Je, kwa nini Uzinifu Umeongezeka Siku Hizi?

Je, kwa nini Uzinifu Umeongezeka Siku Hizi?

Hakika mkuu teknolojia na utandawazi umechangia uzinifu kuzidi ingawa sijakuelewa unaposema maisha hayana vitisho kama zamani.
Zamani tumeishi Kwa nidhamu kwakuwa wazazi na walezi walituasa kuhusu ubaya wa ngono, lakini pia si rahisi kusikia mama au Baba amefumaniwa,au kuzungumzia mapenzi hadharani.

Sahizi single Maza aliyepanga chumba kimoja analeta bwana,au kuwatambulisha watoto mabwana wapya daily.

Siku hizi mtu anapokea simu anaongea mbele ya watoto,namna ambavyo alifurahishwa alivyofanywa.

Siku hivi Baba anakaa nje na kipenzi akipunga upepo huku yupo kifua wazi wadada wenye ma**ko makubwa wakipitq anawazimamisha na kuwatongoza ,huku watoto wake wanaona,..

Kuna mtu anabadilisha nguo mbele ya mtoto wake wa kumzaa ukiuliza eti hajavua zote yupo na pichu

Wachungaji ,mapadre na masheikh hawatishi kama zamani,Kwanza wao wenyewe wanaongoza Kwa skendo na ufuska ,hivyo waumini wao hukata tamaa na kuona ni mambo ya kawaida.

Lakini la mwisho ni watoto wa kike kuijua pesa mapema wakati hawana kazi au hawajafikisha vigezo vya kufanya kazi

Kuna mamantilie mmoja ana wasichana wawili ambao Kwa maelezo yake,anawalipa shilings elfu tatu Kwa siku,Kwa umri wana miaka 15 Hadi 17 hawavuki hapo.

Cha kusikitisha aliniambia kila msichana amepanga na analipa Kodi chumba ni 40k Kwa Mwezi yaani miezi mitatu laki na ishirini.

Swali la kujiuliza ,umri ambao alitakiwa awe secondary yupo mtaani ,je anapata wapi pesa ya Ziada kwasababu kipato chake ni kidogo?

Jibu ni kwamba anaishi Kwa kutegemea mabwana, kwahiyo naungana na wewe ongezeko la uzinifu mtaani.
 
Zamani tumeishi Kwa nidhamu kwakuwa wazazi na walezi walituasa kuhusu ubaya wa ngono, lakini pia si rahisi kusikia mama au Baba amefumaniwa,au kuzungumzia mapenzi hadharani.

Sahizi single Maza aliyepanga chumba kimoja analeta bwana,au kuwatambulisha watoto mabwana wapya daily.

Siku hizi mtu anapokea simu anaongea mbele ya watoto,namna ambavyo alifurahishwa alivyofanywa.

Siku hivi Baba anakaa nje na kipenzi akipunga upepo huku yupo kifua wazi wadada wenye ma**ko makubwa wakipitq anawazimamisha na kuwatongoza ,huku watoto wake wanaona,..

Kuna mtu anabadilisha nguo mbele ya mtoto wake wa kumzaa ukiuliza eti hajavua zote yupo na pichu

Wachungaji ,mapadre na masheikh hawatishi kama zamani,Kwanza wao wenyewe wanaongoza Kwa skendo na ufuska ,hivyo waumini wao hukata tamaa na kuona ni mambo ya kawaida.

Lakini la mwisho ni watoto wa kike kuijua pesa mapema wakati hawana kazi au hawajafikisha vigezo vya kufanya kazi

Kuna mamantilie mmoja ana wasichana wawili ambao Kwa maelezo yake,anawalipa shilings elfu tatu Kwa siku,Kwa umri wana miaka 15 Hadi 17 hawavuki hapo.

Cha kusikitisha aliniambia kila msichana amepanga na analipa Kodi chumba ni 40k Kwa Mwezi yaani miezi mitatu laki na ishirini.

Swali la kujiuliza ,umri ambao alitakiwa awe secondary yupo mtaani ,je anapata wapi pesa ya Ziada kwasababu kipato chake ni kidogo?

Jibu ni kwamba anaishi Kwa kutegemea mabwana, kwahiyo naungana na wewe ongezeko la uzinifu mtaani.
Yaani siku hizi watoto wanawaleta wapenzi wao kwenye nyumba wanazoishi na wazazi wao na cha kushangaza wazazi hawasemi chochote kuonyesha kupinga zaidi ya kukenua tu meno.
 
Uzinifu ni ngono kabla ya ndoa na kutoka nje ya ndoa kwa kufanya ngono na asiyekuwa mume au mke wako.

Je, kwa nini uzinifu uongezeke siku hizi na zipi ni njia za kupunguza uzinifu duniani?
Wanawake wamekuwa rahisi sana ,wakaze kama ilivyokuwa zamani.

Wasijirahisishe ,ukimkazia mwanamme lazima aelekee KIBLA ,ila wanawake wenyewe NJAA kali hawawezi kukaza maana anaona atampoteza mtu bora atoe mzigo apate huduma huku akisubiria ndoa kama itakuwepo.
 
Wanawake wamekuwa rahisi sana ,wakaze kama ilivyokuwa zamani.

Wasijirahisishe ,ukimkazia mwanamme lazima aelekee KIBLA ,ila wanawake wenyewe NJAA kali hawawezi kukaza maana anaona atampoteza mtu bora atoe mzigo apate huduma huku akisubiria ndoa kama itakuwepo.
Daah mizigo inatolewa sana siku hizi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom