tusubiri tu jamani... na sisi tuna beep vile vile.. ila kwa wale ambao tunafahamu mazingaombwe tunajua wakati mwingine hata kitu kikibadilishwa mbele ya macho yako haina maana ni kweli kimebadilika kwani mazingaombwe ni sanaa ya kudanganya macho.
kwa hotuba yake ya juzi hilo aliliweka wazi
wakuu wa mikoa?
tusubiri tu jamani... na sisi tuna beep vile vile.. ila kwa wale ambao tunafahamu mazingaombwe tunajua wakati mwingine hata kitu kikibadilishwa mbele ya macho yako haina maana ni kweli kimebadilika kwani mazingaombwe ni sanaa ya kudanganya macho.
Mkuu na mimi habari zinaanza kungia kutoka vyanzo mbalimbali.. tunajaribu kuthibitisha kama ni kweli....
Mkuu kwa style yako nimegundua unadokeza kwa kuuliza...Shimbo nini!?Shimboni...?