Hawajafahamu kila alieiba siku anapohisi kishatimiza sasa aanze kutumia ndipo anapokata roho.Hii nchi haina viongoz wazuri ..mafisadi wengi mno wanashindana kuiba
Hawajafahamu kila alieiba siku anapohisi kishatimiza sasa aanze kutumia ndipo anapokata roho.Hii nchi haina viongoz wazuri ..mafisadi wengi mno wanashindana kuiba
Wewe unaandika ukiwa na maumivu ya moyoni. Samia ndio rais wa awamu ya sita na kazi inaendelea.Baada ya kusimangwa sana kuhusiana na masafari ya kila kukicha ya kwenda ughaibuni, Rais wetu amebuni mbinu mpya.
Sasa hivi anasafiri kimya kimya. Hatoi taarifa kama hapo awali.
Jana tumeshtukia tu yuko Dubai anapiga picha sijui na akina nani wale!
Mwanzoni tulizoea vyombo vyote vya habari vinatangaza kuhusu safari zake. Na akiwa anaondoka wanapanga mstari mnyoofu kumsindikiza. Akirudi pia wanapanga mstari kumpokea.
Vipi kulikoni? mbona ghafla safari zimekuwa za kinyemela? Ni mwendo wa kimya kimya!
Hatujaona ile mistari ya kuagana na kupokeana. Hata ikulu hawatuambii lolote.
Kama safari ni jambo jema, hakuna haja ya kujificha.
Si nimesikia mnafungua nchi sijui?View attachment 2133126
Hawa wanaishi na maumivu moyoni sidhani kama unachowaambia wanaweza kukielewa.Long term plan ipi?
Yeye amekuta mega projects za mjomba Magu in progress bila pesa ya kuimaliza kwa wakati kama SGR,na nyingine.Na uwezo wetu ni mdogo mno kufanikisha miradi hiyo mikubwa.Sasa ulitaka afanyeje?
Pili sio kila ziara yake ni mikopo,unajua kwanini alienda kwenye ziara ya EXPO Dubai 2022?
Kazi mmoja wapo ya Raisi ni kukutana na viongozi mbalimbali ulimwenguni ili kukuza mahusiano ya kiuchumi,Usalama,Tekinologia, Biashara, Mazingira,Nishati,Elimu,Afya n.k
Maumivu gani?Wewe unaandika ukiwa na maumivu ya moyoni. Samia ndio rais wa awamu ya sita na kazi inaendelea.
Awamu imeshabadilika tangu March 19 2021. Kila kitu kimebadilika ni serikali mpya. Tuwe wapole tu mapovu hayatusaidii.Maumivu gani?
Una kichaa wewe.