Aisee, una maneno we mtoto... Nilitaka nisinzie mpaka nimeamka..."hata kama wakisema una machafu mengi siyaoni nimekwama Shimo la mapenzi,, mi kwako nishatulizana kung'ooka siwezi,, Nyoyo zetu zimeshikamana baba umeziba ufa kasoro zetu twavumiliana 100 others 🥰
sa unasinziaje unaniacha pekeangu😪Aisee, una maneno we mtoto... Nilitaka nisinzie mpaka nimeamka...
Hii ngoja niitafute.. Ya kulalia...mimi ni kuku wako ukitaka mayai niyatage semaa na ukiona na ujingaa we nistiri usinibwage,, sina matamanio nishavukaga huko sitolivua vazi la heshima ulonivika kwa upendo,,, umenijaza upendo mpka unanitiririka🥳🎶😘
tukutane ndotoniHii ngoja niitafute.. Ya kulalia...
Aisee una playlist nzuri..tukutane ndotoni
hizo ni baadhi hata theluthi sijafika🤣🤣Aisee una playlist nzuri..
We mtoto utanimaliza...🎶🎶 Yeye ndo amenilemaza kulala kwake kifuani kutwa kunijaza jaza mi kajoli ye sharukani,, nitadumu nae kwa nguvu za manaani jaribu badae kwa sasa hapatikani
100 others,,, hii utaisikiliza asubuhi ukiwa unajiandaa kwenda kazini 🥰😍
Umezikariri kichwani hizo lyrics?hizo ni baadhi hata theluthi sijafika🤣🤣
bado kidog usichoke nakaribia😜🤗😘We mtotp utanimaliza...
Aaah Nachoka mimi...
ndiooo,, siku ukiwa bored utanipigia nikuimbie🤗Umezikariri kichwani hizo lyrics?
U are in love🎵🎵🎵Nawataarifu nimempata mwenyewe huyu ndo anae nifa,, na nisitake kitu lazima tu nipewe msione nawakataa,,, nami naahidi chaguo langu ni wew*2 sina wa zaidii sina sinaa,, Pwita pwita moyo unani pwita pwita"
exactly 🤗U are in love
Nitafurahi..😘😘😘ndiooo,, siku ukiwa bored utanipigia nikuimbie🤗
nipo kwa ajili yako,, nishakupa moyo na mwili🥰Nitafurahi..😘😘😘