Ni sahihi wanafunzi shule za Serikali kulindwa na kupikiwa na vibarua wasio na taaluma husika? Kwanini wanafunzi wawajibike kuwaajiri hawa vibarua?

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
876
4,101
Wanafunzi wa kidato cha sita wanalipa michango mbalimbali. Baadhi ya michango hiyo ni mchango wa mlinzi. Je walinzi wa shule siyo waajiriwa wa serikali? Na kama siyo waajiriwa wa serikali wanapolipwa na wanafunzi wanalipwa kama vibarua? Kama ni vibarua wanahudumu kwa miaka mingapi kama vibarua? Mafao yao yanapelekwa NSSSF?Kwa mfumo gani?

Nauliza haya maswali kwa sababu wapo walinzi wa shule miaka yote ni wale wale na sheria za nchi zinakataza mtu kuajiriwa zaidi ya miezi sita bila kusajili kwenye mfumo rasmi na pia bila kuchangia mifuko ya jamii. Kwenye private sector ukikutwa na kibarua zaidi ya miezi sita lazima wachukue maokoto au wakushtaki . Je serial inaruhusiwa?

Eneo la pili ni michango ya wapishi wa shule, je hawa pia maisha yao yote wanakuwa vibarua na kwamba wanafunzi ndio wanapaswa kuwalipa? Inakuwaje tunaruhusu watoto wapikiwe chakula na vibarua badala ya kutafuta wapishi ambao wamesomea? Afya za watoto hawa hazipo hatarini?

Ukienda kwenye sector ya hotel kwa kuzingatia usalama wa walaji chakula, mpishi lazima awe amesomea upishi na eneo lake la huduma linalindwa kudhibiti watu wasiostahili kuingia mara kwa mara. Kwanini serikali inadhani ni sahihi shule zake kuuwa na wapishi wasioajiriwa?

Lakini swali lakujiuliza tunazo shule ngapi za sekondari zinazohitaji wapishi na walinzi wakuajiriwa hadi tushindwe kuwaajiri tukachukue vibarua kinyume na taratibu za ajira? Waziri wa elimu na waziri wa TAMISEMI naamini haya maswali hayapo kwenye program na mikakati yenu lakini nayaleta kwenu yaanze kuchakatwa kabla hawa vibarua hawajaleta madhara kwa wanafunzi au awajawasilisha madai yao mahakamani kwamba wanadhulumiwa na serikali.

Nirudi kwenye hoja, je serikali haina uwezo wa kulipa umeme kwa shule zetu nchini? Kwanini liwe jukumu la mwanafunzi kulipia umeme? Tunaamini mtoto wa mkulima na mfugaji wataweza hizi gharama?

Nimecheki jumla ya michango kwa kidato cha sita ni laki tatu na arobaini na tano bado ujaweka nauli na matumizi binafsi. Je kwa mfumo huu kwanini hizi fedha zisingewekwa kama ada then serikali inawajibika kulipia hizi huduma pamoja na kuajiri? Nasema hizi kwa sababu kama unachukua pesa kwa wanafunzi inazitumia kuajiri vibarua kwanini usichukue hizi fedha ukatumia kutoa ajira rasmi?

Kwa matajiri wa humu ndani naamini michango ya laki tatu itaonekana ni michache ila wapo wanafunzi hata uniform wanashindwa kuwa nazo. Na tukumbuke ukiizaliwa na mzazi asiyewajibika haimaanishi nawewe hautawajibika. Serikali inapoweka haya mambo ijaribu kufanya analysis. Haiwekana kuna wababu leo wanaitwa walinzi wa shule lakini kiukweli hakuna wanavyolinda. Kuna wapishi siyo wapishi hii yote ni kutokana na mwanya huu uliowekwa kwenye usalama wa afya na mwili wa watoto wetu.

Umofia Kwenu
 
Wanafunzi wa kidato cha sita wanalipa michango mbalimbali. Baadhi ya michango hiyo ni mchango wa mlinzi. Je walinzi wa shule siyo waajiriwa wa serikali? Na kama siyo waajiriwa wa serikali wanapolipwa na wanafunzi wanalipwa kama vibarua? Kama ni vibarua wanahudumu kwa miaka mingapi kama vibarua? Mafao yao yanapelekwa NSSSF?Kwa mfumo gani?

Nauliza haya maswali kwa sababu wapo walinzi wa shule miaka yote ni wale wale na sheria za nchi zinakataza mtu kuajiriwa zaidi ya miezi sita bila kusajili kwenye mfumo rasmi na pia bila kuchangia mifuko ya jamii. Kwenye private sector ukikutwa na kibarua zaidi ya miezi sita lazima wachukue maokoto au wakushtaki . Je serial inaruhusiwa?

Eneo la pili ni michango ya wapishi wa shule, je hawa pia maisha yao yote wanakuwa vibarua na kwamba wanafunzi ndio wanapaswa kuwalipa? Inakuwaje tunaruhusu watoto wapikiwe chakula na vibarua badala ya kutafuta wapishi ambao wamesomea? Afya za watoto hawa hazipo hatarini?

Ukienda kwenye sector ya hotel kwa kuzingatia usalama wa walaji chakula, mpishi lazima awe amesomea upishi na eneo lake la huduma linalindwa kudhibiti watu wasiostahili kuingia mara kwa mara. Kwanini serikali inadhani ni sahihi shule zake kuuwa na wapishi wasioajiriwa?

Lakini swali lakujiuliza tunazo shule ngapi za sekondari zinazohitaji wapishi na walinzi wakuajiriwa hadi tushindwe kuwaajiri tukachukue vibarua kinyume na taratibu za ajira? Waziri wa elimu na waziri wa TAMISEMI naamini haya maswali hayapo kwenye program na mikakati yenu lakini nayaleta kwenu yaanze kuchakatwa kabla hawa vibarua hawajaleta madhara kwa wanafunzi au awajawasilisha madai yao mahakamani kwamba wanadhulumiwa na serikali.

Nirudi kwenye hoja, je serikali haina uwezo wa kulipa umeme kwa shule zetu nchini? Kwanini liwe jukumu la mwanafunzi kulipia umeme? Tunaamini mtoto wa mkulima na mfugaji wataweza hizi gharama?

Nimecheki jumla ya michango kwa kidato cha sita ni laki tatu na arobaini na tano bado ujaweka nauli na matumizi binafsi. Je kwa mfumo huu kwanini hizi fedha zisingewekwa kama ada then serikali inawajibika kulipia hizi huduma pamoja na kuajiri? Nasema hizi kwa sababu kama unachukua pesa kwa wanafunzi inazitumia kuajiri vibarua kwanini usichukue hizi fedha ukatumia kutoa ajira rasmi?

Kwa matajiri wa humu ndani naamini michango ya laki tatu itaonekana ni michache ila wapo wanafunzi hata uniform wanashindwa kuwa nazo. Na tukumbuke ukiizaliwa na mzazi asiyewajibika haimaanishi nawewe hautawajibika. Serikali inapoweka haya mambo ijaribu kufanya analysis. Haiwekana kuna wababu leo wanaitwa walinzi wa shule lakini kiukweli hakuna wanavyolinda. Kuna wapishi siyo wapishi hii yote ni kutokana na mwanya huu uliowekwa kwenye usalama wa afya na mwili wa watoto wetu.

Umofia Kwenu
Umeongea point,nchi imejaaa uhuni mtupu, nivitu vya ajabu sana kwamba shule tena za umma zina wapishi na walinzi kwa miaka hadi 30 na wanalipwa na wanafunzi na sio serikali.

Huu uhuni
 
Uhuni
FB_IMG_1704611671358.jpg
 
Kama elimu inayotolewa ingekuwa bora laki nne kwa mwaka sio pesa nyingi na lingekuwa jambo bora kuchangaia, vya bure huwa ni gharama zaidi. Tatizo pamoja na pesa yote hiyo unaweza kuta walimu wa baadhi ya masomo ni wachache sana au mwalimu mmoja anafundisha somo moja vidato vyote.
 
Wanafunzi wa kidato cha sita wanalipa michango mbalimbali. Baadhi ya michango hiyo ni mchango wa mlinzi. Je walinzi wa shule siyo waajiriwa wa serikali? Na kama siyo waajiriwa wa serikali wanapolipwa na wanafunzi wanalipwa kama vibarua? Kama ni vibarua wanahudumu kwa miaka mingapi kama vibarua? Mafao yao yanapelekwa NSSSF?Kwa mfumo gani?

Nauliza haya maswali kwa sababu wapo walinzi wa shule miaka yote ni wale wale na sheria za nchi zinakataza mtu kuajiriwa zaidi ya miezi sita bila kusajili kwenye mfumo rasmi na pia bila kuchangia mifuko ya jamii. Kwenye private sector ukikutwa na kibarua zaidi ya miezi sita lazima wachukue maokoto au wakushtaki . Je serial inaruhusiwa?

Eneo la pili ni michango ya wapishi wa shule, je hawa pia maisha yao yote wanakuwa vibarua na kwamba wanafunzi ndio wanapaswa kuwalipa? Inakuwaje tunaruhusu watoto wapikiwe chakula na vibarua badala ya kutafuta wapishi ambao wamesomea? Afya za watoto hawa hazipo hatarini?

Ukienda kwenye sector ya hotel kwa kuzingatia usalama wa walaji chakula, mpishi lazima awe amesomea upishi na eneo lake la huduma linalindwa kudhibiti watu wasiostahili kuingia mara kwa mara. Kwanini serikali inadhani ni sahihi shule zake kuuwa na wapishi wasioajiriwa?

Lakini swali lakujiuliza tunazo shule ngapi za sekondari zinazohitaji wapishi na walinzi wakuajiriwa hadi tushindwe kuwaajiri tukachukue vibarua kinyume na taratibu za ajira? Waziri wa elimu na waziri wa TAMISEMI naamini haya maswali hayapo kwenye program na mikakati yenu lakini nayaleta kwenu yaanze kuchakatwa kabla hawa vibarua hawajaleta madhara kwa wanafunzi au awajawasilisha madai yao mahakamani kwamba wanadhulumiwa na serikali.

Nirudi kwenye hoja, je serikali haina uwezo wa kulipa umeme kwa shule zetu nchini? Kwanini liwe jukumu la mwanafunzi kulipia umeme? Tunaamini mtoto wa mkulima na mfugaji wataweza hizi gharama?

Nimecheki jumla ya michango kwa kidato cha sita ni laki tatu na arobaini na tano bado ujaweka nauli na matumizi binafsi. Je kwa mfumo huu kwanini hizi fedha zisingewekwa kama ada then serikali inawajibika kulipia hizi huduma pamoja na kuajiri? Nasema hizi kwa sababu kama unachukua pesa kwa wanafunzi inazitumia kuajiri vibarua kwanini usichukue hizi fedha ukatumia kutoa ajira rasmi?

Kwa matajiri wa humu ndani naamini michango ya laki tatu itaonekana ni michache ila wapo wanafunzi hata uniform wanashindwa kuwa nazo. Na tukumbuke ukiizaliwa na mzazi asiyewajibika haimaanishi nawewe hautawajibika. Serikali inapoweka haya mambo ijaribu kufanya analysis. Haiwekana kuna wababu leo wanaitwa walinzi wa shule lakini kiukweli hakuna wanavyolinda. Kuna wapishi siyo wapishi hii yote ni kutokana na mwanya huu uliowekwa kwenye usalama wa afya na mwili wa watoto wetu.

Umofia Kwenu
Mkuu, shule hadi zile kubwa kubwa zina upungufu mkubwa wa walimu na zinatumia sana walimu wa muda ili kutimiza malengo.


Ikiwa hali ndio hiyo vipi kuhusu wapishi, walinzi

Kwa sasa hakuna mfumo rasmi wa kuwaajiri, walimu wanafanya kuokoteza hivyo hivyo


Halafu kwa upishi wa shule, mpishi msomi hawezi


Maana mpishi anapika katika mazingira magumu, chakula kingi mno, pia mshahara hata barmaid ana afadhali


Kuna shule mbili nishawahi kufanya kazi, nawauliza wapishi wanasema wanalipwa 80k hadi 120k


ila kazi ngumu sio poo na mazingira ni hatarishi hasa moshi mwingi
 
Wanafunzi wa kidato cha sita wanalipa michango mbalimbali. Baadhi ya michango hiyo ni mchango wa mlinzi. Je walinzi wa shule siyo waajiriwa wa serikali? Na kama siyo waajiriwa wa serikali wanapolipwa na wanafunzi wanalipwa kama vibarua? Kama ni vibarua wanahudumu kwa miaka mingapi kama vibarua? Mafao yao yanapelekwa NSSSF?Kwa mfumo gani?

Nauliza haya maswali kwa sababu wapo walinzi wa shule miaka yote ni wale wale na sheria za nchi zinakataza mtu kuajiriwa zaidi ya miezi sita bila kusajili kwenye mfumo rasmi na pia bila kuchangia mifuko ya jamii. Kwenye private sector ukikutwa na kibarua zaidi ya miezi sita lazima wachukue maokoto au wakushtaki . Je serial inaruhusiwa?

Eneo la pili ni michango ya wapishi wa shule, je hawa pia maisha yao yote wanakuwa vibarua na kwamba wanafunzi ndio wanapaswa kuwalipa? Inakuwaje tunaruhusu watoto wapikiwe chakula na vibarua badala ya kutafuta wapishi ambao wamesomea? Afya za watoto hawa hazipo hatarini?

Ukienda kwenye sector ya hotel kwa kuzingatia usalama wa walaji chakula, mpishi lazima awe amesomea upishi na eneo lake la huduma linalindwa kudhibiti watu wasiostahili kuingia mara kwa mara. Kwanini serikali inadhani ni sahihi shule zake kuuwa na wapishi wasioajiriwa?

Lakini swali lakujiuliza tunazo shule ngapi za sekondari zinazohitaji wapishi na walinzi wakuajiriwa hadi tushindwe kuwaajiri tukachukue vibarua kinyume na taratibu za ajira? Waziri wa elimu na waziri wa TAMISEMI naamini haya maswali hayapo kwenye program na mikakati yenu lakini nayaleta kwenu yaanze kuchakatwa kabla hawa vibarua hawajaleta madhara kwa wanafunzi au awajawasilisha madai yao mahakamani kwamba wanadhulumiwa na serikali.

Nirudi kwenye hoja, je serikali haina uwezo wa kulipa umeme kwa shule zetu nchini? Kwanini liwe jukumu la mwanafunzi kulipia umeme? Tunaamini mtoto wa mkulima na mfugaji wataweza hizi gharama?

Nimecheki jumla ya michango kwa kidato cha sita ni laki tatu na arobaini na tano bado ujaweka nauli na matumizi binafsi. Je kwa mfumo huu kwanini hizi fedha zisingewekwa kama ada then serikali inawajibika kulipia hizi huduma pamoja na kuajiri? Nasema hizi kwa sababu kama unachukua pesa kwa wanafunzi inazitumia kuajiri vibarua kwanini usichukue hizi fedha ukatumia kutoa ajira rasmi?

Kwa matajiri wa humu ndani naamini michango ya laki tatu itaonekana ni michache ila wapo wanafunzi hata uniform wanashindwa kuwa nazo. Na tukumbuke ukiizaliwa na mzazi asiyewajibika haimaanishi nawewe hautawajibika. Serikali inapoweka haya mambo ijaribu kufanya analysis. Haiwekana kuna wababu leo wanaitwa walinzi wa shule lakini kiukweli hakuna wanavyolinda. Kuna wapishi siyo wapishi hii yote ni kutokana na mwanya huu uliowekwa kwenye usalama wa afya na mwili wa watoto wetu.

Umofia Kwenu
Nani kama Mama!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Umeleta hoja ya msingi sana
Wapishi wa shule naamini na hapa mtakua mashahidi wengi wanaishia kuugua magonjwa yatokanayo na moshi mkali, pia wakipata ajali za kuungua mara nyingi huwa wanajitibu wenyewe, hii hoja ilibidi iwe imewasilishwa na wakuu wa shule zamani sana, nahuzunika hata upinzani hawajawahi kuongelea ili swala, wapishi na walinzi wa shule ni watu ambao mchango wao ni mkubwa sana ila hautambuliki.
 
Umeleta hoja ya msingi sana
Wapishi wa shule naamini na hapa mtakua mashahidi wengi wanaishia kuugua magonjwa yatokanayo na moshi mkali, pia wakipata ajali za kuungua mara nyingi huwa wanajitibu wenyewe, hii hoja ilibidi iwe imewasilishwa na wakuu wa shule zamani sana, nahuzunika hata upinzani hawajawahi kuongelea ili swala, wapishi na walinzi wa shule ni watu ambao mchango wao ni mkubwa sana ila hautambuliki.
Inasikitisha sana,
Vyama wafanyakazi viko wapi kuwatetea?
 
Wanafunzi wa kidato cha sita wanalipa michango mbalimbali. Baadhi ya michango hiyo ni mchango wa mlinzi. Je walinzi wa shule siyo waajiriwa wa serikali? Na kama siyo waajiriwa wa serikali wanapolipwa na wanafunzi wanalipwa kama vibarua? Kama ni vibarua wanahudumu kwa miaka mingapi kama vibarua? Mafao yao yanapelekwa NSSSF?Kwa mfumo gani?

Nauliza haya maswali kwa sababu wapo walinzi wa shule miaka yote ni wale wale na sheria za nchi zinakataza mtu kuajiriwa zaidi ya miezi sita bila kusajili kwenye mfumo rasmi na pia bila kuchangia mifuko ya jamii. Kwenye private sector ukikutwa na kibarua zaidi ya miezi sita lazima wachukue maokoto au wakushtaki . Je serial inaruhusiwa?

Eneo la pili ni michango ya wapishi wa shule, je hawa pia maisha yao yote wanakuwa vibarua na kwamba wanafunzi ndio wanapaswa kuwalipa? Inakuwaje tunaruhusu watoto wapikiwe chakula na vibarua badala ya kutafuta wapishi ambao wamesomea? Afya za watoto hawa hazipo hatarini?

Ukienda kwenye sector ya hotel kwa kuzingatia usalama wa walaji chakula, mpishi lazima awe amesomea upishi na eneo lake la huduma linalindwa kudhibiti watu wasiostahili kuingia mara kwa mara. Kwanini serikali inadhani ni sahihi shule zake kuuwa na wapishi wasioajiriwa?

Lakini swali lakujiuliza tunazo shule ngapi za sekondari zinazohitaji wapishi na walinzi wakuajiriwa hadi tushindwe kuwaajiri tukachukue vibarua kinyume na taratibu za ajira? Waziri wa elimu na waziri wa TAMISEMI naamini haya maswali hayapo kwenye program na mikakati yenu lakini nayaleta kwenu yaanze kuchakatwa kabla hawa vibarua hawajaleta madhara kwa wanafunzi au awajawasilisha madai yao mahakamani kwamba wanadhulumiwa na serikali.

Nirudi kwenye hoja, je serikali haina uwezo wa kulipa umeme kwa shule zetu nchini? Kwanini liwe jukumu la mwanafunzi kulipia umeme? Tunaamini mtoto wa mkulima na mfugaji wataweza hizi gharama?

Nimecheki jumla ya michango kwa kidato cha sita ni laki tatu na arobaini na tano bado ujaweka nauli na matumizi binafsi. Je kwa mfumo huu kwanini hizi fedha zisingewekwa kama ada then serikali inawajibika kulipia hizi huduma pamoja na kuajiri? Nasema hizi kwa sababu kama unachukua pesa kwa wanafunzi inazitumia kuajiri vibarua kwanini usichukue hizi fedha ukatumia kutoa ajira rasmi?

Kwa matajiri wa humu ndani naamini michango ya laki tatu itaonekana ni michache ila wapo wanafunzi hata uniform wanashindwa kuwa nazo. Na tukumbuke ukiizaliwa na mzazi asiyewajibika haimaanishi nawewe hautawajibika. Serikali inapoweka haya mambo ijaribu kufanya analysis. Haiwekana kuna wababu leo wanaitwa walinzi wa shule lakini kiukweli hakuna wanavyolinda. Kuna wapishi siyo wapishi hii yote ni kutokana na mwanya huu uliowekwa kwenye usalama wa afya na mwili wa watoto wetu.

Umofia Kwenu
Tafuta hela ndulele wewe.
 
Wanafunzi wa kidato cha sita wanalipa michango mbalimbali. Baadhi ya michango hiyo ni mchango wa mlinzi. Je walinzi wa shule siyo waajiriwa wa serikali? Na kama siyo waajiriwa wa serikali wanapolipwa na wanafunzi wanalipwa kama vibarua? Kama ni vibarua wanahudumu kwa miaka mingapi kama vibarua? Mafao yao yanapelekwa NSSSF?Kwa mfumo gani?

Nauliza haya maswali kwa sababu wapo walinzi wa shule miaka yote ni wale wale na sheria za nchi zinakataza mtu kuajiriwa zaidi ya miezi sita bila kusajili kwenye mfumo rasmi na pia bila kuchangia mifuko ya jamii. Kwenye private sector ukikutwa na kibarua zaidi ya miezi sita lazima wachukue maokoto au wakushtaki . Je serial inaruhusiwa?

Eneo la pili ni michango ya wapishi wa shule, je hawa pia maisha yao yote wanakuwa vibarua na kwamba wanafunzi ndio wanapaswa kuwalipa? Inakuwaje tunaruhusu watoto wapikiwe chakula na vibarua badala ya kutafuta wapishi ambao wamesomea? Afya za watoto hawa hazipo hatarini?

Ukienda kwenye sector ya hotel kwa kuzingatia usalama wa walaji chakula, mpishi lazima awe amesomea upishi na eneo lake la huduma linalindwa kudhibiti watu wasiostahili kuingia mara kwa mara. Kwanini serikali inadhani ni sahihi shule zake kuuwa na wapishi wasioajiriwa?

Lakini swali lakujiuliza tunazo shule ngapi za sekondari zinazohitaji wapishi na walinzi wakuajiriwa hadi tushindwe kuwaajiri tukachukue vibarua kinyume na taratibu za ajira? Waziri wa elimu na waziri wa TAMISEMI naamini haya maswali hayapo kwenye program na mikakati yenu lakini nayaleta kwenu yaanze kuchakatwa kabla hawa vibarua hawajaleta madhara kwa wanafunzi au awajawasilisha madai yao mahakamani kwamba wanadhulumiwa na serikali.

Nirudi kwenye hoja, je serikali haina uwezo wa kulipa umeme kwa shule zetu nchini? Kwanini liwe jukumu la mwanafunzi kulipia umeme? Tunaamini mtoto wa mkulima na mfugaji wataweza hizi gharama?

Nimecheki jumla ya michango kwa kidato cha sita ni laki tatu na arobaini na tano bado ujaweka nauli na matumizi binafsi. Je kwa mfumo huu kwanini hizi fedha zisingewekwa kama ada then serikali inawajibika kulipia hizi huduma pamoja na kuajiri? Nasema hizi kwa sababu kama unachukua pesa kwa wanafunzi inazitumia kuajiri vibarua kwanini usichukue hizi fedha ukatumia kutoa ajira rasmi?

Kwa matajiri wa humu ndani naamini michango ya laki tatu itaonekana ni michache ila wapo wanafunzi hata uniform wanashindwa kuwa nazo. Na tukumbuke ukiizaliwa na mzazi asiyewajibika haimaanishi nawewe hautawajibika. Serikali inapoweka haya mambo ijaribu kufanya analysis. Haiwekana kuna wababu leo wanaitwa walinzi wa shule lakini kiukweli hakuna wanavyolinda. Kuna wapishi siyo wapishi hii yote ni kutokana na mwanya huu uliowekwa kwenye usalama wa afya na mwili wa watoto wetu.

Umofia Kwenu
Yooooote uliyoandika sio kweli.
 
Back
Top Bottom