JamiiForums Usiku wa manane
Nipo chumbani kimyaa,nawaza mpangilio wa maisha,huku nimefungulia tbctaifa kipindi cha ashery chilewa.Nikiwa na amani,furaha na utulivu wa hali juu,mke wangu amelala fofo.Vita ya Iran,israel na marekani.Na kesho ntakuwa safarini kuelekea kenya kwa wiki 2 na mwanangu wa kiume anayeishi nje ya nchi ndio ananipeleka kusalimia marafiki nilioishi nao na kuangalia nyumba niliyojenga huko kenya
 
Back
Top Bottom