win-one
JF-Expert Member
- May 28, 2024
- 2,902
- 8,728
hapo kwenye utani ushaumiza nafsi ya mtuNamtania bwana .
Kusogeza muda wa doria
hapo kwenye utani ushaumiza nafsi ya mtuNamtania bwana .
Kusogeza muda wa doria
Dah nisamehewe mimi dada 🙌 japo sijaona kosa kumfaninsha na huyo mtu labda kwasababu tuna sababu tofauti kulingana na muhusika ila mengi sivyo yalivyo ndugu ,mitandao inaongea mengi yaliyo tofauti na uhalisiahapo kwenye utani ushaumiza nafsi ya mtu
usijali daktari tuko pamoja 🤝Dah nisamehewe mimi dada 🙌 japo sijaona kosa kumfaninsha na huyo mtu labda kwasababu tuna sababu tofauti kulingana na muhusika ila mengi sivyo yalivyo ndugu ,mitandao inaongea mengi yaliyo tofauti na uhalisia
But I'm sorry nimeelewa
location02:13 mvua ya kutishaaa
Ubungo-DSMlocation
oooh basi itakua inanyesha tz nzima maan hata huki nanjilinji ipo japo sio kubwa kiivyoUbungo-DSM