GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 7,072
- 16,388
Duuh watu wamelala nini?
Hivi kwanini hizi salamu za kutakiana heri ya mwaka mpya, mimi zinaniruka? Yaani kila ninapokatiza nakuta watu wamepeana hizo heri ila mimi sipewiHeri ya Mwaka Mpya Mkuu

Hahaha..Hivi kwanini hizi salamu za kutakiana heri ya mwaka mpya, mimi zinaniruka? Yaani kila ninapokatiza nakuta watu wamepeana hizo heri ila mimi sipewi![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Kwasababu saa nane ndio kitovu/ cetre ya usiku!Hivi kwanini ukaitwa
"Usiku wa manane"? Kwanini sio masaba, Matisa au makumi?
Mmmh! Best muongo jana ulikuwa mtoro!![]()
![]()
![]()
Miss you dear

Nitaweza mkuu, ninashida nao sana hao viumbePoa. Utaweza kufuga?
Tatizo huji ofisini nikikuita ndio maana salamu zinakupita tu.Hivi kwanini hizi salamu za kutakiana heri ya mwaka mpya, mimi zinaniruka? Yaani kila ninapokatiza nakuta watu wamepeana hizo heri ila mimi sipewi![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Sasa ndio umeelimika mwanafunzi wangu kipenzi, lazima ufike mbali hadi Harvard kwa TrumpKwasababu saa nane ndio kitovu/ cetre ya usiku!
(Jibu hili ni kwa mujibu wa mwl.wangu kipenzi Nleterewa Nganengo na kwa msaada wa mwl.wangu nimpendae Mwifwa)
Haya banaHivi kwanini hizi salamu za kutakiana heri ya mwaka mpya, mimi zinaniruka? Yaani kila ninapokatiza nakuta watu wamepeana hizo heri ila mimi sipewi![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Wote ambao hamlali usiku mnasubiri kubet NBA. Nani asiyewajua.

Duuh mkuu na wewe unabetWote ambao hamlali usiku mnasubiri kubet NBA. Nani asiyewajua.
Mnatuzuga eti JF usiku wa manane. Kumbe mnasubiri saa 9 muanze kazi.Duuh mkuu na wewe unabet








Mkuu hulali... DahSasa ndio umeelimika mwanafunzi wangu kipenzi, lazima ufike mbali hadi Harvard kwa Trump![]()
Asante sana! Amini usiamini tangu mwaka uanze wewe ndio mtu wa kwanza kunitakia mafanikio ya mwakaHaya bana
Wish you a successful year.
