SankaraBoukaka
JF-Expert Member
- Jul 2, 2019
- 3,189
- 4,981
Ratio ya Wazinzi : Population iko pale pale...
Nan anapata madhara ya moja kwa moja kwenye hilo tendo kati ya ME na KE ???Hapa nazungumzia kuzini.
Uko nje ya mada migo.Nan anapata madhara ya moja kwa moja kwenye hilo tendo kati ya ME na KE ???
Popoma ni mtu maalumuPopoma umemtaja
Naona yeye atakuja
Akushughulikie kijanja
Usije ukatutaja
Sheria inakataza rushwa na Ufisadi pia ila vimeshamiri kuanzia kwa trafiki barabarani hadi kwa watawala.Kwa sababu sheria hairuhusu hivyo vitu.
NtawaumizaTuanzishe tu tunyooshane kwa mistari.
Umenishangaza sana kumfahamu Mulumbu,,Angalia tunavyosakata kabumbu,
kama mchezaji Yusuf Mulumbu,
ama yule mwanasoka kelvin kapumbu,
so, endelea kushika zako pumbu.
Umenichokoza hujui mimi ni askari,,Naona mwaita mtu kwa shari
Muoneshe yenu ari
Nitamuita tayari
Awashughulikie kwa shari
Hauwezi kuwazungumzia sawa mwanaume na mwanamke na ukaeleweka lazima ujue kutokana na tofauti za kibaolojia, saikolojia na namna jamii inavyowa-treat mwanaune na mwanamke hawawezi kuwa uniform kwenye kila kitu.Hapa mimi nawazungumzia wote migo.
Ninayemfahamu si tu Yusuf Mulumbu,Umenishangaza sana kumfahamu Mulumbu,,
Sikuwatajia mwanzo nikidhani nyi ni nyumbu,,
Mgahawa wako pendwa najua kwa Mama Tumbu,,
Leo wala sipo Bongo nipo Istanbul
Sawa mkuu basi katiba mpya tutaweka kila mwanaume sharti aoe wanawake wanne...kama huna hela serikali itakupa ili tuondokane na jamii ya uzinziLakini inatakiwa uwe ndani ya ndoa huko oa hata mke zaidi ya mmoja.
Itakuwa safi.Sawa mkuu basi katiba mpya tutaweka kila mwanaume sharti aoe wanawake wanne...kama huna hela serikali itakupa ili tuondokane na jamii ya uzinzi