DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 17,926
- 45,386
Hivi Mwanafunzi anayeshinda na njaa kuanzia Asubuhi hadi usiku saa tatu.
Hapa Dar es Salaama unakuta 90% ya wanafunzi wa shule za serikali wanaamka saa kumi na moja na kuanza kugombania daladala na wakifika shule hamna uji Wala chakula na mwanafunzi ili Afike kwao Mbagara, Gongo la Mboto au Kigamboni lazima afike usiku wa saa tatu au saa-mbili.
Wanafunzi hapa Dar salaam wamekuwa wakiugua vidonda vya Tumbo udumavu wa Akili. Kama naongea uongo naomba mtafute mtoto wa miaka 17/16 anayesoma ukimuangalia umbo Kama la mtoto wa miaka 9 au 10.
Naomba Serikali itengeneze Mfumo rafiki wa either Mzazi/mlezi kuchangia kiasi kidogo Cha pesa ili mtoto wake Apate chakula mashule mbona nyie wana-siasa watoto wenu wanakula vizuri tu wana Afya nzuri tu.
Pia watoto wa shule za serikali kutokana na Njaa hawaelewi masomo yenyewe na mwisho wa siku Mtu anamaliza shule 0-0
NB: Pia wazazi wenyewe wapo kwa wahidi mshahara hauzidi laki mbili.
Hapa Dar es Salaama unakuta 90% ya wanafunzi wa shule za serikali wanaamka saa kumi na moja na kuanza kugombania daladala na wakifika shule hamna uji Wala chakula na mwanafunzi ili Afike kwao Mbagara, Gongo la Mboto au Kigamboni lazima afike usiku wa saa tatu au saa-mbili.
Wanafunzi hapa Dar salaam wamekuwa wakiugua vidonda vya Tumbo udumavu wa Akili. Kama naongea uongo naomba mtafute mtoto wa miaka 17/16 anayesoma ukimuangalia umbo Kama la mtoto wa miaka 9 au 10.
Naomba Serikali itengeneze Mfumo rafiki wa either Mzazi/mlezi kuchangia kiasi kidogo Cha pesa ili mtoto wake Apate chakula mashule mbona nyie wana-siasa watoto wenu wanakula vizuri tu wana Afya nzuri tu.
Pia watoto wa shule za serikali kutokana na Njaa hawaelewi masomo yenyewe na mwisho wa siku Mtu anamaliza shule 0-0
NB: Pia wazazi wenyewe wapo kwa wahidi mshahara hauzidi laki mbili.