JK kaacha kishindo Dar?

Kuna taarifa kwamba Rais Kikwete ameacha kishindo ndani ya serikali kabla hajaondoka. Nalala usiku mwema kwa walio na usiku wengine hata sijui nisemeje, ila tukiamka tuttafuaatili, sitopokea simu hadi kesho saa 3 asubuhi


Tumwagie mambo sasa!
 
Kuna taarifa kwamba Rais Kikwete ameacha kishindo ndani ya serikali kabla hajaondoka. Nalala usiku mwema kwa walio na usiku wengine hata sijui nisemeje, ila tukiamka tuttafuaatili, sitopokea simu hadi kesho saa 3 asubuhi

Halisi be for real basi mbona umetuacha njia panda?!!!!
 
Nashangaa watu wanaoheshimika kwa vyanzo vya habari kwenye majukwaa leo wanakubali kudhalilika..
Mkjj, Halisi, kunani?...au waandishi mmepigwa stop kuingia kwenye conference?
 
Ni kweli kwa mujibu wa vyanzo vyangu lakini amesimamishwa boss wa TISS na si kufukuzwa. Huyu ni potential figure kiserikali ingawaje watu wanaweza kumpuuza. Sababu ni kuleak kwa siri kunakohusishwa na rushwa.
 
Naona kama vile tunakaribia Misri na Libya...tuko karibu nao kama pua na mdomo
 
Kama ni kweli RO katoswa, hili ni kubwa sababu zifuatazo:
-RO amekuwa analalamika sana kwenye korido kuwa ushauri anaompa JK hauheshimiwi, ni mbishi na anawaamini sangoma zaidi kuliko idara ya RO.
-RO ameonekana amechoka sana siku za karibuni na hata kutishia kujiengua yeye mwenyewe. Kama hii ni kweli, atakuwa amefurahi sana.
-Kuna watu ndani ya idara wamekuwa wanamkalia kooni kwa kudai hakustahili kuteuliwa yeye kwa nafasi hiyo. Yupo Prof mmoja wa Chuo cha Diplomasia, ndiye kinara wa movement hii na inasikika kuwa ndiye possible mteule.
-JK anamtuhumu RO kuwa amejiunga na kambi ya mzito fulani kwa mbio za 2015, na kambi hiyo si chaguo la JK.

Jamani hizi zote ni TETESI tu. Walioanzisha thread, watujuze kishindo ni kipi.
 
Duh Halisi na MMM mbona mmesepa wakuu?? Tunasubiri mtumwagie mambo hapa jamvini!!!!
 
Magogoni has proved over the past years that it is unable to execute decisions that are in the favor of national interest.

There is no KISHINDO, Magogoni is too predictable, so predictable that my friends in the media are well aware that the

so called BREAKING NEWS as long packed its bags and vacated the premises.

Dont get carried away by this thread!
 
Kwa vile mwanzisha thread hii hataki kuweka wazi ni kishindo gani,basi mimi naweza ku-predict kishindo alichoacha Kiwete. Ni kwamba baada ya hutuba yake iliyoonyesha hofu kubwa kwa Chama Makini chenye watu waliokwenda shule. NAWEZA KUBASHIRI KATI YA MAMBO 2 ALIYOAACHA:
  1. KWAMBA ATAKUWA AMEAGIZA VIONGOZI WOTE WAANDAMIZI WA CHADEMA WAKAMATWE WAWEKWE NDANI KWA KUCHOCHEA MAPINDUZI YA KUIONDOA SERIKALI YA CCM ILIYOKO MADARAKANI.
  2. KUNA TAARIFA ZA KUAMINIKA KUWA SERIKALI IMEFULIA(HAINA PESA)MPAKA LEO 2/03/2011 KUNA WATUMISHI HAWAJAPATA MISHAHARA YA FEBRUARI HALI NI TETE JESHINI,POLISI NA KWENYE TAASISI MBALIMBALI ZA SERIKALI.
Sidhani kama kunaweza kuwa na kishindo zaidi ya hi ninavyodhani kuachwa na JK.

Naanza kuukubali utabiri wa Sheikh Yahya Tartiiiibu,

Wadau mnaukumbuka??
 
JK hana kishindo chochote; ni mkwara tu.

Wakati wa marehemu Amina (AC), JK alisikika kuwa ataangusha kishindo kwa wauza unga, lakini wapi. Hadi leo hakuna lolote.

Wakati aliponyimwa hela na wafadhili kwa ajili ya rushwa, aliahidi kuwa masifadi sasa wataipata. Akaunda TAKUKURU badala ya TAKURU na sheria mpya za kuwashughulikia; tangu hilo takola mkulu lianze, hatujaona lolote. Mafisadi wanayeya tu

JK hawezi kufanya lolote

JK ni kilaza asiyejua wajibu wa majukumu yake.

JK ni mtafuta sifa na ni mbinafsi sana. Kwake yeye urais wa nchi ni mradi wa ukoo wake wala haangalii maslahi ya nchi.


Hakuna cha kishindo wala cha nini kutoka kwa JK.

Nimesema!!!!!!


@#$@#$$%^&#^%%(*(&Y&*$&^*!!!!

... kaenda France na vimwana wa kishindo ! Ebo?
 
Jamani,mnatulusha roho hebu tujuzeni jamani sie tulio huku Tanganyika,MM please hebu tupe hata Dodoso au amesema hatarudi si nimsikia kaenda ufaransa bora
 
Kama ni kweli RO katoswa, hili ni kubwa sababu zifuatazo:
-RO amekuwa analalamika sana kwenye korido kuwa ushauri anaompa JK hauheshimiwi, ni mbishi na anawaamini sangoma zaidi kuliko idara ya RO.

Mkuu ebu tuambie anamlalamikia na nani ni ushauri gani aliompatia Rais akauweka pembeni.

-RO ameonekana amechoka sana siku za karibuni na hata kutishia kujiengua yeye mwenyewe. Kama hii ni kweli, atakuwa amefurahi sana.

Mkuu hapa tena napatwa kigugumizi RO hawezi kujiengua hata siku moja labda serekali nyingine lakini siyo hii ya Mkwere hakuna mtu wa kujiuzulu wa kujiengua.

-Kuna watu ndani ya idara wamekuwa wanamkalia kooni kwa kudai hakustahili kuteuliwa yeye kwa nafasi hiyo. Yupo Prof mmoja wa Chuo cha Diplomasia, ndiye kinara wa movement hii na inasikika kuwa ndiye possible mteule.

Taarifa nilizonazo RO atamalizaa salama kipindi chake cha ushushu labda nguvu ya umma itumike kumwondosha Mkwere magogoni.

-JK anamtuhumu RO kuwa amejiunga na kambi ya mzito fulani kwa mbio za 2015, na kambi hiyo si chaguo la JK.


Mkuu RO ni kambi ya Lowasa ndiye aliyemsaidia kushika wadhifa huo wakti akiwa waziri mkuu.RO kama mwanadamu lazima arejeshe fadhila hata ingekuwa usingefanya tofauti na anavyofanya sasa.Sidhani kama Lowasa si chaguo la Mkwere hii haitaji utabiri wa Shehe Yahaya au umesahau Lowassa aliwahi kusema hawajakutana barabarani.Tafakari chukua hatua okoa Tanzania kabla ya mwaka 2015 CCM ionekane kama chama cha kitchen party kuendela kukilea ni kuliletea taifa maafa makubwa.

Jamani hizi zote ni TETESI tu. Walioanzisha thread, watujuze kishindo ni kipi.

Halaa kumbe huna uhakika !!!!.
 
Back
Top Bottom