Inna
JF-Expert Member
- Jan 13, 2017
- 11,194
- 27,089
Acha uongo basiUmeonaa eee aisee huyo kanshinda ametoka kunigombanisha na ivuga
Duuh!!Umeonaa eee aisee huyo kanshinda ametoka kunigombanisha na ivuga
Ivuga kaenda wap?Hamna wa kunitoa out![]()
Jaman,,wakat mim nipo kwa ajili yakoHamna wa kunitoa out![]()

Bora upotee kama unavyopoteaga uje na vi thread vyako uchwaraAcha uongo basi
Unacheka,ngoja atupie yake mjukuu wangu nione kama tunafanana
Nawe mzee wa promise tu toka mwaka jana ulisema utantoa out mpk leo mwaka mwingineJaman,,wakat mim nipo kwa ajili yako![]()
sawa nitaondokaBora upotee kama unavyopoteaga uje na vi thread vyako uchwara
Alafu najua hata huku umenfuata
Mda sana aiseeKumekucha huku
Kwemaa..mzima ww! Heri ya mwaka mpyaKwema wadau?
Ngoma droo![]()
Hiyo mkuu
Aisee, ni kwel ila sasa naweka nadhiri nafanya kweli wewe tu uwe tayari,maana nakujua ..Nawe mzee wa promise tu toka mwaka jana ulisema utantoa out mpk leo mwaka mwingine

Wacha wee!! Naona shem sijui ulimpa nin sio kwa busu hilo mzee mwenzangu![]()
Hiyo mkuu
Mimi mzima wa afya hofu kwako. Za tokea janaKwemaa..mzima ww! Heri ya mwaka mpya