Je, ni uchawi au saikolojia?

Je, ni uchawi au saikolojia?

Wengi hatuielewi dhana ya uchawi coz hatuwazi nje ya box, dhana ya uchawi inatekelezwa kwa material ambayo yapo proved scientifically, mfano MTU anataka kukusababishia ugumba, ataandaa chemical compound ya mimea au viumbe wengine ajili ya kuleta madhara ktk mfumo wa uzazi, ila kwa kua yote haya hufanyika locally ndo maana kuna ukinzani was mitizamo
Nifundishe uchawi mkuu
 
Nimekumbuka
Kuna kipindi bado nipo kijijini kulikuwa na zile ngoma za asili tena zina upinzani kushinda upinzani wa Simba na Yanga (Bhagalo na Bhagikha) - Wasukuma na watu wa Kanda ya ziwa hizi ngoma wanazifahamu.

Matukio yaliyokuwa yanatokea yanathibitisha nadharià ya uwepo wa Uchawi. Wale wanaoshindana kuimba walikuwa wanaingia kwa kutumia wanyama (Walikuwa wanitwa Bhalengi) mtu anaingia kapanda fisi 😂😂😂

Halafu upande mmoja ukizidiwa walikuwa wanatengenezwa nyuki wa mazingara watu mñakimbilia upande usio kuwa na nyuki , watu wakijaa upande ule wanakuwa WASHINDI

Kwa sababu mimi na Babu yangu na wafanyakazi tulikuwa tunaenda kuuza miwa, machungwa na matunda mengine. Zilikuwa zinamwagwa dawa fulani za majimaji kwenye vibuyu kupunguza au kupooza uchawi 😂

Hapa nadharia ya uchawi ilikuwa ipo lakini ushahidi wa huo uchawi haukuwepo
 
Nimekumbuka
Kuna kipindi bado nipo kijijini kulikuwa na zile ngoma za asili tena zina upinzani kushinda upinzani wa Simba na Yanga (Bhagalo na Bhagikha) - Wasukuma na watu wa Kanda ya ziwa hizi ngoma wanazifahamu.

Matukio yaliyokuwa yanatokea yanathibitisha nadharià ya uwepo wa Uchawi. Wale wanaoshindana kuimba walikuwa wanaingia kwa kutumia wanyama (Walikuwa wanitwa Bhalengi) mtu anaingia kapanda fisi 😂😂😂

Halafu upande mmoja ukizidiwa walikuwa wanatengenezwa nyuki wa mazingara watu mñakimbilia upande usio kuwa na nyuki , watu wakijaa upande ule wanakuwa WASHINDI

Kwa sababu mimi na Babu yangu na wafanyakazi tulikuwa tunaenda kuuza miwa, machungwa na matunda mengine. Zilikuwa zinamwagwa dawa fulani za majimaji kwenye vibuyu kupunguza au kupooza uchawi 😂

Hapa nadharia ya uchawi ilikuwa ipo lakini ushahidi wa huo uchawi haukuwepo
Siamini ng'ooo😅😅
 
Unataka kujifunza uchawi que ngapi ? ( pia uchawi wa ardhini, majini, anga, misituni au mlimani ) na upo kutoa kafara ya ngono, wanyama, mda ( masaa ) n.k .. Ukiwa tayari njoo PM
Asante sana
 
Nikiwaza tofauti u great Thinker unakua hamna ?
Kwanini watu mnaoamini uchawi mkiambiwa mthibishe mnaanza ku complicate mambo?
Wala sijacomplicate, nadhani gape LA maarifa linaeza tupa mabishano yasio na Tija, nimejaribu kueleza vile dhana ya uchawi inafanya kazi kwa material ambayo yapo proved scientifically ili upate starting point ya kutafakari zaidi.
 
Hahaha nakumbuka enzi zile za utoto tulikuwa tunatishiwa kuna mijitu mirefu natively yalikuwa yanaitwa GABEBA, aisee maisha yalikuwa magumu mnoo...

Haya mambo ya uchawi imebaki kudhani tu, wanaoamini wana imani yao na wale wanaoamini kuna PEPO nao wameendelea kutenda mema ili wakaishi maishi ya PEPONI. Mambo ni mengi mnoo
Mimi ninaamini asilimia 101 kwa kuwa yalinipata. Unasikia wadudu wanapiga kelele kwenye nywele ila huwaoni. Sauti unaisikia mwenyewe.
 
Wala sijacomplicate, nadhani gape LA maarifa linaeza tupa mabishano yasio na Tija, nimejaribu kueleza vile dhana ya uchawi inafanya kazi kwa material ambayo yapo proved scientifically ili upate starting point ya kutafakari zaidi.
Asante kwa maoni ewe great thinker 🙏
Karibu tena wakati mwingine kukiwa na uwiano wa maarifa
 
Wengi hatuielewi dhana ya uchawi coz hatuwazi nje ya box, dhana ya uchawi inatekelezwa kwa material ambayo yapo proved scientifically, mfano MTU anataka kukusababishia ugumba, ataandaa chemical compound ya mimea au viumbe wengine ajili ya kuleta madhara ktk mfumo wa uzazi, ila kwa kua yote haya hufanyika locally ndo maana kuna ukinzani was mitizamo
Kama ni hivyo mbona ni rahisi sana KUTHIBITISHA mkuu………. Kwasababu hiyo ni pure science

Changamoto ni kwamba kila mtu anaye AMINI uchawi anakuja na NADHARIA yake

Mfano, ni kweli wachawi wanaruka na ungo, wanageuza watu fisi, wanahamisha hela au mazao shambani kwenda kwao nk nk kwa kuchanganya vitu kadhaa?
Sasa wewe kwa akili zako timamu unaona kuna ugumu gani wa kuthibitisha hapo?

Kwanza umejujaje? Wewe ni mchawi au mchawi alikupa hizo taarifa? Au unasikia tu kwa watu?
 
Nani alianzisha uchawi ?
Alikusudia nini?
Tuanzie hapa ili twende taratibu


Kama umeuliza nani alianzisha uchawi na alikusudia nini, kwanza lete ushahidi wa Biblia unaosema wazi nani aliianzisha na kwa kusudi gani.

Biblia yenyewe haitoi simulizi kwamba Mungu ndiye aliyeanzisha uchawi. Badala yake, inautaja uchawi kama jambo lililokuwepo na kulikataza (Kutoka 22:18; Kumbukumbu 18:10–12).

Kwa hiyo usibadilishe hoja. Hoja yangu ilikuwa: Biblia yenyewe inakiri kuwepo kwa uchawi. Sasa kama una madai kwamba uchawi haupo, lete ushahidi wa Biblia unaosema haupo kabisa.
 
Kama umeuliza nani alianzisha uchawi na alikusudia nini, kwanza lete ushahidi wa Biblia unaosema wazi nani aliianzisha na kwa kusudi gani.

Biblia yenyewe haitoi simulizi kwamba Mungu ndiye aliyeanzisha uchawi. Badala yake, inautaja uchawi kama jambo lililokuwepo na kulikataza (Kutoka 22:18; Kumbukumbu 18:10–12).

Kwa hiyo usibadilishe hoja. Hoja yangu ilikuwa: Biblia yenyewe inakiri kuwepo kwa uchawi. Sasa kama una madai kwamba uchawi haupo, lete ushahidi wa Biblia unaosema haupo kabisa.
Kwanza hiyo mistari ya bibilia sijaiweka kwa sababu nina iamini sana hapana

Nimeweka kama sehemu tu ya kuonesha dhana ya uchawi ni ya kale sana
 
Back
Top Bottom