kishindo ni kuwa:
-othman rashid amestaafishwa kwa manufaa ya umma
-lawrance masha ateuliwa kuwa balozi nchini Switzerland (JK analipa fadhila za IMMA kumwajiri riz1) - balozi wa sasa ana staafu
-richard kasesera awa balozi nchini msumbiji (JK analipa fadhila za richard kuwa mpiga debe hodari) - balozi wa sasa ana staafu
-joseph kahama awa balozi nchini china (JK analipa fadhila za sinclair kuwasaidia na membe) - balozi wa sasa ana staafu
source: chanzo cha kuaminika ofisi ya Katibu Kiongozi
Tumeenda hadi pg ya 7 kwa speculations tu. Duh!
Tegua kitendawili mkuu, watu tunaifuatilia hii thread toka alfajiri lakini hatuelewi lolote.Mkuu baada ya kusomaa baadhi ya post nimepata kigugumizi, nasubiri taarifa rasmi ili nitegue kitendawili, maana ni utata mtupu na ndio maana si Breaking News ni "tetesi" na tunachotafuta ni uthibitisho japo hadi sasa taarifa hazijasema ni "uongo" ama "ukweli".... Kila anayesema anazungumza kimaslahi zaidi.
Kuna mtu amezungumzia Watanzania hawahitaji kujua kuhusu mtendaji wa serikali anayeteuliwa ama kustaafu..Nikamsikia mtu mmoja akijibu;
"Mwaka 1995 kabla ya uchaguzi, Marehemu Jaji Mkuu Mstaafu, Francis Nyalali, alisema (tafsiri yangu ya Kiswahili), Mtendaji fisadi anafasidi mtu mmoja mmoja ama kikundi kidogo cha watu lakini fisadi mwanasiasa anafasidi jamii nzima. Mwaka huu (1995)tujihadhari na na ufisadi (rushwa) katika kuwania madaraka katika uchaguzi mkuu na tunaelekea kuwa na mamluki wa kisiasa katika mfumo wa siasa za nchi hii maana tutakua na wanasiasa wanaotoa na kula rushwa (mafisadi) ambao hawatajali wapiga kura isipokuwa fedha zao na waliowafadhili."
Kwa maelezo hayo, mtendaji ambaye jukumu lake ni kuhakikisha hayo hayatokei, ambaye anapaswa kuhakikisha tunakua na viongozi safi wasio na doa, akiwa yeye anashiriki kuandaa viongozi wala rushwa wenye rekodi chafu, basi yeye ndiye wa kuanza kudhibitiwa (kama kweli) na baadae hao wanaoohofiwa sasa nao washughulikiwe, kinyume chake ni kwamba hata akiletwa malaika hao wanaohofiwa wataendeleza mikakati yao na kumuingia huyo mpya na zaidi katika mfumo mchafu kama huu wetu hatuna mtendaji ambaye hajapitiwa na harufu mbaya na kama wapo ni wachache ambao nao wamekuwa wakitengwa na kupigwa vita kila kukicha.
Mungu atupe subira na atuepushe na balaa maana dalili si nzuri hata kidogo tusipokua makini
kama kawaida...niko home nakunywa kahawa..window moja nasikiliza mahojiano ya mwanakijiji na Mh.Rais Dr w.Slaa
na window nyingine niko kwenye hii pagenafatilia tetesi hizi..
KWA HAPO ATAKUWA AMEMSAIDIA SANA, Mhe. Masha kwani nilikutana naye pale airport amechoka na kuwa mtu wa kawaida kabisa, hata kupitia kwa watu maarufu kulikuwa kumekwisha tulikuwa naye kwenye joto tukisubiri mizigo pamoja, nusu niulize kwa sauti WEWE SIYO MHE. MASHA, lakini niliweza kujiuzia, na alikuwa anaongea kama chiriku huku akilaumu hali ya uwanja,,,,,,,,,,haha ahah ahaha siasa kweli si hasa.
Duh Halisi na MMM mbona mmesepa wakuu?? Tunasubiri mtumwagie mambo hapa jamvini!!!!
Mkuu baada ya kusomaa baadhi ya post nimepata kigugumizi, nasubiri taarifa rasmi ili nitegue kitendawili, maana ni utata mtupu na ndio maana si Breaking News ni "tetesi" na tunachotafuta ni uthibitisho japo hadi sasa taarifa hazijasema ni "uongo" ama "ukweli".... Kila anayesema anazungumza kimaslahi zaidi.
Kuna mtu amezungumzia Watanzania hawahitaji kujua kuhusu mtendaji wa serikali anayeteuliwa ama kustaafu..Nikamsikia mtu mmoja akijibu;
"Mwaka 1995 kabla ya uchaguzi, Marehemu Jaji Mkuu Mstaafu, Francis Nyalali, alisema (tafsiri yangu ya Kiswahili), Mtendaji fisadi anafasidi mtu mmoja mmoja ama kikundi kidogo cha watu lakini fisadi mwanasiasa anafasidi jamii nzima. Mwaka huu (1995)tujihadhari na na ufisadi (rushwa) katika kuwania madaraka katika uchaguzi mkuu na tunaelekea kuwa na mamluki wa kisiasa katika mfumo wa siasa za nchi hii maana tutakua na wanasiasa wanaotoa na kula rushwa (mafisadi) ambao hawatajali wapiga kura isipokuwa fedha zao na waliowafadhili."
Kwa maelezo hayo, mtendaji ambaye jukumu lake ni kuhakikisha hayo hayatokei, ambaye anapaswa kuhakikisha tunakua na viongozi safi wasio na doa, akiwa yeye anashiriki kuandaa viongozi wala rushwa wenye rekodi chafu, basi yeye ndiye wa kuanza kudhibitiwa (kama kweli) na baadae hao wanaoohofiwa sasa nao washughulikiwe, kinyume chake ni kwamba hata akiletwa malaika hao wanaohofiwa wataendeleza mikakati yao na kumuingia huyo mpya na zaidi katika mfumo mchafu kama huu wetu hatuna mtendaji ambaye hajapitiwa na harufu mbaya na kama wapo ni wachache ambao nao wamekuwa wakitengwa na kupigwa vita kila kukicha.
Mungu atupe subira na atuepushe na balaa maana dalili si nzuri hata kidogo tusipokua makini
tuache ushabiki, Masha hajachoka na hi law firm has started to show a positive curve since he went back... jamani pamoja na kwamba tunaweza kuchukia mtu, basi tuwe careful kuropokaKWA HAPO ATAKUWA AMEMSAIDIA SANA, Mhe. Masha kwani nilikutana naye pale airport amechoka na kuwa mtu wa kawaida kabisa, hata kupitia kwa watu maarufu kulikuwa kumekwisha tulikuwa naye kwenye joto tukisubiri mizigo pamoja, nusu niulize kwa sauti WEWE SIYO MHE. MASHA, lakini niliweza kujiuzia, na alikuwa anaongea kama chiriku huku akilaumu hali ya uwanja,,,,,,,,,,haha ahah ahaha siasa kweli si hasa.
Wakuu niko gizani...
KWA HAPO ATAKUWA AMEMSAIDIA SANA, Mhe. Masha kwani nilikutana naye pale airport amechoka na kuwa mtu wa kawaida kabisa, hata kupitia kwa watu maarufu kulikuwa kumekwisha tulikuwa naye kwenye joto tukisubiri mizigo pamoja, nusu niulize kwa sauti WEWE SIYO MHE. MASHA, lakini niliweza kujiuzia, na alikuwa anaongea kama chiriku huku akilaumu hali ya uwanja,,,,,,,,,,haha ahah ahaha siasa kweli si hasa.
Kuna taarifa kwamba Rais Kikwete ameacha kishindo ndani ya serikali kabla hajaondoka. Nalala usiku mwema kwa walio na usiku wengine hata sijui nisemeje, ila tukiamka tuttafuaatili, sitopokea simu hadi kesho saa 3 asubuhi