Je, kwa nini Uzinifu Umeongezeka Siku Hizi?

Je, kwa nini Uzinifu Umeongezeka Siku Hizi?

Kwa kiasi kikubwa mwamuzi mkuu ni mwanamke. Maana yeye anafuatwa. Hauwezi kumkataza simba asimle swala. Kama hautaki swala aliwe mwambie asikatize mitaa ya simba
Kwa hiyo ni ruhusa kwa mwanaume kuzini?
 
Kwa hiyo ni ruhusa kwa mwanaume kuzini?
Jamii inawaangalia mwanaume na mwanamke katika namna tofauti. Kwenye suala la uzinzi jamii inamuhukumu na kumnyanyapaa zaidi mwanamke.

Hiyo haimaniishi kwamba mwanaume yeye upande wake ni mseleleko tu. Kuna masuala ambayo anahukumiwa vikali sana lakini mwanamke anapewa unafuu mfano suala la umasikini, jamii inamuhukumu mwanaume kikatili sana tofauti na mwanamke.

Sio haki, lakini nature ndio imeamua
 
Mwanaume anaolewa?? anabeba mimba??
Hapa nazungumzia kuzini.
Jamii inawaangalia mwanaume na mwanamke katika namna tofauti. Kwenye suala la uzinzi jamii inamuhukumu na kumnyanyapaa zaidi mwanamke.

Hiyo haimaniishi kwamba mwanaume yeye upande wake ni mseleleko tu. Kuna masuala ambayo anahukumiwa vikali sana lakini mwanamke anapewa unafuu mfano suala la umasikini, jamii inamuhukumu mwanaume kikatili sana tofauti na mwanamke.

Sio haki, lakini nature ndio imeamua
Hapa mimi nawazungumzia wote migo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom