Je, ni uchawi au saikolojia?

Je, ni uchawi au saikolojia?

Ungekua specific ni jambo gani hilo la kichawi limetoa hayo matokeo tungejadili vizuri

Kwa hapa kwetu Tz Imani ya uchawi ni jambo linalochukuliwa kama ni jambo BAYA sana………… uchawi unadhana kwamba mtu anatumia miujiza KUMDHURU mwingine

Sasa kumtafuta mtu “mchawi” akathibitisha huwa anawaroga kuwadhuru wengine inakua mtihani kidogo(labda wale wa mchongo kwa Manabii na mitume)

Kwahiyo utakuta burden of proof inaangukia kwa watu wanaodai wamerogwa………… hapa ndio pana viroja

Kama uchawi upo basi ni lazima iwe rahisi sana kuuthibitisha upo………….. lakini kwa bahati mbaya sana wasio “wachawi” ndio watu wa kwanza kutetea uchawi upo kwa kuweka ugumu kwamba uchawi hauthibitiki kirahisi kwa masharti yake as if wao ndio wachawi na wanajua kanuni zake
Uchawi yeyote yule anaweza kuutenda na si lazima hadi awe mchawi, hata waganga hufanya uchawi wa ubaya au uzuri na ndio maana hao wasio wachawi hutetea uchawi kwa sababu wanaweza kumroga mtu kupitia kwa mganga na waganga wapo wazi wanajitangaza ni tofauti na wachawi.

Kwahiyo kuthibitisha tu inawezekana ila utake uthibitisho wenye vigezo vya kisayansi.
 
Uchawi yeyote yule anaweza kuutenda na si lazima hadi awe mchawi, hata waganga hufanya uchawi wa ubaya au uzuri na ndio maana hao wasio wachawi hutetea uchawi kwa sababu wanaweza kumroga mtu kupitia kwa mganga na waganga wapo wazi wanajitangaza ni tofauti na wachawi.

Kwahiyo kuthibitisha tu inawezekana ila utake uthibitisho wenye vigezo vya kisayansi.
Labda unifafanulie UCHAWI ni nini mkuu?………….. kwa maelezo yako haya inawezekana hata wewe ukawa ni mchawi pia au unaweza kuufanya.

Kwamba mtu yeyote anaweza kuufanya uchawi?…………….. to be honest mimi binafsi nataka kuujua na ku practice huo uchawi

Hebu “thibitisha” huo uchawi upo mkuu
 
Labda unifafanulie UCHAWI ni nini mkuu?………….. kwa maelezo yako haya inawezekana hata wewe ukawa ni mchawi pia au unaweza kuufanya.

Kwamba mtu yeyote anaweza kuufanya uchawi?…………….. to be honest mimi binafsi nataka kuujua na ku practice huo uchawi

Hebu “thibitisha” huo uchawi upo mkuu
Nasubiri jibu lake pia
 
Labda unifafanulie UCHAWI ni nini mkuu?………….. kwa maelezo yako haya inawezekana hata wewe ukawa ni mchawi pia au unaweza kuufanya.

Kwamba mtu yeyote anaweza kuufanya uchawi?…………….. to be honest mimi binafsi nataka kuujua na ku practice huo uchawi

Hebu “thibitisha” huo uchawi upo mkuu
Tukitumia tafsiri ya kutoka kwenye kamusi ya kiswahili inasema hivi kuhusu uchawi: Ufundi wa kutumia dawa au vitabu vya uganga ili kuleta madhara kwa viumbe.

Kwa tafsiri hiyo ina maana kwa mfano hata wewe ukielekezwa matumizi ya dawa fulani ili kusababisha madhara(kuroga) labda kugombanisha watu au kumuadhibu aliyekuibia na ukafanya hivyo hivyo basi huo ni uchawi teyari maana umeroga hapo.

Kuna vitabu kibao tu vya wazungu na vya wabongo ambavyo vinafundisha matumizi ya dawa ama visomo katika namna ya kufanya uchawi.

Binafsi sioni kama nalazimika kukuthibitishia kuwepo uchawi, nachofanya ni kueleza ni namna gani unaweza mwenyewe ukathibitisha matokeo ya huo unaoitwa uchawi ila kama wewe unataka tu uthibitishiwe uchawi basi mie sio jukumu langu.
 
Tukitumia tafsiri ya kutoka kwenye kamusi ya kiswahili inasema hivi kuhusu uchawi: Ufundi wa kutumia dawa au vitabu vya uganga ili kuleta madhara kwa viumbe.

Kwa tafsiri hiyo ina maana kwa mfano hata wewe ukielekezwa matumizi ya dawa fulani ili kusababisha madhara(kuroga) labda kugombanisha watu au kumuadhibu aliyekuibia na ukafanya hivyo hivyo basi huo ni uchawi teyari maana umeroga hapo.

Kuna vitabu kibao tu vya wazungu na vya wabongo ambavyo vinafundisha matumizi ya dawa ama visomo katika namna ya kufanya uchawi.

Binafsi sioni kama nalazimika kukuthibitishia kuwepo uchawi, nachofanya ni kueleza ni namna gani unaweza mwenyewe ukathibitisha matokeo ya huo unaoitwa uchawi ila kama wewe unataka tu uthibitishiwe uchawi basi mie sio jukumu langu.
Mkuu hiyo tafsiri yako ya UCHAWI ina walakini.

Tukiwa na nafsiri sahihi ya UCHAWI tutaweza kukinzana vizuri kwa hoja……….. tafsiri yako imepelea, ufundi ni sayansi
 
Back
Top Bottom