win-one
JF-Expert Member
- May 28, 2024
- 9,270
- 31,657
Nyimbo ni nyingiiii ila kwa leo tuishie na huu wimbo wa paul Clement: Mwaminifu
Huu wimbo alinidedcate rafiki angu wa kipindi hichoo anaitwa Eva niliupenda toka siku ya kwanza nausikiliza mpaka kesho nitaendelea kuupenda,, na mimi leo nausimulia hapa labda utafanyika baraka kwa watu wengine pia 🙏👇
Huu wimbo alinidedcate rafiki angu wa kipindi hichoo anaitwa Eva niliupenda toka siku ya kwanza nausikiliza mpaka kesho nitaendelea kuupenda,, na mimi leo nausimulia hapa labda utafanyika baraka kwa watu wengine pia 🙏👇