Je, ni uchawi au saikolojia?

Je, ni uchawi au saikolojia?

Twin matokeo hayafanani ila yana thibitika

Twin nachotaka ni matokao yanayoweza kuthibitika

Uchawi hauna matokeo yana yothibitika
Fine Twin, hebu niambie, inakuwaje mtu anaugua, anaenda hospitali kubwa kama Muhimbili au Kairuki, anafanyiwa MRI, CT-Scan, na vipimo vyote na madaktari bingwa wanasema mwili hauna ugonjwa wowote, lakini mtu anazidi kudhoofika na kufa?

Halafu mwingine mwenye hali hiyo hiyo akitolewa hospitali akapelekwa kwenye tiba asili au maombi anapona mchana kweupe? Kama sio uchawi au nguvu za kiroho, madaktari walikuwa wanapima nini kile kilichoshindikana?

Nipe tu logical medical explanation Hapa nikuelewe vizuri.
 
Na wanaosema uchawi upo wakisimama kushuhudia huo uchawi, wakihusisha kitu unachokifahamu, utashangaa.
Mimi ni dentist by profesion, miaka ladhaa iliyopita nikwa nafanya shughuli zangu mkoa fulani niliingia makubaliano ya kuhudumia kituo kingine cha pembezoni, ndani ndani. Ktk huduma zilizokuwa natoa mojawapo ni re-habilitation kwa kutengenezea mhusika neno ya bandia.
Kutengeneza meno ya bandia huwa tunafanya kipimo kwa kuchukua impression ya meno mdomoni, then tuna cast na kupata model ya meno ya mhusika. Mhusika alishapewa meno yake, model inatupwa.
Sasa bwana kwenye kituo hicho cha pembezoni ikatokea mhudumu mmoja akaokota ile model, kwakuwa hana ufahamu wowote juu ya meno bandia, akaibeba na kuwashirikisha wenzake 2 ambao nao hawakuwa na ufahamu, isipokuwa walitambua kubwa ni meno ya binadamu. Wakajenga dhana ya uchawi, wakimtuhumu mwenzao mmoja kuwa ni mchawi na amekuwa akiwaroga kwa kutumia neno ya binadamu, walimu washia moto hadi kutaka kumpiga. Ilibidi akimbilie kwa mkuu wa kituo ambaye alinipigia simu ili nitoe ufafanuzi kwani naye alikuwa hajui, ingawa alihisi kubwa hiyo model inaweza kuhusika na kazi zangu. Hiyo ndio ikawa ponapona yake yule mhudumu aliyetuhumiwa kuwaroga wenzake kwa meno ya binadamu!
Nilipotembelea tena pale kituoni ilibidi nitenge muda kuwapa ufahamu wa neno ya bandia.
Kwamba kwa sababu tu mhudumu alikosea maana ya dental model, basi uchawi haupo kabisa duniani?
 
Na wanaosema uchawi upo wakisimama kushuhudia huo uchawi, wakihusisha kitu unachokifahamu, utashangaa.
Mimi ni dentist by profesion, miaka ladhaa iliyopita nikwa nafanya shughuli zangu mkoa fulani niliingia makubaliano ya kuhudumia kituo kingine cha pembezoni, ndani ndani. Ktk huduma zilizokuwa natoa mojawapo ni re-habilitation kwa kutengenezea mhusika neno ya bandia.
Kutengeneza meno ya bandia huwa tunafanya kipimo kwa kuchukua impression ya meno mdomoni, then tuna cast na kupata model ya meno ya mhusika. Mhusika alishapewa meno yake, model inatupwa.
Sasa bwana kwenye kituo hicho cha pembezoni ikatokea mhudumu mmoja akaokota ile model, kwakuwa hana ufahamu wowote juu ya meno bandia, akaibeba na kuwashirikisha wenzake 2 ambao nao hawakuwa na ufahamu, isipokuwa walitambua kubwa ni meno ya binadamu. Wakajenga dhana ya uchawi, wakimtuhumu mwenzao mmoja kuwa ni mchawi na amekuwa akiwaroga kwa kutumia neno ya binadamu, walimu washia moto hadi kutaka kumpiga. Ilibidi akimbilie kwa mkuu wa kituo ambaye alinipigia simu ili nitoe ufafanuzi kwani naye alikuwa hajui, ingawa alihisi kubwa hiyo model inaweza kuhusika na kazi zangu. Hiyo ndio ikawa ponapona yake yule mhudumu aliyetuhumiwa kuwaroga wenzake kwa meno ya binadamu!
Nilipotembelea tena pale kituoni ilibidi nitenge muda kuwapa ufahamu wa neno ya bandia.
Unaona sasa mambo kama hayo hivi huyo mhudumu pamoja na kua hahusiki na Dental Unit

Alishindwa nini kuwaza kua hilo eneo kwa vile ni hospital kitu kama hicho kuna uwezekano wa kua mazingira hayo
Fikra potofu inapotawala inazaa ujinga
 
Aisee🤔

Umekingwa na nini ?
Au Mungu mwenyewe?

Yaan nakosa hata cha kusema aisee

Sasa hapa unawasemea watu ujue
watu wasioamini uchawi ni kweli hauwatesi wala hawaujui kabisa
ndiyo maana hata wakija hapa watakuambia wanaishi maisha bila hayo mauza uza na kila kitu kinaenda

Tena mkuu hakuna watu wanaongoza kulalamika kulogwa na mambo kama hayo kama watu wa imani shida inakua wapi?
Mkuu tema mate chini. Hapo nimeandika shuhuda tatu tu. Mimi ni mtu ninayeamini Kanuni za kisayansi zikiwemo za kisaikolojia 100% lakini pia ninajua Ulimwengu usioonekana(wa kiroho) namna unavyo-operate na kuathiri maisha ya watu.

Najua kutofautisha kati ya psychological (medical) problem na spiritual problem.

Mbaya wako hachugui silaha ya kukushambulia nayo. Wachawi hasa wanaokujua kiroho kama uko vulnerable na kama wamenuia kukukwamisha kwenye aspect fulani ya maisha yako lazima watakunasa tu.

Lakini yote kwa yote jamii yetu ina ujinga mwingi sana wa kuamini kwamba kila tatizo kwenye maisha yao basi wamerogwa ndio maana wakina "Kiboko ya wachawi" wanazidi kuwakausha vibubu vyao kwa sababu ya ujinga wao!

Kwa kifupi usiamini kwamba upo safe 100% kama haupo ndani ya Kristo Yesu. Hii dunia ina watu ni mashetani in human masking!. Mtu hajakosewa kitu chochote lakini anaamua kmuuua kaka yake wa tumbo moja kabisa kichawi eti kisa ana maendeleo kuliko yeye!.

Kuna mama mmoja alikuwa anapenda kubeba waume za watu.
Akajichanganya akamchukua Mzee mmoja hivi ambaye alikuwa Mume wa mtu.Mwenye Mume alimuonya lakini wapi, ninavyoongea na wewe yule mama alikufa kifo cha kukauka kitandani. Kwa kifupi aliondoka mzima mzima.

Kifo cha namna ile hata ifanyike Postmortem South Korea hawataambulia kitu kwa sababu sio natural death.

Binafsi nimeshuhudia scenarios nyingi sana ambazo Uchawi umehusika 100%. Na uzuri nina uwezo wa kutofautisha clearly kabisa kwa sababu kwa nafasi yangu kiroho naletewa kesi nyingi na huwa nadeal nazo accordingly!
 
Aisee🤔

Umekingwa na nini ?
Au Mungu mwenyewe?

Yaan nakosa hata cha kusema aisee

Sasa hapa unawasemea watu ujue
watu wasioamini uchawi ni kweli hauwatesi wala hawaujui kabisa
ndiyo maana hata wakija hapa watakuambia wanaishi maisha bila hayo mauza uza na kila kitu kinaenda

Tena mkuu hakuna watu wanaongoza kulalamika kulogwa na mambo kama hayo kama watu wa imani shida inakua wapi?
Mkuu tema mate chini. Hapo nimeandika shuhuda tatu tu. Mimi ni mtu ninayeamini Kanuni za kisayansi zikiwemo za kisaikolojia 100% lakini pia ninajua Ulimwengu usioonekana(wa kiroho) namna unavyo-operate na kuathiri maisha ya watu.

Najua kutofautisha kati ya psychological (medical) problem na spiritual problem.

Mbaya wako hachugui silaha ya kukushambulia nayo. Wachawi hasa wanaokujua kiroho kama uko vulnerable na kama wamenuia kukukwamisha kwenye aspect fulani ya maisha yako lazima watakunasa tu.

Lakini yote kwa yote jamii yetu ina ujinga mwingi sana wa kuamini kwamba kila tatizo kwenye maisha yao basi wamerogwa ndio maana wakina "Kiboko ya wachawi" wanazidi kuwakausha vibubu vyao kwa sababu ya ujinga wao!

Kwa kifupi usiamini kwamba upo safe 100% kama haupo ndani ya Kristo Yesu. Hii dunia ina watu ni mashetani in human masking!. Mtu hajakosewa kitu chochote lakini anaamua kumuuua kaka yake wa tumbo moja kabisa kwa uchawi eti kisa ana maendeleo kuliko yeye!.

Kuna mama mmoja alikuwa anapenda kubeba waume za watu.
Akajichanganya akamchukua Mzee mmoja hivi ambaye alikuwa Mume wa mtu.Mwenye Mume alimuonya lakini wapi, ninavyoongea na wewe yule mama alikufa kifo cha kukauka kitandani. Kwa kifupi aliondoka mzima mzima.

Kifo cha namna ile hata ifanyike Postmortem South Korea hawataambulia kitu kwa sababu sio natural death.

Binafsi nimeshuhudia scenarios nyingi sana ambazo Uchawi umehusika 100%. Na uzuri nina uwezo wa kutofautisha clearly kabisa kwa sababu kwa nafasi yangu kiroho naletewa kesi nyingi na huwa nadeal nazo accordingly!
 
Fine Twin, hebu niambie, inakuwaje mtu anaugua, anaenda hospitali kubwa kama Muhimbili au Kairuki, anafanyiwa MRI, CT-Scan, na vipimo vyote na madaktari bingwa wanasema mwili hauna ugonjwa wowote, lakini mtu anazidi kudhoofika na kufa?

Halafu mwingine mwenye hali hiyo hiyo akitolewa hospitali akapelekwa kwenye tiba asili au maombi anapona mchana kweupe? Kama sio uchawi au nguvu za kiroho, madaktari walikuwa wanapima nini kile kilichoshindikana?

Nipe tu logical medical explanation Hapa nikuelewe vizuri.
Twin mi sijawahi kuona hayo ya kitokea so sina uhakika kama kweli uliyosema yanawezekana
 
Kwamba kwa sababu tu mhudumu alikosea maana ya dental model, basi uchawi haupo kabisa duniani?
Ndiyo, asiyefahamu kitu kingine naye ataushudia uchawi kwa kitu hicho asichokijuwa.
Mwengine alimtuhumu uchawi jamaa yake aliyempa chandarua, kisa kinatoa spaks anapokigusa usiku.
Typical knowledge gap.
 
Aisee🤔

Umekingwa na nini ?
Au Mungu mwenyewe?

Yaan nakosa hata cha kusema aisee

Sasa hapa unawasemea watu ujue
watu wasioamini uchawi ni kweli hauwatesi wala hawaujui kabisa
ndiyo maana hata wakija hapa watakuambia wanaishi maisha bila hayo mauza uza na kila kitu kinaenda

Tena mkuu hakuna watu wanaongoza kulalamika kulogwa na mambo kama hayo kama watu wa imani shida inakua wapi?
Wengi ni vipofu wa kiroho licha ya kwamba wanaonekana wapo busy na Dini huko makanisani na Misikitini.

Kuwa na Dini sio kuwa Mungu kwa sababu Dini sio mpango wa Mungu bali ni mipango ya watu fulani wajanja wajanja!.

Take your time chunguza utaona tofauti.
 
Unaona sasa mambo kama hayo hivi huyo mhudumu pamoja na kua hahusiki na Dental Unit

Alishindwa nini kuwaza kua hilo eneo kwa vile ni hospital kitu kama hicho kuna uwezekano wa kua mazingira hayo
Fikra potofu inapotawala inazaa ujinga
Imani na hisia vikikaa pamoja=upofu wa fikra.
 
Mkuu tema mate chini. Hapo nimeandika shuhuda tatu tu. Mimi ni mtu ninayeamini Kanuni za kisayansi zikiwemo za kisaikolojia 100% lakini pia ninajua Ulimwengu usioonekana(wa kiroho) namna unavyo-operate na kuathiri maisha ya watu.

Najua kutofautisha kati ya psychological (medical) problem na spiritual problem.

Mbaya wako hachugui silaha ya kukushambulia nayo. Wachawi hasa wanaokujua kiroho kama uko vulnerable na kama wamenuia kukukwamisha kwenye aspect fulani ya maisha yako lazima watakunasa tu.

Lakini yote kwa yote jamii yetu ina ujinga mwingi sana wa kuamini kwamba kila tatizo kwenye maisha yao basi wamerogwa ndio maana wakina "Kiboko ya wachawi" wanazidi kuwakausha vibubu vyao kwa sababu ya ujinga wao!

Kwa kifupi usiamini kwamba upo safe 100% kama haupo ndani ya Kristo Yesu. Hii dunia ina watu ni mashetani in human masking!. Mtu hajakosewa kitu chochote lakini anaamua kmuuua kaka yake wa tumbo moja kabisa kichawi eti kisa ana maendeleo kuliko yeye!.

Kuna mama mmoja alikuwa anapenda kubeba waume za watu.
Akajichanganya akamchukua Mzee mmoja hivi ambaye alikuwa Mume wa mtu.Mwenye Mume alimuonya lakini wapi, ninavyoongea na wewe yule mama alikufa kifo cha kukauka kitandani. Kwa kifupi aliondoka mzima mzima.

Kifo cha namna ile hata ifanyike Postmortem South Korea hawataambulia kitu kwa sababu sio natural death.

Binafsi nimeshuhudia scenarios nyingi sana ambazo Uchawi umehusika 100%. Na uzuri nina uwezo wa kutofautisha clearly kabisa kwa sababu kwa nafasi yangu kiroho naletewa kesi nyingi na huwa nadeal nazo accordingly!
Aisee sawa mkuu
asante kwa maoni yako
Karibu tena 🤝
 
Wengi ni vipofu wa kiroho licha ya kwamba wanaonekana wapo busy na Dini huko makanisani na Misikitini.

Kuwa na Dini sio kuwa Mungu kwa sababu Dini sio mpango wa Mungu bali ni mipango ya watu fulani wajanja wajanja!.

Take your time chunguza utaona tofauti.
Tena issue za dini ndiyo kabisa nilisha acha kitambo

So wewe mkuu imani yako imekaaje kaaje yani ?
 
Ndiyo, asiyefahamu kitu kingine naye ataushudia uchawi kwa kitu hicho asichokijuwa.
Mwengine alimtuhumu uchawi jamaa yake aliyempa chandarua, kisa kinatoa spaks anapokigusa usiku.
Typical knowledge gap.
Wewe daktari kila kitu unaita knowledge gap. Hivi unadhani mababu zetu walikuwa wajinga hadi waamini kitu kwa maelfu ya miaka bila kuwa na ukweli wa jambo lenyewe?

Kuna vitu viko beyond science, ukubali ukatae.
 
Back
Top Bottom