mambo yalivyo kitaa.