Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,402
- 31,652
Unamaanisha mimi nilikuwa wa ngapi? Maana nakumbuka darasani tuko 50,hivyo ni lazima kila mwanafunzi awe top 50Haya njoo uchukue zawadi yako.
Ulikuwa top 50 mwaka uliopita Mwanafunzi wangu mtiifu
Unamaanisha mimi nilikuwa wa ngapi? Maana nakumbuka darasani tuko 50,hivyo ni lazima kila mwanafunzi awe top 50Haya njoo uchukue zawadi yako.
Ulikuwa top 50 mwaka uliopita Mwanafunzi wangu mtiifu
Basi nielekeze kwako nije kukusalimia sasa hivi![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Ukija kunisalimia ndio utavigusa

Yaani top 50 ndio ulikiwa wa 50.Unamaanisha mimi nilikuwa wa ngapi? Maana nakumbuka darasani tuko 50,hivyo ni lazima kila mwanafunzi awe top 50
Ile nyumba nzuri kuliko zote shuleni kwako ndio kwangu, karibu sana mwanafunzi mtiifuBasi nielekeze kwako nije kukusalimia sasa hivi![]()
![]()
![]()
Yaani zimetuchanganya kiasi kwamba hata huo mwaka mpya haujatufikia huku tulipo. Tunashangaa tu wanzetu wanashangilia sijui wanaangalia mpiraHuyo mwalimu wako yuko wap aisee naona mbege na balimi hazijawaacha salama

Sana....ungenitumia pesa ya kreti 2 tu ingependezaNa ww unatumia madude hayo?

Kilichobadilika ni kalenda tu
sasa mbona watu wanashangilia sana huku kama kwamba kipofu kaona mwezi?Vipi mamy, ni matamu?Nilikuta watoto wanayala aisee na mm nkaanza kuyaonja taratibu...ila watoto wanayapenda zaidi
Nitumie namba zako pm nikuingizie pesa, fanya haraka usingizi unaninyemelea hapa.Sana....ungenitumia pesa ya kreti 2 tu ingependeza![]()
![]()
![]()
Kufarahia muhimu![]()
![]()
sasa mbona watu wanashangilia sana huku kama kwamba kipofu kaona mwezi?
Aisee, sijawahi kula hayo matunda. Yanapatikana wapi zaidi?Zambarau
Wapi huko nije kuyaonjaYako kule kwetu mengi sana aisee
Hili swali nalijibu pm tu sio huku hadharani kwenye dunia ya kutubuWapi huko nije kuyaonja
Nakukata marks 1 kwa kukosea kuandika neno ''matunda"Aisee, sijawahi kula hayo mayunda. Yanapatikana wapi zaidi?
Sana tuVipi mamy, ni matamu?
Hivi Nganengo ameshakurudishia mwanao?Aisee nmeshindwa kulala huo mzigo haufiki?

Asante! Na kwako pia mamyHeri ya mwaka mpya popoz
AsanteAsante! Na kwako pia mamy