Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 18,657
- 29,143
Hafanyi mwenyewe. Shida ni chama na wanasiasa waliomo kutanguliza interest zao before nchi.Yeye kama rais anaweza kusimamia na likawezekana.
Is why lazima ubinafsi uondoke kwanza.
Otherwise wata saboge hizo jitihada over and over again