Kwa vile mwanzisha thread hii hataki kuweka wazi ni kishindo gani,basi mimi naweza ku-predict kishindo alichoacha Kiwete. Ni kwamba baada ya hutuba yake iliyoonyesha hofu kubwa kwa Chama Makini chenye watu waliokwenda shule. NAWEZA KUBASHIRI KATI YA MAMBO 2 ALIYOAACHA:Sidhani kama kunaweza kuwa na kishindo zaidi ya hi ninavyodhani kuachwa na JK.
- KWAMBA ATAKUWA AMEAGIZA VIONGOZI WOTE WAANDAMIZI WA CHADEMA WAKAMATWE WAWEKWE NDANI KWA KUCHOCHEA MAPINDUZI YA KUIONDOA SERIKALI YA CCM ILIYOKO MADARAKANI.
- KUNA TAARIFA ZA KUAMINIKA KUWA SERIKALI IMEFULIA(HAINA PESA)MPAKA LEO 2/03/2011 KUNA WATUMISHI HAWAJAPATA MISHAHARA YA FEBRUARI HALI NI TETE JESHINI,POLISI NA KWENYE TAASISI MBALIMBALI ZA SERIKALI.
Naona wewe inabidi uwe mganga wa kienyeji. Utafanikiwa sana:teeth: