JK kaacha kishindo Dar?

JK kaacha kishindo Dar?

Lakini angalau umetupa cha kujadili.. Akina MM na mwanzisha mada wame-enter the tree tangu jana..
Hah hah enter the tree! Enter the bush , vanish inti the bush ? Safi.
 
Wacha akabembee mamtoni. Aliruka milestone ya kubembea, haki ya kila mtoto.
 
Tetesi, ... Tetesi, kuanzia JF hadi vijiweni Kariakoo. Baadae jioni waheshimiwa fulani watazimwaga kwenye muktatano wa hadhara baada ya maandamano ya pipoz pawa na kesho yake zinaamkia magazetini!
 
kishindo ni kuwa:
-othman rashid amestaafishwa kwa manufaa ya umma
-lawrance masha ateuliwa kuwa balozi nchini Switzerland (JK analipa fadhila za IMMA kumwajiri riz1) - balozi wa sasa ana staafu
-richard kasesera awa balozi nchini msumbiji (JK analipa fadhila za richard kuwa mpiga debe hodari) - balozi wa sasa ana staafu
-joseph kahama awa balozi nchini china (JK analipa fadhila za sinclair kuwasaidia na membe) - balozi wa sasa ana staafu

source: chanzo cha kuaminika ofisi ya Katibu Kiongozi
 
du mr / mis I love you..thank you.

kwa kiasi kikubwa nimehisi kitahusiana na idara ya uaslama wa taifa...maana nilisiki kwenye vyombo vya habari kuwa watafanya mkutano..sijui leo?

kampeleka masha kwa mabibi wazuri wa kizungu na makasino siriasi....atakuwa akimpitia pale on transit wale kuku...akute jamaa kamwandalia kidenti!! inaonekana ile habari ya ze komedi kumuonyesha anang'ang'ania arudishiwe wekundu wake gesti ilimuuma..

fanyeni mfanyalo, wasomi hatudanganyikiiiiiiiiiiiiiiiiii!!! ndio vitu klina john mrema na kina silinde walivikataa walivyopewa kama rushwa!!
 
Whatever kitaeleweka tu. Kashindwa Gaddaffi na kashfa na vitisho vyoooote itakuja kuwa bongo. Give me a break. Anamtisha nani sasa? Aweke mambo sawa CHICHIEMU hahaha. Wajinga ndio waliwao.
Colonel Gadafi bado hajashindwa na ameanza vitu vyake kwa kurudisha baadhi ya majimbo yaliyotekwa na jamaa wasio kuwa na dira,unajua hata maTaifa yanayotaka kusaidia wazalendo wamechanganyikiwa kwani hawajui nani yupo nyuma ya pata shika ya Libya ,Libya hakuna chama cha siasa,hivi sasa kuna mgenge kibao ,na Gadafi alivyokuwa mjanja aliwambia walinzi wa maghala ya silaha waondoke na wavae na kuchanganyika na raia au warejee Tripoli akijua kutatokea makundi na kuzitumia silaha hizo zaidi ya hayo kama ulisikiliza BBC na CNN leo ,wamesema wengi waliovamia maghala hawajawahi kuona hata bunduki kwa minajili ya kuitumia zaidi ya hivyo Gadafi karusha kombora kwa kusema waliofanya vitendo hivyo ni wafuasi wa Alkaeda sasa wazungu wameshikwa na kizunguzungu hawajui wamsaidie nani ,mfungwa mmoja wa Libya ameachiwa kutoka Guantanamo bay alipohojiwa kasema kweli Libya wapo wafuasi wa Alkaeda yeye akiwa mmoja wao.

Colonel Gadafi ni askari shujaa amekosea chupuchupu kufariki katika matokeo mbalimbali ,wazungu wanamwita Death survivor ,alianguka na ndege akapona alipigwa misile akapona ,mtoto wake alifariki. Na wanasema hao wazungu kuwa ipo kazi.
 
We Halisi, saa 3 asubuhi haijafika tu uwashe hiyo simu utoe taarifa ulizoahidi?
 
du mr / mis I love you..thank you.

kwa kiasi kikubwa nimehisi kitahusiana na idara ya uaslama wa taifa...maana nilisiki kwenye vyombo vya habari kuwa watafanya mkutano..sijui leo?

kampeleka masha kwa mabibi wazuri wa kizungu na makasino siriasi....atakuwa akimpitia pale on transit wale kuku...akute jamaa kamwandalia kidenti!! inaonekana ile habari ya ze komedi kumuonyesha anang'ang'ania arudishiwe wekundu wake gesti ilimuuma..

fanyeni mfanyalo, wasomi hatudanganyikiiiiiiiiiiiiiiiiii!!! ndio vitu klina john mrema na kina silinde walivikataa walivyopewa kama rushwa!!

mkuu usalama kuna waka moto.... mtu aliyenipa hizi data ni wa uhakika. masha mabinti wa kizungu watamkoma.. joseph nasikia kazaa na ps wa membe. mkwere analipa fadhila kwa washikaji zake si unajua hakuna cha bure
 
Mkwere ana kaz dis tym, hawez kushndana na nguvu ya umma, nasubir maandamo ya dar kwa hamu
 
Wewe ni Mwiba kweli.

Colonel Gadafi bado hajashindwa na ameanza vitu vyake kwa kurudisha baadhi ya majimbo yaliyotekwa na jamaa wasio kuwa na dira,unajua hata maTaifa yanayotaka kusaidia wazalendo wamechanganyikiwa kwani hawajui nani yupo nyuma ya pata shika ya Libya ,Libya hakuna chama cha siasa,hivi sasa kuna mgenge kibao ,na Gadafi alivyokuwa mjanja aliwambia walinzi wa maghala ya silaha waondoke na wavae na kuchanganyika na raia au warejee Tripoli akijua kutatokea makundi na kuzitumia silaha hizo zaidi ya hayo kama ulisikiliza BBC na CNN leo ,wamesema wengi waliovamia maghala hawajawahi kuona hata bunduki kwa minajili ya kuitumia zaidi ya hivyo Gadafi karusha kombora kwa kusema waliofanya vitendo hivyo ni wafuasi wa Alkaeda sasa wazungu wameshikwa na kizunguzungu hawajui wamsaidie nani ,mfungwa mmoja wa Libya ameachiwa kutoka Guantanamo bay alipohojiwa kasema kweli Libya wapo wafuasi wa Alkaeda yeye akiwa mmoja wao.

Colonel Gadafi ni askari shujaa amekosea chupuchupu kufariki katika matokeo mbalimbali ,wazungu wanamwita Death survivor ,alianguka na ndege akapona alipigwa misile akapona ,mtoto wake alifariki. Na wanasema hao wazungu kuwa ipo kazi.
 
Sijui nisemeje, Masha??..... Anaweza kazi au ni.... Huko ni kutudhalilisha.
 
Ni marufuku CDM kufanya maandamano katika Jiji la DSM na Arusha. Jeshi la polisi limeagizwa kuzuia kwa gharama yoyote.

Anacheza huyu ati nani kasema aseme hivyo? Anahubiri mahubiri yasiyohubirika. Maandamano yapo atake asitake vinginevyo.......naomba mnisaidie.
 
We Halisi, saa 3 asubuhi haijafika tu uwashe hiyo simu utoe taarifa ulizoahidi?

Mkuu baada ya kusomaa baadhi ya post nimepata kigugumizi, nasubiri taarifa rasmi ili nitegue kitendawili, maana ni utata mtupu na ndio maana si Breaking News ni "tetesi" na tunachotafuta ni uthibitisho japo hadi sasa taarifa hazijasema ni "uongo" ama "ukweli".... Kila anayesema anazungumza kimaslahi zaidi.

Kuna mtu amezungumzia Watanzania hawahitaji kujua kuhusu mtendaji wa serikali anayeteuliwa ama kustaafu..Nikamsikia mtu mmoja akijibu;

"Mwaka 1995 kabla ya uchaguzi, Marehemu Jaji Mkuu Mstaafu, Francis Nyalali, alisema (tafsiri yangu ya Kiswahili), Mtendaji fisadi anafasidi mtu mmoja mmoja ama kikundi kidogo cha watu lakini fisadi mwanasiasa anafasidi jamii nzima. Mwaka huu (1995)tujihadhari na na ufisadi (rushwa) katika kuwania madaraka katika uchaguzi mkuu na tunaelekea kuwa na mamluki wa kisiasa katika mfumo wa siasa za nchi hii maana tutakua na wanasiasa wanaotoa na kula rushwa (mafisadi) ambao hawatajali wapiga kura isipokuwa fedha zao na waliowafadhili."

Kwa maelezo hayo, mtendaji ambaye jukumu lake ni kuhakikisha hayo hayatokei, ambaye anapaswa kuhakikisha tunakua na viongozi safi wasio na doa, akiwa yeye anashiriki kuandaa viongozi wala rushwa wenye rekodi chafu, basi yeye ndiye wa kuanza kudhibitiwa (kama kweli) na baadae hao wanaoohofiwa sasa nao washughulikiwe, kinyume chake ni kwamba hata akiletwa malaika hao wanaohofiwa wataendeleza mikakati yao na kumuingia huyo mpya na zaidi katika mfumo mchafu kama huu wetu hatuna mtendaji ambaye hajapitiwa na harufu mbaya na kama wapo ni wachache ambao nao wamekuwa wakitengwa na kupigwa vita kila kukicha.

Mungu atupe subira na atuepushe na balaa maana dalili si nzuri hata kidogo tusipokua makini
 
Back
Top Bottom