Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,402
- 31,652
Wivu mama wivu unaniua hukuAlafu ww kwann unapenda kudandia zawad zangu![]()

Wivu mama wivu unaniua hukuAlafu ww kwann unapenda kudandia zawad zangu![]()

Oooh! Shamo mwl.naomba miaYaani Mwanafunzi jinsi ulivyonisusa, tangu uingie hapa hujanisalimia kabisa![]()
![]()
![]()
Mwaka mpya na Adhabu mpya, jiandae![]()
![]()
Teh teh teh teh teheeeFuatipia - Fuatilia
Kuwa makini mkuuTeh teh teh teh teheee
Ilipo keyboard P ipo mstari wa juu na L ipo mstari wa chini, sasa kitonga kikainasa P haraka![]()
![]()
![]()
![]()
Uje ofisini kuna zawadi yakoOooh! Shamo mwl.naomba mia
Basi ngoja niongee kwa kunong'ona....huo ni mkono wako wa kushoto au wa kulia?Shiiiiiiiii![]()
![]()
![]()
Ongea taratibu

Hiyo haifiki hata kwenye kooNimeshusha mizigo ya kufa mtu hapa, ebu fuatilia huko nyuma.
Kama vipi poza na huu hapa
View attachment 665250
Jamani mbona mnataka kuniharibia mwaka mpyaLock up tuu inamfaa

Najua kipindi cha Photograph interpretation hukuhudhuria.Basi ngoja niongee kwa kunong'ona....huo ni mkono wako wa kushoto au wa kulia?![]()
![]()
![]()
na ufeli jaribio sasa.Nimeshusha mizigo ya kufa mtu hapa, ebu fuatilia huko nyuma.
Kama vipi poza na huu hapa
View attachment 665250
hiyo nini?Hivi hilo koo ni refu kama Oesophagus?Hiyo haifiki hata kwenye koo
lmezid kidogoHivi hilo koo ni refu kama Oesophagus?
Mwl.hunitakii mema,kila nalokuuliza hunijibu basi nakuhama. Ngoja nitafute mwl.mwingine.Najua kipindi cha Photograph interpretation hukuhudhuria.
Utajiju mwenyewe na utoro wako![]()
![]()
![]()
na ufeli jaribio sasa.

Nikija ofisini utaniruhusu niguse hivyo vidole vyako japo kidogo?Nimekuambia uje ofisini!
Ukorofi wako umenishinda kabisa

Haya njoo uchukue zawadi yako.Mwl.hunitakii mema,kila nalokuuliza hunijibu basi nakuhama. Ngoja nitafute mwl.mwingine.
Kwanza mwaka mpya,walimu wapya,masomo mapya![]()
![]()
![]()
Nikija ofisini utaniruhusu niguse hivyo vidole vyako japo kidogo?
![]()
![]()
![]()
![]()
Teh teh teh teh teheee
Ilipo keyboard P ipo mstari wa juu na L ipo mstari wa chini, sasa kitonga kikainasa P haraka![]()
![]()
![]()
![]()
kumbe mwl.na wewe unakosea eeeh?Masuala ya kunyang'anya Mwl wako taulo uache mara moja![]()
![]()
![]()
kumbe mwl.na wewe unakosea eeeh?