Je, kwa nini Uzinifu Umeongezeka Siku Hizi?

Je, kwa nini Uzinifu Umeongezeka Siku Hizi?

Uzinifu ni ngono kabla ya ndoa na kutoka nje ya ndoa kwa kufanya ngono na asiyekuwa mume au mke wako.

Je, kwa nini uzinifu uongezeke siku hizi na zipi ni njia za kupunguza uzinifu duniani?
Imeongezwa kama basic needs kwahiyo sio Tena food, clothes and shelter but now pia na sex imekua included
 
Madogo wa zama hizi naona mnachachawa,

Hamjui kwamba mimi ni popo mwenye ubawa,

Kiatu chako cha kazini mtumbwi ama ngalawa,,

Unajiita pharmacist kisa unauza madawa,, (ya kulevya)
Mimi siuzi madawa
Acha story za kahawa
Bora ufungue mgahawa
Umwajiri na Hawa
Labda uchumi wenu utakaa sawa
 
Uzinifu ni ngono kabla ya ndoa na kutoka nje ya ndoa kwa kufanya ngono na asiyekuwa mume au mke wako.

Je, kwa nini uzinifu uongezeke siku hizi na zipi ni njia za kupunguza uzinifu duniani?
sasa wewe watu walidanganywa ya kuwa kudinya mrembo mmoja na kuwa na mke mmoja ndio dili. uwongo mtupu watu wamejanjaruka wameshaona it is against nature ya mwanadamu kutulia na mbunye au mboro moja. raha ya dunia ni kugegedan mwanawane. wewe enjoy tunda la utam utam.
 
Hahaha unachekesha
Labda una usingizi labda ulikesha
Hapa haina kukwepesha
Relax acha presha
Anayeoshwa ni mwosha,
auzaye bangi ni pusha,
bangi kali ni ya Arusha,
mchambuzi mzuri ni kashasha,
moto ukizimwa nauwasha.

Mwenye makebo huyatingisha,
Na ashiki zangu kuzipandisha,
Halafu nyeto najipigisha,
na bao Moja kulirusha 😎.
 
Ninageuka zakayo na ushuru nakutoza,,,

Ukoo wenu hakuna hata mwenye water bowser,,

Nakutandika mboko sababu umenichokoza,,

Utabaki wa mwisho mi ntabaki naongoza,,
Lakini mbona mistari inanikimbia
Au inanichukia
Inakuwa kama nina limited lines za kutumia
Zikiisha nabaki na mabua
 
Nadhani kumkichwa hauko sawa,
mbona nilipokuambia, "kama Kawa?"
Ukanijibu kwa kusemaa, "Pascal Wawa",
ndiyo maana Mimi nikaishiawa Pawa,
sasa nafikiria kukupeleka hospitali au ninunue dawa.
Kwa hapo nadhani wewe ndio tu haupo sawa,,

Umeathirika na sio UKIMWI bali madawa,,

Ningekugonga mikono ka Hiroyuki Tagawa,,,

Siku hizi church kwenu mnatumbua Viwawa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom