Kiherehere
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 1,806
- 621
We Maria Roza usijali...kalale ntakuamsha Mwanakijiji atakapo mwaga habari! :A S 13:
kwani MMM ndio kaanzisha thread hii??
We Maria Roza usijali...kalale ntakuamsha Mwanakijiji atakapo mwaga habari! :A S 13:
Tetesi ni kwaamba JK amemtema Rashid Othman wa TISS kabla ya kwenda Paris
Tetesi ni kwaamba JK amemtema Rashid Othman wa TISS kabla ya kwenda Paris
Tetesi ni kwaamba JK amemtema Rashid Othman wa TISS kabla ya kwenda Paris
Nilidhani Mwamunyange na mabomu yake?Hilo tu?
Tetesi ni kwaamba JK amemtema Rashid Othman wa TISS kabla ya kwenda Paris
Huyo ni Mkuu wa Usalama wa TaifaHuyo Rashidi Othmani ndio NINI??? na sitorudi tena kwenye thead hii naona waanzisha thread na wachangiaji wanapiga siasa. Inaboa kusoma kula mchango na hamna kinachoendelea.
Mie simo
Lakini angalau umetupa cha kujadili.. Akina MM na mwanzisha mada wame-enter the tree tangu jana..
Aiii semeni baas mnatuweka roho juu
Nadhani kuna jambo zito la kujadili. Kama ni kweli why? Na je, amestaafu ama anapewa ulaji mwengine? Je, ni kuhussu 2015 politics ama siasa za Chadema? Ina uhusiano gani na speech yake ya last time? Je, ndio baada ya kuondoka amekamatwa Slaa?
Huyo ni Mkuu wa Usalama wa Taifa