Je, kwa nini Uzinifu Umeongezeka Siku Hizi?

Je, kwa nini Uzinifu Umeongezeka Siku Hizi?

Nabii DAUD alimlomba mke wa mwanajesh wake eti akizan KAHABA alafu wewe unashangaa ukahaba shame n u😥😥🏃🏃🏃
 
Inakukimbia sababu wewe unavizia,,

Movie zako pendwa Jua kali na ile Dunia,,

Ulitudanganya wa Kahama kumbe wa Didia,,

Kwenye mabasi we ni parcel so abiria
 
Kwa hapo nadhani wewe ndio tu haupo sawa,,

Umeathirika na sio UKIMWI bali madawa,,

Ningekugonga mikono ka Hiroyuki Tagawa,,,

Siku hizi church kwenu mnatumbua Viwawa
Kanisani kwetu Mimi ni mtawa,
tena ni kibawata sipo kwa viwawa,
Mimi ni mkristu ila nimemwoa Hawa,
Yule mtoto wa shekhe Sharifu madawa.
 
Nitaanza kukuwinda kama wewe ni kiwawa,,,

Waelezee polisi unataka kuuwawa,,,

Nakuchezesha gwaride mgu pande mgu sawa,,,

We ni kama harmorapa halafu mimi kontawa
Kumbuka natokea mara na naitwa Marwa,
kule shoka lilikochomwa lakini mpini haukuunguwa,
kule ambako wanaume kwa kisu butu hutahiriwa,
Kule ambako kichuri ni tamu sana kuuzidi muwa,
Kule ambako ukishindwa kutongoza unauawa,
kule ambako hakuna hawa mnaowaita machawa,
kule ambako sumu ukiimeza haikuui bali ni dawa,

ok, kama hujaelewa nitakugoezea na zingine, sawa?

KERATO MOMBAA.
 
Kumbuka natokea mara na naitwa Marwa,
kule shoka lilikochomwa lakini mpini haukuunguwa,
kule ambako wanaume kwa kisu butu hutahiriwa,
Kule ambako kichuri ni tamu sana kuuzidi muwa,
Kule ambako ukishindwa kutongoza unauawa,
kule ambako hakuna hawa mnaowaita machawa,
kule ambako sumu ukiimeza haikuui bali ni dawa,

ok, kama hujaelewa nitakugoezea na zingine, sawa?

KERATO MOMBAA.
Huko wanawatahiri ila mi nakukeketa,,

Kwenye verse ntakutwanga halafu nitakupeta,,

Jinsi ulivyovaa kama dancer wa twanga pepeta,,

Upo tayari leo kuzaa na predator?
 
Huko wanawatahiri ila mi nakukeketa,,

Kwenye verse ntakutwanga halafu nitakupeta,,

Jinsi ulivyovaa kama dancer wa twanga pepeta,,

Upo tayari leo kuzaa na predator?
Hujapewa habari zangu kwamba nashenyeta?
Nitakufanya kitu mbofu hadi ukimbilie Mahuta,
Yaani kwangu Kila siku utaimba continua aluta,
Mbona kunichokoza mimi kutakufanya kujuta,
Hadi utaomba mods kauli yako kufuta.
 
Hujapewa habari zangu kwamba nashenyeta?
Nitakufanya kitu mbofu hadi ukimbilie Mahuta,
Yaani kwangu Kila siku utaimba continua aluta,
Mbona kunichokoza mimi kutakufanya kujuta,
Hadi utaomba mods kauli yako kufuta.
Unacheza shikorobo utadhani we ni Shetta,,

Nilisema sikutahiri ila mi nakukeketa,,

Mi umeme wa Tanesco halafu wewe ni jenereta,,

Ninaonekana ninang'ara we unameremeta,,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom