Je, kwa nini Uzinifu Umeongezeka Siku Hizi?

Je, kwa nini Uzinifu Umeongezeka Siku Hizi?

Unacheza shikorobo utadhani we ni Shetta,,

Nilisema sikutahiri ila mi nakukeketa,,

Mi umeme wa Tanesco halafu wewe ni jenereta,,

Ninaonekana ninang'ara we unameremeta,,
Nitakuonea sana ukinishitaki hakumi anapeta,
Kutoka kwangu kifinyo kikali ndicho kitu pekee utapata,
Si jadi yangu kwa mgongo wa chupa kumpaka mtu mafuta,
haya toka nduki maana nimeshaona umetepeta.
 
Zamani tumeishi Kwa nidhamu kwakuwa wazazi na walezi walituasa kuhusu ubaya wa ngono, lakini pia si rahisi kusikia mama au Baba amefumaniwa,au kuzungumzia mapenzi hadharani.

Sahizi single Maza aliyepanga chumba kimoja analeta bwana,au kuwatambulisha watoto mabwana wapya daily.

Siku hizi mtu anapokea simu anaongea mbele ya watoto,namna ambavyo alifurahishwa alivyofanywa.

Siku hivi Baba anakaa nje na kipenzi akipunga upepo huku yupo kifua wazi wadada wenye ma**ko makubwa wakipitq anawazimamisha na kuwatongoza ,huku watoto wake wanaona,..

Kuna mtu anabadilisha nguo mbele ya mtoto wake wa kumzaa ukiuliza eti hajavua zote yupo na pichu

Wachungaji ,mapadre na masheikh hawatishi kama zamani,Kwanza wao wenyewe wanaongoza Kwa skendo na ufuska ,hivyo waumini wao hukata tamaa na kuona ni mambo ya kawaida.

Lakini la mwisho ni watoto wa kike kuijua pesa mapema wakati hawana kazi au hawajafikisha vigezo vya kufanya kazi

Kuna mamantilie mmoja ana wasichana wawili ambao Kwa maelezo yake,anawalipa shilings elfu tatu Kwa siku,Kwa umri wana miaka 15 Hadi 17 hawavuki hapo.

Cha kusikitisha aliniambia kila msichana amepanga na analipa Kodi chumba ni 40k Kwa Mwezi yaani miezi mitatu laki na ishirini.

Swali la kujiuliza ,umri ambao alitakiwa awe secondary yupo mtaani ,je anapata wapi pesa ya Ziada kwasababu kipato chake ni kidogo?

Jibu ni kwamba anaishi Kwa kutegemea mabwana, kwahiyo naungana na wewe ongezeko la uzinifu mtaani.
Kwa nini ushoga bado unapingwa kwa nguvu sana na watu dini zote?
Kwa nini Kitimoto bado kinapingwa kwa nguvu sana na Waislamu?
 
sasa wewe watu walidanganywa ya kuwa kudinya mrembo mmoja na kuwa na mke mmoja ndio dili. uwongo mtupu watu wamejanjaruka wameshaona it is against nature ya mwanadamu kutulia na mbunye au mboro moja. raha ya dunia ni kugegedan mwanawane. wewe enjoy tunda la utam utam.
Lakini inatakiwa uwe ndani ya ndoa huko oa hata mke zaidi ya mmoja.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom