Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,504
- 57,049
Yani acha tu, vyuma vilikaza sana mwaka uliopita ndio maana niliadimika.. Ila mwaka huu vyuma vimelainika kiasi sasa nakula bata tuSijambo..sio kwa kuadimika huko nakumbuka nilipoanzaga upopo nilikua nakuchanganya ww na dingimtoto
Sikumoja ukaniambia we kila siku ni popo hulali nkakujibu ndio hapo ndo mwisho sikukuonaga tena mpk mwaka huu


ndio majinaa