mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 23,390
- 75,807
Hakuna ajuaye mkuu.Basi hapo unakosea
What's the beginning of the beginning?
Hakuna ajuaye mkuu.Basi hapo unakosea
What's the beginning of the beginning?
Ndo ujue ya kuwa free will inakudanganya.Hakuna ajuaye mkuu.
Hapana kitu sio lazima kionekane kwa macho ndiyo uthibitisho wake uwepoKwa muktadha huu, kitu/jambo lisipoonekana kwa macho maana yake halipo?
Nimeelewa twin swali langu jibu lake ni ile paragraph yako ya mwishoParagraph ya mwisho kabisa, umeisoma vizuri ukaielewa Twin?
Kama ni miungu, mizimu na uchawi mimi nina uhakika 100% kuwa havipo.Inawezekana ukawa sahihi lakini sio sana, maana kutokujua kwako majibu hakumaanishi kuwa hiyo mifumo haipo au haikuathiri Mkuu.
Jibu lingekuwa wazi wala tusingefanya hii mijadala. Wewe jibu lako ni lipi?Ndo ujue ya kuwa free will inakudanganya.
Hakuna time, hakuna kitu kama fikira,
. Hii times pace inakudanganya ya kuwa kuna mwanzo na mwisho. Inahitaji meditation 🧘♂️ kuyajua haya
Jibu liko wazi for thousands of years ni binadamu na kichwa chake kigumu kuelewaJibu lingekuwa wazi wala tusingefanya hii mijadala. Wewe jibu lako ni lipi?
Aisee🤔1.Kijana A alimtukana kijana B halafu kijana A(Mtukanaji) akapindishwa mdomo on the spot na kijana B(Mtukanwaji) tena alimwambia kabisa "Mimi huwa situkanwi"
Umekingwa na nini ?2. Kuna mchawi mmoja mwaka huu huu alijaribu kutunishiana misuli na mimi kwa kujaribu kuniua kwa kunisababishia ajali mbaya ya gari. Ajali haikutokea kwa sababu ya Ulinzi ninaolindwa nao 24/7. Nikiri tu kwamba under normal circumstances mimi sikupaswa kuwa hai. Nimekingwa na mashambulizi ya kichawi mengi sana na mengine ni kutoka kwa ndugu zangu wa damu!
Yaan nakosa hata cha kusema aisee3. Mwingine alinijia usiku mnene nikiwa nimelala ili aniwangie akidhani simuoni kumbe namuona fully. Nilichofanya ni kumkata jicho tu kisha akatokomea kwa hofu
Sasa hapa unawasemea watu ujueYatosha kwa leo!
UJUMBE: Kuna tofauti kati ya kuamini uwepo wa Uchawi na kuishi kwa kuutumainia uchawi. Wengi huwa wanachanganya Kati ya haya mawili. Wapo ambao wanaamini kwamba kutoamini uwepo wa Uchawi ni Njia ya wao kuwa salama dhidi ya Uchawi Jambo si kweli.
Tena mkuu hakuna watu wanaongoza kulalamika kulogwa na mambo kama hayo kama watu wa imani shida inakua wapi?Ukweli ni kwamba kama mtu hana Ulinzi wa Kristo Yesu ndani yake basi hata ajilinde vipi hayupo 100% safe dhidi ya hatari mbalimbali za kiroho ukiwemo Uchawi na za kimwili pia
ZABURI 91
10 Mabaya hayatakupata wewe, Wala tauni haitaikaribia hema yako.
11 Kwa kuwa atakuagizia malaika zake Wakulinde katika njia zako zote.
12 Mikononi mwao watakuchukua, Usije ukajikwaa mguu wako katika jiwe.
13 Utawakanyaga simba na nyoka, Mwana-simba na joka utawaseta kwa miguu.
14 Kwa kuwa amekaza kunipenda Nitamwokoa; na kumweka palipo juu, Kwa kuwa amenijua Jina langu.
15 Ataniita nami nitamwitikia; Nitakuwa pamoja naye taabuni, Nitamwokoa na kumtukuza;
16 Kwa siku nyingi nitamshibisha, Nami nitamwonyesha wokovu wangu.
YOHANA 10
10 Mwivi haji ila aibe na kuchinja na kuharibu; mimi nalikuja ili wawe na uzima, kisha wawe nao tele.
Kama unakubali kuwa pumzi haionekani lakini matokeo yake ni halisi, kwanini unakataa uwepo wa uchawi au nguvu za kiroho kwa kigezo cha kutoziona?Hapana kitu sio lazima kionekane kwa macho ndiyo uthibitisho wake uwepo
Ila tunathibisha kwa matokeo yake
Mf: pumzi sio rahisi kuiona kwa macho lakini matokeo yake ni halisi
Kwani hiyo nguvu unayoikubali wewe ina utofauti gani na kile wengine wanachoita miungu au uchawi?Kama ni miungu, mizimu na uchawi mimi nina uhakika 100% kuwa havipo.
Tukisema tujadili tutatoka sana nje ya hii mada.
Ila kuhusu uwepo wa jambo flani "supernatural" linalotawala dunia, labda lipo. Kama linatuathiri ni sawa tu.
Kwa sababu hakuna matokeo dhahiri twin kama ilivyo kwa pumziKama unakubali kuwa pumzi haionekani lakini matokeo yake ni halisi, kwanini unakataa uwepo wa uchawi au nguvu za kiroho kwa kigezo cha kutoziona?
Hiyo sheria kaiweka nani?Ukweli ni kuwa laana na ushirikina vipo
Sema ukakaasi wa kutokuviona ndo sheria yake ili mtu asijue kama vipo
Kuna metaphysical aspect ambayo inafanya kazi kwa laws za quantum mechanics... Lakini pia katika maswala hermetic principles.. Toka kale sana na zimefichwa kwa njia za uongo wa physics ili watu wa amini katika tangible realityHiyo sheria kaiweka nani?
Unachotaka wewe Twin ni empirical evidence kwenye mambo ya kiroho na kisaikolojia, kitu ambacho hakiwezekani!Kwa sababu hakuna matokeo dhahiri twin kama ilivyo kwa pumzi
ndiyo maana kwangu inabaki kama theory tu
zimeficwa kwa manufaa gani sasa?Kuna metaphysical aspect ambayo inafanya kazi kwa laws za quantum mechanics... Lakini pia katika maswala hermetic principles.. Toka kale sana na zimefichwa kwa njia za uongo wa physics ili watu wa amini katika tangible reality
Soma vitabu..zimeficwa kwa manufaa gani sasa?
Wewe umejuaje na zilificwa ?
Twin matokeo hayafanani ila yana thibitikaMbona hata upendo, stress, au chuki havina matokeo dhahiri yanayofanana kwa kila mtu?
Twin nachotaka ni matokao yanayoweza kuthibitikaMtu mmoja akipata stress akapungua unene, mwingine akanenepa, na mwingine akapata vidonda vya tumbo, tutasema stress ni theory kwa sababu haina matokeo yanayofanana?
Noted ✔️Soma vitabu..
Angalia documentaries,
Engage kwenye mada bila kukimbia
Tafuta like mind individuals
Hii iko wazi kabisa Mkuu chimba na utapata
Anza na the hermetic principles kuna kitabu chake... Soma summary
Na wanaosema uchawi upo wakisimama kushuhudia huo uchawi, wakihusisha kitu unachokifahamu, utashangaa.Shukran mkuu asante kwa maoni
Kuelekezwa kulikuja na maelekezo Ukifanya hivi umekufuruHomie huoni huoni tatizo lilianzia kwenye kuelekezwa ?
Kulikua na ulazima gani kuelekezwa huo uchawi ambao hauna faida yoyote?
Allah aliwawekea mitego waumi wake kwanini