Nasikia wenzenu wamesimamishwa kwa sababu ya 'kuruhusu' wanafunzi kucheza wimbo usio na 'maadili' wa Honey. Saaawa.
Kusimamishwa kwao ni ujumbe kwenu mlio madarakani. achaneni na habari za muziki huko mashuleni kwenu.
Kuachana na muziki tafsiri yake futeni mahafali, hakuna mahafali ambayo wanafunzi na 'hata wazazi/walezi' wetu wa kileo watakubali yafanyike bila muziki. Tena muziki wenyewe ni huu unaotamba mitaani na sio huo wa kuomboleza au kuhamasisha sera ya vijiji vya ujamaa.
Nawaambia, mkikubali kufanyika mahafali halafu muwalazimishe wacheze muziki wa gospel na qaswida, mtapigwa mawe na wanafunzi hawa mchana kweupeee! Nimemaliza.
Kusimamishwa kwao ni ujumbe kwenu mlio madarakani. achaneni na habari za muziki huko mashuleni kwenu.
Kuachana na muziki tafsiri yake futeni mahafali, hakuna mahafali ambayo wanafunzi na 'hata wazazi/walezi' wetu wa kileo watakubali yafanyike bila muziki. Tena muziki wenyewe ni huu unaotamba mitaani na sio huo wa kuomboleza au kuhamasisha sera ya vijiji vya ujamaa.
Nawaambia, mkikubali kufanyika mahafali halafu muwalazimishe wacheze muziki wa gospel na qaswida, mtapigwa mawe na wanafunzi hawa mchana kweupeee! Nimemaliza.