Je, huyu Rais wetu wa sasa ni Vasco Da Gama mwingine? Ziara za nje zimekuwa nyingi sana kama enzi za Awamu ya Nne

Wafute kwanza hiyo kasi yao ya ugaidi wa michongo ili wawekezaji waje kuwekeza wakiwa na amani ya moyo,na uhakika wa usalama wa uwekezaji wao.
Waarabu hawaogopi ugaidi maana ndio utamaduni wao. Watawekeza kilimo cha tende hapa
 
Maji yanayopotea baada ya mvua kunyesha mikoani,kama yangevunwa na kuhifadhiwa na kutumika kwenye kilimo cha umwagiliaji,hakika kusingekuwa na uhaba wa ajira.
Tengeneza mabwawa,hifadhi maji,tengeneza schemes za umwagiliaji,ingiza nchini zana za kisasa za kilimo,wakopeshe vijana walipe miaka 5 mpaka 10 kwa riba ndogo,wezesha watanzania waongeze samani hayo mazao kwa kuyachakata hapahapa na kuyapack vyema na hatimaye kuyauza huko nnje yakiwa yatari.
Kama ambavyo ndugu Chige aliwahi andika kuhusu "multiplier effects" za kwenye LNG, ndivyo ilivyo pia kwenye kilimo.
Utakapogundua kama taifa tumekwama ni vile CCM na serikali yake wanavyoshindwa ku-utilize raslimali zenye impact kwa watu wengi.

Miaka kadhaa iliyopita niliwahi kuandika hapa kwamba lau kama tungekuwa namaarifa, Wakimbizi kutoka Rwanda na Burundi kwetu wangekuwa fursa badala ya kuonekana kama janga la taifa.

Sometimes WFP na UNHCR walikuwa wanalazimika ku-import nafaka kwa ajili ya Wakimbizi kwa sababu hakukuwa na guarantee ya kutosha ya sustainable production.

Mwaka 2009 WFP walianzisha the so-called P4P Tanzania... yaani Purchase for Progress in Tanzania.

Na wakati ule walitoa ripoti kwamba 15% ya WFP ya chakula nchini Tanzania, walinunua kwa vikundi vya uzalishaji ambavyo vilijiunga kwenye P4P.

The question is: WHY 15%?

Kama tungekuwa na uhakika wa uzalishaji, nini kingewafanya wasinunue zaidi ya 50% hapa hapa Tanzania!

On top of that, by 2009 tayari mahitaji ya chakula kwa WFP yalishapungua kwa kiasi kikubwa kwa sababu nchi kama Rwanda na Burundi zilikuwa zimeshatulia.

Sasa kama tungekuwa serious since 1990's kwenye kilimo, n influx ile ya wakimbizi, sijui tungeuza kwa kiasi gani!

Lakini tunashindwa kufanya hayo kwa sababu tu tunashindwa kufanya hayo uliyoshauri hapo juu!
 
Watawala wengi wa Afrika wameshaamua kwa pamoja kwamba bila ya 'wajomba' hatuwezi kuendelea.
 
Huyo ni sisiemu kindakindaki, usidanganyike na avatar!
Hapana mkuu huyu jamaa ni wale waliokuwa Chadema asilia, mwaka 2015 baada ya mwenyekiti kuvuta mpunga na genge lake kisha kutaka kuwatumia baadhi ya vijana wawasaidie kumsafisha mtuhumiwa wao wa ufisadi (mh Lowasa) ili aje kuwa raisi wa Tz ndo hapo jamaa alipokataa kufanywa zoba kwa masilahi ya viongozi wa juu wa chama.

Akaamua kujitoa katika ushabiki wa chama hicho na kuwa mtupa madongo wa pande zote mbili ( yani CCM na CDM).

Yani jamaa haipendi CCM ambayo ilionekana hapo kabla kumkumbatia waliemwita fisadi (mh Lowasa) na pia haitaki kabisa kuisikia na wala kuiamini Chadema kutokana na unafiki na uongo mkubwa waliofanya viongozi wao dhidi ya mh Lowasa na CCM kwa ujumla.

Kifupi jamaa amesimama katikati, hana Chama maalum.
 
Hapana mkuu huyu jamaa ni wale waliokuwa Chadema asilia, mwaka 2015 baada ya mwenyekiti kuvuta mpunga na genge lake kisha kutaka kuwatumia baadhi ya vijana wawasaidie kumsafisha mtuhumiwa wao wa ufisadi (mh Lowasa) ili aje kuwa raisi wa Tz ndo hapo jamaa alipokataa kufanywa zoba kwa masilahi ya viongozi wa juu wa chama. Akaamua kujitoa katika ushabiki wa chama hicho na kuwa mtupa madongo wa pande zote mbili ( yani CCM na CDM). Yani jamaa haipendi CCM ambayo ilionekana hapo kabla kumkumbatia waliemwita fisadi (mh Lowasa) na pia haitaki kabisa kuisikia na wala kuiamini Chadema kutokana na unafiki na uongo mkubwa waliofanya viongozi wao dhidi ya mh Lowasa na CCM kwa ujumla. Kifupi jamaa amesimama katikati, hana Chama maalum.
Ahaa, mimi ni McdM original
 
tatizo wapambe wake wanamuachia avae skuna,almanusra hapa France aanguke,kwa walioiangalia ile kideo kwa kituo ,wataona kuna sehemu amesepetuka,maana ile ikulu haina lami imewekwa makokoto yaliogandishwa,aafu ka mita mia moja kutoka parking kama unapita kwenye scan.
 
Hii nchi haina viongoz wazuri ..mafisadi wengi mno wanashindana kuiba
 
Back
Top Bottom