Umuzukuru
JF-Expert Member
- May 30, 2019
- 609
- 540
Habari za siku wadau wa JF,
Moja kwa moja kwenye mada,
Katika pita zangu huko mtandaoni katika masoko mtandao kama AliExpress na Alibaba nimekutana na hii bidhaa, bidhaa nauhitaji nayo lakini namna na taratibu za kuiagiza ndio naona kipengele ukizingatia ni mara ya kwanza kwenye hizi mambo za kuagiza bidhaa mtandaoni so hofu yangu iko kwenye uhakika wa kupata mzigo iwapo nitaagiza.
So lengo la uzi ni msaada wa namna au mawazo na mbinu,taratibu nazoweza kufuata ili mwisho wa siku nifanikishe huu uagizaji,so kwa wazoefu naombeni mnisaidie hapo au kama kutakuwa na mtu mwenye hiyo bidhaaa kwa bei lingani hapo anaweza kunicheki pia.
Moja kwa moja kwenye mada,
Katika pita zangu huko mtandaoni katika masoko mtandao kama AliExpress na Alibaba nimekutana na hii bidhaa, bidhaa nauhitaji nayo lakini namna na taratibu za kuiagiza ndio naona kipengele ukizingatia ni mara ya kwanza kwenye hizi mambo za kuagiza bidhaa mtandaoni so hofu yangu iko kwenye uhakika wa kupata mzigo iwapo nitaagiza.
So lengo la uzi ni msaada wa namna au mawazo na mbinu,taratibu nazoweza kufuata ili mwisho wa siku nifanikishe huu uagizaji,so kwa wazoefu naombeni mnisaidie hapo au kama kutakuwa na mtu mwenye hiyo bidhaaa kwa bei lingani hapo anaweza kunicheki pia.