dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,802
- 20,296
Pesa za korosho mzeeWacha wee!! Naona shem sijui ulimpa nin sio kwa busu hilo mzee mwenzangu
Teh teeh hii ndo mbaya ukishindwa kuitimiza ujueAisee, ni kwel ila sasa naweka nadhiri nafanya kweli wewe tu uwe tayari,maana nakujua ..![]()
Kwema,kheri ya mwaka mpyaKwema wadau?
Kuna sijui mtoto au mjukuu wako hivyo hivyo alilizwa na wanawake wa dar na hizo pesa za korosho kuwa makin mzee mwenzanguPesa za korosho mzee
Kwahz picha mtakua kweli mna undugu![]()
Hiyo mkuu
AiseeeehAisee, ni kwel ila sasa naweka nadhiri nafanya kweli wewe tu uwe tayari,maana nakujua ..![]()
Na kwako pia kiongozi. Mchaka mchaka umeanzaKwema,kheri ya mwaka mpya
Naomba usimwage MPUNGA kwenye kuku wengi,,tafadhariTeh teeh hii ndo mbaya ukishindwa kuitimiza ujue
Nzuri tu bossMimi mzima wa afya hofu kwako. Za tokea jana
SawaNaomba usimwage MPUNGA kwenye kuku wengi,,tafadhari
Niko makini mzee, alafu huyu mtoto sio wa dar nimemtoa huko TandahimbaKuna sijui mtoto au mjukuu wako hivyo hivyo alilizwa na wanawake wa dar na hizo pesa za korosho kuwa makin mzee mwenzangu
Undugu wa uzee wazee wote ni nduguKwahz picha mtakua kweli mna undugu
TunafanaeeKwahz picha mtakua kweli mna undugu
Nimeongea na shigongo j3,uanze kaziAiseeeeh
Kabisa brother, tutafute greaseNa kwako pia kiongozi. Mchaka mchaka umeanza
Kitengo kipi mkuu?Nimeongea na shigongo j3,uanze kazi
Kwema hb la kigogoKwema wadau?
Undugu wa uzee wazee wote ni ndugu
Tunafanaee