Mkuu... angalizo... mimi ni mkulima wa strawberry miaka mingi saaana... kuotesha mbigu ni kazi ngumu saana kulingana na condition zetu...

La msingi ni kununua miche tu.
Mmoja unauzwa 1000.

Ukinunua 50 tu baada ya muda unapata miche yako km mia 5 na kuendelea

Sent from "La -Vista"
mkuu strawberry ni mimea ya aina ipi?????? toa ufafanuzi tafadhali, huenda nimeukalia uchumi!!!
 
unafanya kwa Credit Card...Aliexpress hamna PAYPAL ila wana ESCROW ambao wao wanashika pesa kama Brokers mpaka buyer a confirm mzigo umefika na uko na similar descriptions wakati ananunua....

then ukishaupata una confirm umepokea ndio wanamlipa PESA YAKE MUUZAJI

na unaweza kufungua KESI (dispute) ikiwa una mashaka na item yako uliyopokea LI EXPRESS wakishirikiana na ESCROW watakusaidia kupata aidha refund au new item from seller
Asante sana nimeelimika ninahitaji hasa kufanya manunuzi online,mahitajio msaada zaidi
 
Habari Wana jamiiF
Nafurahi Muwazima Wa Afya njema
leo naomba kuuliza je nikinunua bidhaa amazon au ebay nitatumiwa kwa njia ipiii?

je pia njia ipi salama kama nahitaji kununua bidhaa online?
Pia naomba kuuliza mzigo kusafirishwa kwa njia ya ndege kuna garama gani?(mizigo midogo midogo kama kamera hivi ama simu)

Napia mzigo nikinunua nje na kisha ukalipiwa garama za usafiri huko nnatakiwa nami kulipia tena jambo lolote kwa hapa tanzania?

Naombani msaada wakuu maana ninahitaji haswaaa kujua
 
Hivi kikuu delivery ipo kweli ata ukishalipia order kabsa

Sorry: nje ya mada kidogo lakini anayefahamu anieleweshe
 
Habari Wana jamiiF
Nafurahi Muwazima Wa Afya njema
leo naomba kuuliza je nikinunua bidhaa amazon au ebay nitatumiwa kwa njia ipiii?
je pia njia ipi salama kama nahitaji kununua bidhaa online?
Pia naomba kuuliza mzigo kusafirishwa kwa njia ya ndege kuna garama gani?(mizigo midogo midogo kama kamera hivi ama simu)
Napia mzigo nikinunua nje na kisha ukalipiwa garama za usafiri huko nnatakiwa nami kulipia tena jambo lolote kwa hapa tanzania?
Naombani msaada wakuu maana ninahitaji haswaaa kujua
Anzia mwazo kuna majibu ya haya maswali!
 
Kitu gani cha msingi zaidi unaangalia unaponunua bidhaa kwa njia ya mtandao?

ecommerce.jpg
 
Kitu gani cha msingi zaidi unaangalia unaponunua bidhaa mtandaoni?

1. Njia salama ya malipo itakayotumika - Epuka seller wanaotaka malipo yafanyike kwa Moneygram au western union iwapo ni mara ya kwanza kufanya naye biashara.

2. Njia ya usafirishaji, Hii inakupa Uhakika wa kupata mzigo kwa wakati - Usipo kuwa makini kipengele hiki waweza jikuta mzigo unaupata baada ya wiki 5, wakati ukiwa makini basi utapata mzigo ndani ya siku 15 - 21 au chini ya hapo.

3. Reviews za wateja wengine kwa seller na bidhaa husika kabla sijafanya maamuzi ya kulipia bidhaa husika.
 
Kitu gani cha msingi zaidi unaangalia unaponunua bidhaa mtandaoni?

1. Njia salama ya malipo itakayotumika - Epuka seller wanaotaka malipo yafanyike kwa Moneygram au western union iwapo ni mara ya kwanza kufanya naye biashara.

2. Njia ya usafirishaji, Hii inakupa Uhakika wa kupata mzigo kwa wakati - Usipo kuwa makini kipengele hiki waweza jikuta mzigo unaupata baada ya wiki 5, wakati ukiwa makini basi utapata mzigo ndani ya siku 15 - 21 au chini ya hapo.

3. Reviews za wateja wengine kwa seller na bidhaa husika kabla sijafanya maamuzi ya kulipia bidhaa husika.

Karibu www.bit.ly/101buy4me
Ahsante sana Mwalimu, ngoja nikucheki kuna kitu nataka kuagiza.
 
Back
Top Bottom