Mjomba Malume
JF-Expert Member
- Apr 8, 2025
- 903
- 1,317
- Thread starter
- #41
Si wanalipwa baada ya zinaa.Sasa wanapataje kipato kwa kuzini wakati Hali ya kipato ni ngumu?
Si wanalipwa baada ya zinaa.Sasa wanapataje kipato kwa kuzini wakati Hali ya kipato ni ngumu?
Umasikini umasikini mbaya, eti mumama anamuomba mwanae marejesho ya vikoba kibinti kidogo hakika kua ki akili sa nambie kwanini asivunjwe ili pesa ipatikaneNa ukute watafanyia uzinzi wao humo humo.
Yaani hapo ni lazima tu.Umasikini umasikini mbaya, eti mumama anamuomba mwanae marejesho ya vikoba kibinti kidogo hakika kua ki akili sa nambie kwanini asivunjwe ili pesa ipatikane
Hayo mapenzi wakiyafanya nje ya ndoa ndio wanakuwa wamezini.Watu wana zini au wanafanya mapenzi?
Sawa 😂😂Hayo mapenzi wakiyafanya nje ya ndoa ndio wanakuwa wamezini.
Au wewe ulielewa vipi?Sawa 😂😂
Kweli kabisa utandawazi ni moja katika sababu kuu.Globalisation imekuja na athari chanya na hasi, haya yote unayojiuliza ni athari hasi za utandawazi. Maonyo ya wazee na vitisho vimepungua baada ya kuchangamana na tamaduni za kigeni huku wazee na wazazi kuishiwa njia mbadala ya kuwadhibiti watoto majumbani na hasa serikali kutokuwa na mikakati madhubuti ya kupunguza athari hasi kwa kutunga sera na hata masomo yanayoendana na kuuenzi utamaduni wetu mashuleni zaidi ya ku embrace kila kinachotoka nje.
umefunga mjadala ahsante mkuuSababu ni moja tu population ya watu.
Mbona huulizi kwanini magari yamekuwa mengi siku hizi.
Shule ni nyingi,
Hospital zinaongezeka,
Bar & club zinaongezeka,
Kadri watu wanavyokuwa wengi na idadi ya kila kitu huongezeka.
Uzinzi ulikuwepo enzi na enzi
Utakuwa wewe ndiyo unateswa nao kwa kuwa umri unaruhusu,ila babu na bibi zako hayo kwa sasa ni zilipendwa,enjoy wakati wakomaishani hamna kujilinganisha hata na jirani yako jua wewe ni nani na ishi kama wewe na tamani yeyote aishi kwa jinsi unavyojitambua.Kama hujitambui ni bora kila mmoja akaishi bile alivyojaliwa kuwa.Hamna kulazimishana iwapo akili yako haiwezi mwongoza mwenzio!Uzinifu ni ngono kabla ya ndoa na kutoka nje ya ndoa kwa kufanya ngono na asiyekuwa mume au mke wako.
Je, kwa nini uzinifu uongezeke siku hizi na zipi ni njia za kupunguza uzinifu duniani?
Nyeto ndo substitution ya uzinifu,Acheni uzinifu
Maana unaleta mabifu
Unatifua tifutifu
Ni uchafu
Sio unadhifu
secretarybird
Jobless_Billionaire
Hapo hakuna kizuriNyeto ndo substitution ya uzinifu,
Nasema kupiga nyeto si upumbafu,
nyeto hukukinginga dhidi ya magonjwa machafu,
aipingaye nyeto Kuna sehemu anahitilafu,
Anayepinga nyeto namwambia nyambafu 😎.
Dogo hebu acha kukariri,Hapo hakuna kizuri
Nyeto nayo si nzuri
Hebu fikiri vizuri
Na uache kiburi
Ili uelewe kwa uzuri
Mimi siwazi kamariDogo hebu acha kukariri,
Akili yako inahitaji uhariri,
tatizo lako hutafakari,
unawaza tu kamari,
mazoezi hufanyi vizuri,
Nakusihi ujihadari,
usije pata kisukari.
Sasa nimeona fahari,Mimi siwazi kamari
Hiyo ni hatari
Nawaza daftari
Nimeweka utayari
Wa nje ya sayari
Speed zaidi ya gari