JamiiForums Usiku wa manane
Nakumbuka mwaka 2020 nikiwa kwenye basi narudi nyumbani Dar kutokea Morogoro; kupitia spika za basi nilikuwa nasikia wimbo uliokuwa na maneno haya kwa uchache:
"Akisema atakubariki,
Hakuna atakayezuia,
Kwani yeye ndiye Mungu,
Mwenye baraka zote."

Muimbaji ni yule aliyeimba pia
"Naliaaa 'pole'
Naliaaa 'pole sana!'"

Haikuwa mara ya kwanza nasikia huo wimbo ila hiyo siku ulinibariki na kunifariji mno. Nilikuwa nimepoteza matumaini na mipango yangu ilikuwa imefeli pakubwa.. lakini baada ya kuusikiliza ule wimbo nilijikuta napata nguvu mpya ya kuendelea kupambana.
muimbaji anaitwa Jenifar mgendi
 
Back
Top Bottom